Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,091
- 10,573
Msikiti huu Islamic stateJengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
View attachment 2628286
Hiyo historia ya utawala Ina memory gani nzuri kwenye jamii ya Tanzania Hadi waifanyie restoration?kama issue ni restoration ya historia ya utawala kwani hatukuwa na kingdoms zetu kwenye pre colonial era?Wewe huna Elimu ya architecture archaeology. Hapo kimefanyika kitu ambacho kinaitwa restoration. Aingawa kulikua hakuna jengo kama hilo hapo chamwino lakin ili kutunza history ya utawala kumerudiwa the same structure lakin in modernity. Hapo kila kitu cha kisasa.ingekuwa sawa unawaza majengo ya ghorofa vioo n.k basi Venice wana akil na hela nying tu ila nenda ukaone historic architecture ya Venice na jins inavyouza dunian.
Ulitaka ijengweje Ndugu?Msikiti huu Islamic state
Nyie ndio mnaojiita wanazuoni wa Tanzania wakati akili zenu bado ziko colonized...dada,unahitaji ukombozi wa kifikraUnafikir uamuz wa kurudia architecture ya jengo hilo ilikurupukiwa tu? Kwamba timu ya wataalam hawakufikiria chochote? Umekaa tu uko umelala utafikir fail lake uliliona
Masjid ChamwinoMsikiti huu Islamic state
Haina tofauti na ngome za wakoloni mkuu poor DesignUlitaka ijengweje Ndugu?
Absolutely right, misallocation of scarce national resources JPM was a mess for CCM.Kupoteza fedha bure, hapakuwa na sababu ya msingi kuhamia Dodoma. Sababu za zamani zilizotolewa kuhamia Dodoma hazina maana tena leo katika digital world!
Aah sio kweli bhana!!!Haina tofauti na ngome za wakoloni mkuu poor Design
This is a lieAbsolutely right, misallocation of scarce national resources JPM was a mess for CCM.
Iyo ni Ancient Architectural zamani sanaAah sio kweli bhana!!!
Jumamosi siku ya kwanza ya Jumaa, Mosi ni moja, jumapili ni mbili, jumatatu ni tatu na kuendelea na mwisho wa juma ni ijumaaJengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
View attachment 2628286
So tungejenga tembe? Kingdom zilikuwepo na ni tembe.nenda village museum pale utaona. Nakupinga kuona uamuz huu unaona kama ilikua rahisi tu kufikiwa .vitu ving vimekua considered. Hapo kuna approaches nying zimekua considered. Heshimu mawazo ya wataalamu wetuHiyo historia ya utawala Ina memory gani nzuri kwenye jamii ya Tanzania Hadi waifanyie restoration?kama issue ni restoration ya historia ya utawala kwani hatukuwa na kingdoms zetu kwenye pre colonial era?
1. Inategemea unazihesabu kwà kutumia ubongo wa upande upiJumamosi siku ya kwanza ya Jumaa, Mosi ni moja, jumapili ni mbili, jumatatu ni tatu na kuendelea na mwisho wa juma ni ijumaa
Ikulu ni mahala patakatifu
Miti ipo ya kutosha, na maua yapo ya kutosha. ( Ordinary ...ambayo sio mageni kwetu )Wapande miti na maua kupapendezesha zaidi
Watu Dodoma hawana maji ya kunywa mnakwenda kujenga ikulu kuubwa na hamuishi humo!Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
View attachment 2628286
Dodoma sehemu gani Ndugu? Nipo hapa na Mhe. Aweso anakusikiliza, au nikupe simu uongee nae kabisa?Watu Dodoma hawana maji ya kunywa mnakwenda kujenga ikulu kuubwa na hamuishi humo!