Jengo la TANESCO lilibomolewa kwa Siasa na siyo kupisha Ujenzi

Comment ya mwanzo umeandika jengo unaliona, comment ya sasa hupajui Ubungo Maji...

Pathetic.
CHEKI ULIVYO KILAZA SASA
MI NIMESEMA SIO KILA ANAEKAA DAR ANAPAJUA UBUNGO MAJI NIKIMAANISHA KIUJUMLA SIO WOTE WANAWEZA LIEWELA VEMA ENEO HUSIKA PASI NA KUPITA NA SIO KUKAA.

SHIDA YA KULETWA MJINI NA SHEMEJI YAKO
 
MBONA JENGO BADO LIPO NA NI OFISI ZA KAZ ZA WATU .....

JENGO LA TANESCO UBUNGO MAJI PEMBENI KARIBU NA KITUO CHA MWENDOKASI UBUNGO MAJI BADO LIPO .......
KUNA MSHAMBA MMOJA HUYU Watu8 ANAKWAMBIA JENGO LIMEVUNJWA WAKATI TUNAPITA NA KULIONA.
DHUMUNI LA MAGU ILIKUWA KUVUNJA JENGO LILE KUBWA LOTE. KUNA MSHAMBA HAPO JUU ANAKWAMBIA LIMEVUNJWA JENGO DOGO🤣🤣🤣
SASA KAMA WAMEVUNJA DOGO KWA NINI TANESCO WALIHAMA WAKATI JENGO KUBWA LIPO??
 
Mrizidisha mbwembwe na madaharu, baada ya kula na kusaza vihepe!! madharau sana! kwa jakaya Mrisho kikwete!! mkwere akaona isiwe tabu ngoja awaletee ''chuma hikiiii!!

na kweli kwa miaka mitano tu watanzania wooote Mliyamba kifukuto si kawaida, kila mkiona unyasi mnastuka na hamatasahau Milele!!......

siku nyingine Mjifunzege kuheshimu watu wakubwa, wenye akili mingi km jakaya! ili msirudie!
Umesoma kabla ya kuchapisha?
Kwa mawazo haya unadhani tutamove? Sasa naamini JF imekua fb ya vijana wa hovyo tunaowatarajia kuwa watu wazima wa hovyo!
 
Mkuu tupe faida kwanini panaitwa ubungo maji

Ingawa nimezaliwa Ocean road karibu na Ikulu pale
Sitegemei nikujibu wewe kama ulizaliwa Ocean Road labda huyu anayesema jengo halikuwahi kuvunjwa ukiacha kuitwa ububgo mataa sababu ya taa za kuongozea magari katika makutano ya barabara za morogoro na Mandela+sam nujoma upande wa Barabara ya Morogoro mita chache kutoka mataa upande wa kulia ndipo ilipokua wizara ya Maji! Ambayo sasa inaonekana njia panda ya chuo kikuu Cha dar es salaam Pana jengo kipya linalopakana pia na chuo cha Maji!
Nadhani niejitahidi kiasi chake
 
Wakuu, nimepita mara kadhaa pale kwenye jengo la TANESCO Ubungo Maji nikaishia kushangaa tu kwanini Mwendazake alikomaa sana lile jengo libomolewe na kile kilichoitwa kupisha ujenzi wa 'Flyover' iliyopewa jina la swahiba wake hayati 'Kijazio'.

Kimsingi ukipita pale utaona ni kiasi gani motive za siasa zilitumika katika kulivunja jengo la mbele la ofisi hizo. Kwa sababu licha jengo hilo kuwa karibu na barabara lakini halikuwa na madhara yoyote na hata lingeachwa lisingezuia ujenzi huo kwasababu bado kuna nafasi kubwa ya kutosha kupitisha barabara ya one-way pale na jengo likiwepo.

Kwa mtazamo wangu, Serikali iliingizwa kwenye gharama zisizo na msingi wowote kwenye ubomoaji wa lile jengo kwa maagizo ya mzee chato.

Sio jengo hilo tuu liufupi nyumba kuanzia ubungo hadi mbezi hadi wachina wenyewe walishangaa
 
KUNA MSHAMBA MMOJA HUYU Watu8 ANAKWAMBIA JENGO LIMEVUNJWA WAKATI TUNAPITA NA KULIONA.
DHUMUNI LA MAGU ILIKUWA KUVUNJA JENGO LILE KUBWA LOTE. KUNA MSHAMBA HAPO JUU ANAKWAMBIA LIMEVUNJWA JENGO DOGO
SASA KAMA WAMEVUNJA DOGO KWA NINI TANESCO WALIHAMA WAKATI JENGO KUBWA LIPO??
Tanesco waemdelee kuwepo hapo kwani jengo lao au wamepangishwa!??
 
Sitegemei nikujibu wewe kama ulizaliwa Ocean Road labda huyu anayesema jengo halikuwahi kuvunjwa ukiacha kuitwa ububgo mataa sababu ya taa za kuongozea magari katika makutano ya barabara za morogoro na Mandela+sam nujoma upande wa Barabara ya Morogoro mita chache kutoka mataa upande wa kulia ndipo ilipokua wizara ya Maji! Ambayo sasa inaonekana njia panda ya chuo kikuu Cha dar es salaam Pana jengo kipya linalopakana pia na chuo cha Maji!
Nadhani niejitahidi kiasi chake
Umesomeka mkuu
 
Hivi we una shida gani? Jengo unalosema limebomolewa Wala si kweli? Jengo lipo kwa taarifa yako jengo Ni la mzee mweupe mwenye mvi alivyoona jengo litadondoka kweli akatinga ofisi ya raia namba moja kipindi hicho akaomba isitokee hivyo. Namba one Raia akaona POA isitoshe white hair akaahidi kuhamia huko ufipani. Basi likaachwa

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Acha kutufunga kamba wewe,unaongea uongo tena ukiwa serious kabisa bila hata aibu wala soni...una uhakika jengo halijabomolewa!?
 
Mkuu tupe faida kwanini panaitwa ubungo maji

Ingawa nimezaliwa Ocean road karibu na Ikulu pale
Kama umezaliwa Ocean Road basi wewe ni mzee mwenzetu.... Kwamba kweli hukuwa unajua pale palikuwa ofisi za wizara ya Maji na pembeni yake chuo cha Maji.... Wizara ya Maji na Chuo cha Maji ndio ilizalisha hilo neno Ubungo Maji...

Nadhani umenielewa mzee mwenzangu
 
Kama umezaliwa Ocean Road basi wewe ni mzee mwenzetu.... Kwamba kweli hukuwa unajua pale palikuwa ofisi za wizara ya Maji na pembeni yake chuo cha Maji.... Wizara ya Maji na Chuo cha Maji ndio ilizalisha hilo neno Ubungo Maji...

Nadhani umenielewa mzee mwenzangu
Babu bia zimepanda bei!
 
Pamoja na mabaya yote anayootwishwa bado aataendelea kuwa hero, we subiri hii serikali ya msoga ipite utasikia mambo.
 
Back
Top Bottom