Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,475
nilikuwa sijui kama hili jengo linaweza kuwa LA NNE kwa urefu africa. post yako imenifanya nitafute facts...ni la nne la kwanza ni calton center,ponte city apartment,nitel building then ndio hili Jubilee Tower....lakini nahisi yale twin tower pale karibu na makao makuu ya TRA yatakuwa marefu zaidi.
Hii Wikipedia article ime litaja hili jengo kama la tatu, si la nne kwa urefu Afrika.
Hii article ishakuwa outdated?
http://en.m.wikipedia.org/wiki/List_of_tallest_buildings_in_Africa