Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,015
- 54,297
Nawasalimu wana JF!
Jiji la Dar kwasasa lina majengo mengi marefu, yenye kuvutia sana pia kufanya Jiji kuwa na muonekano mzuri. Miaka ya nyuma kidogo jengo la MAFUTA HOUSE (BENJAMIN TOWER) nadhani ndiyo lilikuwa refu, kwasasa naona maghorofa mengi mtaa wa OHIO km GOLDEN JUBILEE TOWER na mengine mengi. Jengo refu katika Jiji lina ghorofa ngapi pia linafuatiwa na lipi? Kwa upeo wa macho kama baadhi yanalingana ingawa najua lazima kuna tofauti.
Mwenye kujua tujuze na sisi.
Jiji la Dar kwasasa lina majengo mengi marefu, yenye kuvutia sana pia kufanya Jiji kuwa na muonekano mzuri. Miaka ya nyuma kidogo jengo la MAFUTA HOUSE (BENJAMIN TOWER) nadhani ndiyo lilikuwa refu, kwasasa naona maghorofa mengi mtaa wa OHIO km GOLDEN JUBILEE TOWER na mengine mengi. Jengo refu katika Jiji lina ghorofa ngapi pia linafuatiwa na lipi? Kwa upeo wa macho kama baadhi yanalingana ingawa najua lazima kuna tofauti.
Mwenye kujua tujuze na sisi.