makinikia 101
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 491
- 876
Me binafsi sioni ni kwanini tunachukua muda wetu kumjadili Jeni Muroho. Huyo ni kumpuuza sio kumpa cheap popularity
Kiukweli mkubwa ameishaonyesha wazi kwa watu wanaoweza kuwatukana Chadema hadi mkuu akafurahi ni lazima awalipe fadhila ya uteuziAendelee kupiga kelele tu, watakua wanakuja kina shonza wanaula alafu yeye wanamwacha anaendelea kusugua gamba tu
Hatafuti kiki, bali kuteuliwa. Walishaambizana kuwa ukitaka kuteuliwa tukana sana wapinzani hata kuwapiga vibao ukipata nafasi na msifie sana malaika mtukufu
Shooza ana sifa za ziadaAendelee kupiga kelele tu, watakua wanakuja kina shonza wanaula alafu yeye wanamwacha anaendelea kusugua gamba tu
Huyo bwanake mkuu wa .... na le mtu... zLabda niwakumbushe ndugu zangu mnaopenda kuchungulia kwenye chungu hiki cha JF, kuwa anachokifanya Jerry Muro siyo ulimbukeni au bahati mbaya, bali anajua anacholenga kwani hii imekuwa mbinu ya vijana wengi wa Kitanzania kufikia malengo yao ya kuteuliwa katika nafasi mbalimbali katika awamu ya nne na hii ya tano.
Mnakumbuka jinsi Bashite alivyofanya maajabu hata ya kumzaba vibao mzee wa watu, pia alidiriki kukaa nyuma ya runinga kumtukana Lowassa, baada ya muda mfupi akateuliwa. Ni wengi ambao tunaweza kuwataja, ebu tujikumbushe jinsi kaka yangu Nape alivyomtukuna mzee Lowassa pale Iringa kwenye kampeni, kisha akazawadiwa nafasi ya uwaziri.
Imekuwa mtindo wa kutafutia nafasi za kuteuliwa kwa kuwatukana wapinzani na kusifia malaika mtakatifu. hicho ndicho anachokifanya Muro muda simrefu atateuliwa tu. anayebisha atarudi hapa kusema kweli ulitabiri.
Namuomba kaka yangu Muro aongeze bidii za kuandika na kuitisha midia kila siku, na anapopata nafasi ajitahidi kumsema Lissu vibaya, atateuliwa haraka.
Inawezekana Jerry Murro anawajua waliomshambulia Lissu.Labda niwakumbushe ndugu zangu mnaopenda kuchungulia kwenye chungu hiki cha JF, kuwa anachokifanya Jerry Muro siyo ulimbukeni au bahati mbaya, bali anajua anacholenga kwani hii imekuwa mbinu ya vijana wengi wa Kitanzania kufikia malengo yao ya kuteuliwa katika nafasi mbalimbali katika awamu ya nne na hii ya tano.
Mnakumbuka jinsi Bashite alivyofanya maajabu hata ya kumzaba vibao mzee wa watu, pia alidiriki kukaa nyuma ya runinga kumtukana Lowassa, baada ya muda mfupi akateuliwa. Ni wengi ambao tunaweza kuwataja, ebu tujikumbushe jinsi kaka yangu Nape alivyomtukuna mzee Lowassa pale Iringa kwenye kampeni, kisha akazawadiwa nafasi ya uwaziri.
Imekuwa mtindo wa kutafutia nafasi za kuteuliwa kwa kuwatukana wapinzani na kusifia malaika mtakatifu. hicho ndicho anachokifanya Muro muda simrefu atateuliwa tu. anayebisha atarudi hapa kusema kweli ulitabiri.
Namuomba kaka yangu Muro aongeze bidii za kuandika na kuitisha midia kila siku, na anapopata nafasi ajitahidi kumsema Lissu vibaya, atateuliwa haraka.
Akiwemo Juliana ShonzaNi wengi ambao tunaweza kuwataja, ebu tujikumbushe jinsi kaka yangu Nape alivyomtukuna mzee Lowassa pale Iringa kwenye kampeni, kisha akazawadiwa nafasi ya uw
Muro unakierere cha ajabu
Akiwemo Juliana Shonza