Jei Efu Bana..

P hajalogwa bwana, aliyelogwa ni asp tena kalogwa vibaya na wa kumlogololowa naye kalogwa.af E leo mbona unaonekana na kama chale chale hivi hapo usoni umepigwa lini hizo chata wng.usipinge hii kitu wt wote wanakushangaa leo, go moja kwa moja kwa ans
Niko fiti mrembo.....unaniangalia kwa wasiwasi eeeeh?
Hebu niangalie hapo chini....
 
Last edited by a moderator:
Mi sitaki maswali..najiandaa kula daku labda aniulize kesho ndio itakuwa poa
Imiss u my shem biz nw days sijui ndo majukumu yamekufanya hivi mana hupatkan saana had nikuwinde
Haya g9t shem
 

Unamsikiliza huyo dogo TANMO sura kama kopo la komoni
 
Last edited by a moderator:

Platozoom the man himself
 
Tatizo lako we TANMO umekuwa ka pimbi aliyegawa mikia yote akasahau kujibakizia,yaani katika wambeya wa jf umesahau kujioridhesha pamoja na mpaka kuanzisha kiu/ijumaa ya jf?
Ama kweli nyani haoni kundule!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…