.Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr, aliyechukua nafasi ya Larijani, kuna uwezekano mkubwa aliangamizwa jana usiku baada ya maficho yake kusambaratishwa!!
Hili jambo linafikirishaHalafu mbona Pezeshkian wanamuacha? au ni mtu wao usikute ndio alimpigia simu Trump kuhusu mazungumzo ya juzi halafu anawauza wenzake
Mbona haijathibitishwa na mainstream media yoyote?.Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr, aliyechukua nafasi ya Larijani, kuna uwezekano mkubwa aliangamizwa jana usiku baada ya maficho yake kusambaratishwa!!
Alipigwa bomu mwaka jana ila aliponea kwa mita chache alipata majeruhiDu! sasahivi wataanza kukata teuzi sasa😀, Maana cheo unakata nacho wiki tu.,
Halafu mbona Pezeshkian wanamuacha? au ni mtu wao usikute ndio alimpigia simu Trump kuhusu mazungumzo ya juzi halafu anawauza wenzake
Aise kumbeAlipigwa bomu mwaka jana ila aliponea kwa mita chache alipata majeruhi
Source: BBC Iran President Pezeshkian was reportedly injured in Israeli strikesAise kumbe
Unafikiri zile dollar 💵 💰 donge nono la us & Israel watu lazima wasalitianeeInakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi
Ila kweli hawa wanasalitianaUnafikiri zile dollar 💵 💰 donge nono la us & Israel watu lazima wasalitianee
Hata manabii waliuzwa kwa vipande vya fedha
Pesa mkuu, kama Mojtaba tu imewekwa USD 10 Million kwa atakayevujisha siri za alipo sasa hizo ni zaidi ya TZS 23 Billion nani akatae kwa nchi za ulimwengu wa tatu?Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi
Pesa ni noma sanaaaaaa lazima mate yakutoke otherwise uwe mtu very loyal kwa state..Pesa mkuu, kama Mojtaba tu imewekwa USD 10 Million kwa atakayevujisha siri za alipo sasa hizo ni zaidi ya TZS 23 Billion nani akatae kwa nchi za ulimwengu wa tatu?
CIA na Mossad zinapata ujasusi mwingi sio sababu ya uwepo wa assets zao ila pesa inatumika sana kununua taarifa.
Kumbuka hawa makamanda wana wake zao, watoto, mashemeji, michepuko, wapinzani n.k so anybody anaweza kutumika.
![]()
US offers $10M reward for info on Iran’s new supreme leader, top IRGC officials
The U.S. is offering a $10 million reward for intel on Iran's new Supreme Leader Mojtaba Khamenei and IRGC officials accused of attacks against Americans.www.foxnews.com
Inadaiwa ingawa sio verified kuwa Mojtaba yupo Urusi tayari akisubiri upepo utulie arudi.Pesa ni noma sanaaaaaa lazima mate yakutoke otherwise uwe mtu very loyal kwa state..
Ni jambo la muda MOJTABA ALI KHEMENEI SUPREME LEADER ATAFIKIWA...
LET WAIT & SEE
Niko out of touch. Hivi vita nani analemewa..Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr, aliyechukua nafasi ya Larijani, kuna uwezekano mkubwa aliangamizwa jana usiku baada ya maficho yake kusambaratishwa!!
Hizo ni habari zisizothibitishwa na hazina ukweli, kama zile za Netanyahu kutoonekana hadharani..Jenerali wa IRGC Mohammad Zolghadr, aliyechukua nafasi ya Larijani, kuna uwezekano mkubwa aliangamizwa jana usiku baada ya maficho yake kusambaratishwa!!
Inawezekana kabisa..ila warusii/ Putin akipewa deal nzuriii na US WAZUNGU SIO WATU WAZURII UKIGUSA MASLAHI YAO..Inadaiwa ingawa sio verified kuwa Mojtaba yupo Urusi tayari akisubiri upepo utulie arudi.