kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,319
- 12,622
Uko sahihi, sumu haionjwiKwa hili mmechemsha aisee
Hata mimi siwezi somesha mwanangu shule zisizoeleweka hata kama nawatetea hao wasioeleweka
Uko sahihi, sumu haionjwiKwa hili mmechemsha aisee
Hata mimi siwezi somesha mwanangu shule zisizoeleweka hata kama nawatetea hao wasioeleweka
Naamini itafanyiwa harambee maalum. Naamini Jeremiah saiv anafanya tuition akisubiri apangiwe shule ya kataMakonda aimulike hii shule mazingira ni magumu sana kwa kweli
HONGERAMimi nimesoma kiparan'ganda praimarii skuulu!! Nimepata A ya kuandika jina langu!!
Hahahahaha nilikuwa sijakupata mkuu feza mazingira magumuView attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo
Hongera mtoto wa familia ya JPM
Mods sijakosea jukwaa
View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu
View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
Royal family, royal treatment, wahenga walisema mpaka mmbwa wa mfalme ni mfalme wa mmbwa.View attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo
Hongera mtoto wa familia ya JPM
Mods sijakosea jukwaa
View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu
View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
Kula like yangu kwanza great thinker. Umenichekesha sana ulivyosema Feza Primary ni Shule ya Watanzania Maskini na WanyongeView attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo
Hongera mtoto wa familia ya JPM
Mods sijakosea jukwaa
View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu
View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
Asante kwa kusema ukweli wa "kizarendo"Maana huu ndio "uzarendo"Watanzania hebu tuweni "wazarendo" ili nchi iendelee.View attachment 613551
View attachment 613552
Mtoto Jeremiah John Pombe anayesoma shule ya Watanzania Maskini wanyonge Feza Primary School amepasua katika mitihani yake ya darasa la saba baada ya kupata A zote katika mitihani hiyo
Hongera mtoto wa familia ya JPM
Mods sijakosea jukwaa
View attachment 613554 Watoto wa Feza wakisoma katika mazingira magumu
View attachment 613555
Watoto wa Nanjilinji wakisoma katika mazingira rafiki
Watu wanafukua makaburiHa ha ha watu wanachimbua balaa...
UshapanikiWatoto wa mmeo mboe wanasoma wapi?
Anzisha mada ya watoto wa MboweHivi unajua kabla ya hapo huyo dogo alikua anasoma wapi.. Watoto wa Mbowe wanasoma wapi