Kipunguni
Senior Member
- Jun 20, 2008
- 151
- 4
- Nyumba yake ya sasa Dar ni ya usalama mkuu!
FMES!
Ilikuwa ya usalama ... not anymore!
- Nyumba yake ya sasa Dar ni ya usalama mkuu!
FMES!
Ilikuwa ya usalama ... not anymore!
Ilikuwa ya usalama ... not anymore!
Tunaweza kuambia amepewa kama mfanya kazi wa Usalama wa Taifa? Au tukaambiwa usalama wa Taifa nao unafanya Biashara ya kupangisha Nyumba, hivyo ni Mpangaji. Maana toka umeingia ubinafsishaji na ufanya Biashara basi wenzetu kila Institution inaweza, iwe Jeshi, Muhimbili etc etc- Toka lini something for usalama kiliwahi kuwa not anymore? Mkuu hivi unafikiri hizi habari hua ninazitoa wapi mtaani? au mmeshaenda kubadili hati za umiliki tayari kum-save ponjoro!
FMEs!
- Toka lini something for usalama kiliwahi kuwa not anymore? Mkuu hivi unafikiri hizi habari hua ninazitoa wapi mtaani? au mmeshaenda kubadili hati za umiliki tayari kum-save ponjoro!
FMEs!
Mkuu FMES, naomba kukuuliza swali? RA siyo mfanyakazi wa serikali, let alone Usalama wa Taifa, lakini anakaa kwenye nyumba hiyo ... how come??!!
tetea hoja usilete kuchanganyikiwa, mimi sitoki kilimanjaro ila aliyosema Mengi ni kweli ni sawa na aliyosema Slaa, Iddi Simba,Mwakyembe, Warioba, Bomani je hawa wote ni wachaga au wafanyabiashara. Na inakuwaje wasukuma wamwone Rostam yuko nao si amini madai yako labda wenzangu wa kanda hii watoke na wakubaliane nawe.Katika Uchunguzi wangu wa Kina , nimegundua kuwa Tatizo sio Vodacom Hapa, Tatizo ni UKABILA NA UKANDA ndio unatusumbua kwasasa.
Wachaga walikuwa very influencial katika siasa za Tanzania, but they lost that stutus as the time was passing on. Ukiangalia utawala wa Mkapa uliwanufaisha sana wachaga. which has lost in kikwete leadership.On other hand kwa Kuangalia political Map Rostam Aziz ni influencial kwasabu alikuwa na good ties with the lake zone which politically always is a very big decider of Tanzania politics.
Ndio maana ukianza kutaja majina yote ya watu ambao wako associated na Rostam AZiz na vodacom wote wanatoka kanda ya ziwa., mpaka unakuta hata Lipumba hawezi kuongea against RA
Rostamu aziz ni mnyamwezi, ukiangalia Tabora, Mwanza na shinyanga mpaka msoma ukweli ni kwamba kuna waarabu wengi sana ambao ni wafanyabiashara maarufu katika maeneo yao and they have helped those communities for many years.
Why Rostam Aziz anakiburi? Rostam Has legitimate business for so long and if you look back at Mirambo Holdings is one of very reputable investment company in tanzania for so long. Kilichoenda kombo ni kwamba Rostam alikuwa ni njia tu ya kujusitify uchotaji wa fedha za CCM ,
why KIKWETE YUKO KIMYA,?
Since he druged RA in this shit hawezi kumsaliti, COST ya yeye kumsaliti is equal to the lose of political map. RA anafahamika Mwanza, Shinyanga, Tabora na msoma and he is very influencial there, calculation ni kura za NEC Mzee, na kanda ya ziwa ndio imempa JK ushindi.
MENGI
Tatizo la mengi ni kwamba he have been a big fish for so long , akiangalia mwelekeo wa biashara na political influence ilivyopotea kwa wachaga anaogopa.But he has legitimate claims panapo haribika ni kwamba waarabu wengi wenye ugomvi na mengi ni kutoka kanda ya ziwa, wanajiita wasukuma. so mengi he is in bettle to retain his powership/chaga but at the same time anasidia kupambana na ufisadi
mwisho tulipofika sasa.
JK Anaangalia his political future.
Wasukuma wameshikiria justice depertment
wasukuma,wanyamwezi hawawezi kumwachia RA afe maji
JK hawezi kuwatosa wasukuma
wachaga they see it is the time for them to gain their political influence
wasukuma wanawafunga mafisadi wachaga
NGOMA NZITO MZEE MWANAKIJIJI
ndiye aliyempa wazo na fedha za utekelezaji katika kampeni...nafasi yake ya ubunge inaweza kuhusishwa kwa namna yoyote na ufadhili wa rostam?
Mkuu FMES, naomba kukuuliza swali? RA siyo mfanyakazi wa serikali, let alone Usalama wa Taifa, lakini anakaa kwenye nyumba hiyo ... how come??!!