igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,598
- 3,356
Sijui huu ujinga mtauacha lini aisee, je wameshakutwa na hayo makosa mpaka unahitimisha kwamba wamejiingiza kwenye vitendo viovu?? Na yule wa Tabora na wenziwe waliochiwa kwa kuonekana hawana hatia hayo mateso utayalipa wewe?? Mitizamo yenu finyu ya kisiasa unawapumbaza macho na kuonekana mapimbi.Kwani ni kila askari wa jwtz anaestaafu au kufukuzwa kazi anatendewa hayo waliyotendewa hao ex commandos?
Hao wamejiingiza kwenye vitendo viovu ndiyo maana yamewakuta hayo yaliyowakuta.