Jenista Mhagama kalipwa sh. ngapi na Azam?

Naam sheikh Barubaru,
Habari za swaumu Sheikh wangu.

Alhamdulillah swaum inaenda vizuri.

Ila tu tuna majonzi kidogo ya kufungwa na AZAM kwa kipigo cha aibu 3. Lakin vile vile kumpoteza shabiki wetu mkubwa Mkaazi wa Kariakoo Mzee Azan Maangush aliyefariki juzi na kuzikwa jana huko Kisutu Dar es salam.

Inna Lillahi wainna ilaihi rajihunna.

 
Jenista Mhagama ametumia muda wa matangazo kuzipigia debe bidhaa za azam, amefanya tangazo la biashara kabisa, Je hii haikinzani na kanuni zao? (just asking!) inawezekana kala mkwanja kufanya alichofanya?

ingalitangzwa bidhaa za ippmedia chadema mngalinyamaza mngalidai huyu mtu wa KWETU
 
Jenista Mhagama ametumia muda wa matangazo kuzipigia debe bidhaa za azam, amefanya tangazo la biashara kabisa, Je hii haikinzani na kanuni zao? (just asking!) inawezekana kala mkwanja kufanya alichofanya?


Conflict of interest!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????
 
Hii haina tofauti na kile wanachofanya waheshimiwa wabunge kushabikia Simba na Yanga mjengoni!
 
mwenyekiti wa bunge jenister mhagama, wakati wa kipindi cha matangazo mbali mbali (kutambua wageni, ratiba za vikao vya kamati n.k.) amesema ana tangazo ambalo amefikiria ameona si vibaya likitangazwa.

"waheshimiwa wabunge kampuni ya azam inawatangazia waheshimiwa wabunge kwamba watumie bidhaa za azam... (kicheko ukumbuni!) ...aidha, azam inawatangazia wabunge kwamba bidhaa za azam ni bora kwa afya."

ndugu zangu, hii ni sawa? Serikali (na hususan bunge) kazi yake moja kubwa ni kusimamia, ku monitor, mienendo ya biashara nchini. Kitendo cha bunge kutangaza biashara za bakhressa ni kinyume na maadili ya utawala bora, na si jambo la kufanyia utani na kuchekeshea bungeni. Utawezaje kumratibu mfanyabiashara ambae unamtangazia biashara yake wewe mwenyewe?

Azam amelipia shilingi ngapi, na wamemlipa nani (jenister mhagama?) kutumia muda wa bunge na wa tbc kutangaza biashara? And why azam? Kamati ya maadili ya bunge iko wapi, viongozi wa bunge mbona mnashusha viwango vya bunge hili namna hii?


wabunge juu ya sheria
 
Mwenyekiti wa Bunge Jenister Mhagama, wakati wa kipindi cha matangazo mbali mbali (kutambua wageni, ratiba za vikao vya kamati n.k.) amesema ana tangazo ambalo amefikiria ameona si vibaya likitangazwa.

"Waheshimiwa Wabunge Kampuni ya AZAM inawatangazia waheshimiwa wabunge kwamba watumie bidhaa za Azam... (kicheko ukumbuni!) ...aidha, AZAM inawatangazia wabunge kwamba bidhaa za AZAM ni bora kwa afya."

Ndugu zangu, hii ni sawa? Serikali (na hususan Bunge) kazi yake moja kubwa ni kusimamia, ku monitor, mienendo ya biashara nchini. Kitendo cha Bunge kutangaza biashara za Bakhressa ni kinyume na maadili ya utawala bora, na si jambo la kufanyia utani na kuchekeshea bungeni. Utawezaje kumratibu mfanyabiashara ambae unamtangazia biashara yake wewe mwenyewe?

AZAM amelipia shilingi ngapi, na wamemlipa nani (Jenister Mhagama?) kutumia muda wa bunge na wa TBC kutangaza biashara? And why AZAM? Kamati ya maadili ya Bunge iko wapi, viongozi wa Bunge mbona mnashusha viwango vya bunge hili namna hii?

Hii sasa imevuka mipaka
Kale ka mama makinda kanamwangalia tu ? ama leo Ni Kilaza Ndugai ?
 
