OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,244
- 103,937
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo
Hongera mtoto wa familia ya JPM
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki