Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 713
- 1,738
Leo siku ya tatu rafiki yangu ananisumbua kutimiza ahadi niliyompa mtoto wake
Ipo hivi mapema mwaka huu, nilikutana na huyo mtoto sasa kwenye story za hapa na pale, akaniambia mwaka huu anaingia darasa la nne.
Kiroho safi nikamwambia akiwa kwenye top 10 aniambie kuna zawadi yake. Sasa juzi hapa nimetumiwa matokea yake ya mitihani. Kijana amekua wa 4 kati ya wananfunzi 28
Kitu amacho nimegoma kufanya ni kitimiza hii ahadi maoni yangu ni kwamba
1. Darasa halina ushindani, kama darasa lina wanafunzi ni 28 ni rahisi kufanya vizuri.
2. Shule nyingi hasa hizi private watoto wanafaulu sana hadi inatia wasiwasi
3. Kama ni kutoa zawadi nitatoa kama ataweza kufanya test za kwenye vitabu na kupata angalau 70%+ (baba ake amekataa)
Ipo hivi mapema mwaka huu, nilikutana na huyo mtoto sasa kwenye story za hapa na pale, akaniambia mwaka huu anaingia darasa la nne.
Kiroho safi nikamwambia akiwa kwenye top 10 aniambie kuna zawadi yake. Sasa juzi hapa nimetumiwa matokea yake ya mitihani. Kijana amekua wa 4 kati ya wananfunzi 28
Kitu amacho nimegoma kufanya ni kitimiza hii ahadi maoni yangu ni kwamba
1. Darasa halina ushindani, kama darasa lina wanafunzi ni 28 ni rahisi kufanya vizuri.
2. Shule nyingi hasa hizi private watoto wanafaulu sana hadi inatia wasiwasi
3. Kama ni kutoa zawadi nitatoa kama ataweza kufanya test za kwenye vitabu na kupata angalau 70%+ (baba ake amekataa)