Diploma yenyewe ya Ualimu aliipata kwa mituringa sana....ashukuru jamaa wa TANROADS akaja kumtoa kiana
Mkuu, alikuwa TTC Korogwe pale, baada ya pale akaenda JKT Mlale detarch Lundipundipu!...kimsingi ni mzito na weak kabisa. Nilishangaa kumwona Bungeni, maana ni kati ya wanawake ma'slow learners kabisa ambao dunia imewahi kuwapata...ni rahisi mno kumnunua kwa vipande vya fedha!

mimi tangia siku nilipomuona huyu mama anaongea mchana kweupeee kuwa "waliomtake Dr. Ulimboka Stephen walikuwa wamevaa nguo kama za polisi kwa hiyo watakuwa ni CDM maana ndio huvaa magwanda yanayofanana na hizo nguo" ndipo taingia siku hiyo imani ikaniishia juu yake.
Na bahati nzuri Mwanasheria mkuu alinipa mwanga baadae kuwa 'vichwa sio kwa ajili ya kuotesha nywele'
Nina mashaka hapa unamchanganya na Eng. Stella Manyaya!
 
Mwenyekiti wa Bunge Jenister Mhagama, wakati wa kipindi cha matangazo mbali mbali (kutambua wageni, ratiba za vikao vya kamati n.k.) amesema ana tangazo ambalo amefikiria ameona si vibaya likitangazwa.

"Waheshimiwa Wabunge Kampuni ya AZAM inawatangazia waheshimiwa wabunge kwamba watumie bidhaa za Azam... (kicheko ukumbuni!) ...aidha, AZAM inawatangazia wabunge kwamba bidhaa za AZAM ni bora kwa afya."

Ndugu zangu, hii ni sawa? Serikali (na hususan Bunge) kazi yake moja kubwa ni kusimamia, ku monitor, mienendo ya biashara nchini. Kitendo cha Bunge kutangaza biashara za Bakhressa ni kinyume na maadili ya utawala bora, na si jambo la kufanyia utani na kuchekeshea bungeni. Utawezaje kumratibu mfanyabiashara ambae unamtangazia biashara yake wewe mwenyewe?

AZAM amelipia shilingi ngapi, na wamemlipa nani (Jenister Mhagama?) kutumia muda wa bunge na wa TBC kutangaza biashara? And why AZAM? Kamati ya maadili ya Bunge iko wapi, viongozi wa Bunge mbona mnashusha viwango vya bunge hili namna hii?

Bakheresa hawako kwenye list ya walipa kodi wakuwaba (top 15) kwa miaka yote 5 iliyopita. Jenister Mhagama anaweza kuwaambia watanzania ni kwanini? Au wana mauzo kidogo kuliko chibuku?
 
Jenista Mhagama ametumia muda wa matangazo kuzipigia debe bidhaa za azam, amefanya tangazo la biashara kabisa, Je hii haikinzani na kanuni zao? (just asking!) inawezekana kala mkwanja kufanya alichofanya?

3 kwa 1,mauaji hayo yamesababishwa na boko toka msitu wa mabwebande.
 
mwongozo haukuombwa?
Tundu Lissu aliamka hapo hapo lakini Mhagama alikua ameshakimbia na kumuachia kiti Hassan Zungu (yule anaevaa kofia la Kangol all the time), kwa hiyo Lissu akabadili topic, akawakumbusha kwamba Kamati ya Maadili imefikia wapi na uchunguzi juu ya hotuba yake kwamba majaji wanateuliwa wasio na uwezo. Zungu hakuwa na jibu, akadai atalishughulikia!
 
Sijawahi kubali uwezo wa huyu dada/mama anapokalia kiti
Huyu dada hata hajui maana ya ku "declare interests." Katoa details za shule wanazosoma watoto wake (baada ya kutangaza wageni wa Mbunge mwenzie kutoka shule hiyo) halafu kadai ana declare interest. What they are doing is to water down, kupunguza uzito, wa nadharia nzima ya ku "declare interests."

Ku declare interests bungeni sio kutoa details za maisha yako bila msingi wowote, hatuna muda na personal details zako Mwenyekiti Jenister Mhagama. Kwa nini mnaleta mzaha Bungeni halafu mnataka tuwaite "waheshimiwa"?
 
Back
Top Bottom