Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Bungeni kila siku wanaanza na dua, viongozi kila siku wakiungia madarakani wanaapa, tena kwa kushika vitabu vya dini lakini bado hawatendi haki, wanafanya ufisadi, wanadhulumu, wanaonea raia nk sasa unadhani hiyo dua yako ndiyo italeta mabadiliko?? Ikiwa unayelazimisha aombewe hana hata chembe ya kumuogopa Mungu unatarajia nini hapo? [emoji12] [emoji12]
Mungu hasikilizi dua za mwenye dhambi.

Just learn such
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"








OMBI LANGU KWA MUNGU WANGU : Naomba huo MTI WA KUMBUKUMBU utakaopandwa na Mhe. Rais Leo hii, MUNGU akaupe uwezo wa kutoa VITISHO kwà kuwapa WOGA na WASIWASI mahasimu wote wasioitakia mema Nchi yetu, na pia ukawe na uwezo wa KUWABABAISHA maadui wote wenye nia ovu katika Taifa letu kwà kuwapa HOFU na MASHAKA makubwa.




View attachment 2628286

Amen. Mwenyezi Mungu asiruhusu watu wasiofaa waliongoze Taifa letu. Maana wanaweza kuweka pacts zao na shetani. Na kuua undungu na umoja wetu.
Wale ambao wana matumbo yasiyoshiba...wakauza baraka ya uzaliwa wa kwanza kwa bakuli ya ndengu, kama Esau alivyomuuzia Jacob mdogo wake sababu ya kuendekeza njaa
 
Amen. Mwenyezi Mungu asiruhusu watu wasiofaa waliongoze Taifa letu. Maana wanaweza kuweka pacts zao na shetani. Na kuua undungu na umoja wetu.
Wale ambao wana matumbo yasiyoshiba...wakauza baraka ya uzaliwa wa kwanza kwa bakuli ya ndengu, kama Esau alivyomuuzia Jacob mdogo wake sababu ya kuendekeza njaa
Yes
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"








OMBI LANGU KWA MUNGU WANGU : Naomba huo MTI WA KUMBUKUMBU utakaopandwa na Mhe. Rais Leo hii, MUNGU akaupe uwezo wa kutoa VITISHO kwà kuwapa WOGA na WASIWASI mahasimu wote wasioitakia mema Nchi yetu, na pia ukawe na uwezo wa KUWABABAISHA maadui wote wenye nia ovu katika Taifa letu kwà kuwapa HOFU na MASHAKA makubwa.




View attachment 2628286
Nauliza tu hivi kwanini ikulu nyingi majengo yake hayaendi juu zaidi? Let's say ghorofa 5 na kue delea? Kuokoa eneo kubwa
 
Mama kasema , Airport ya Dodoma ikimalizika, atakua haendi Dar kupokea Wageni. Watakua wanatua hapa Dodoma na ndege zao.
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"








OMBI LANGU KWA MUNGU WANGU : Naomba huo MTI WA KUMBUKUMBU utakaopandwa na Mhe. Rais Leo hii, MUNGU akaupe uwezo wa kutoa VITISHO kwà kuwapa WOGA na WASIWASI mahasimu wote wasioitakia mema Nchi yetu, na pia ukawe na uwezo wa KUWABABAISHA maadui wote wenye nia ovu katika Taifa letu kwà kuwapa HOFU na MASHAKA makubwa.




View attachment 2628286
Mungu mbariki rais Samia kwa kukamilisha ujenzi huu, na mbariki zaidi Mwalimu Nyerere kwa wazo la kujenga Ikulu pale
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"








OMBI LANGU KWA MUNGU WANGU : Naomba huo MTI WA KUMBUKUMBU utakaopandwa na Mhe. Rais Leo hii, MUNGU akaupe uwezo wa kutoa VITISHO kwà kuwapa WOGA na WASIWASI mahasimu wote wasioitakia mema Nchi yetu, na pia ukawe na uwezo wa KUWABABAISHA maadui wote wenye nia ovu katika Taifa letu kwà kuwapa HOFU na MASHAKA makubwa.




View attachment 2628286
Kwa sala yote hiyo ndefu, sijaona popote ukifunguka kulaani viongozi mafisadi wanaokengeuka maadili ya viongozi hivi sasa na wapo wanaiba.

Unasema: "wakaogope na kubabaishwa"!

Wepi hao?

Mbona maombi yako ni kama dua la kuku anayeombea vifaranga wake wasikwapuliwe na mwewe?
 
Back
Top Bottom