kama inawezekana, tuletee pia piicha za signboard, ule ubao unaonyesha client, consultant, structural engineer, nk. ni muhimu kufahamu hawa watu waliotufikisha hapa. kwa kuwa inasemekana tangu jana jengo lenyewe lilionekana kuegemea upande mmoja. baadaye nitwaambia wakuu wangu, majengi mengi yanayojengwa dsm, si salama, kuna uhuni mwingi. nitaupasua hapa jamvini kwa kuwa hii ndo taaluma yangu. tumepiga kelele mingi sana kwenye semina, warsha nk, lakini taasisi zinazohusika kama ERB, AQRB, CRB, NCC, wameweka pamba maskioni.