njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Yule refa aliyechezesha mechi ya RS Berkane vs simba jijini DSM aitwaye Joseph Nadala wa Congo amekuwa miongoni mwa marefa nane kutoka Afrika watakaochezesha Kombe la Dunia.
Ni habari mbaya kwa makanjanja yaliyoskitishwa na ushindi wa Simba kwa kudai goli la sakho lilikuwa offside
Pia makanjanja hayo yalidai berkane ilinyimwa penalty na goli lao kukataliwa
Madai hayo ya makanjanja yaliungwa mkono na wasambaza bahasha za khaki na kamati ya mapokezi iliyoshinda airport kuwapokea waarabu hao
Good news kwa kamati ya mapokezi ni kwamba next week watakuwa na kibarua tena kwenda airport ila wawe wavumilivu by saaa kumi watawajua wageni wa kuwakirimu.
======
Jean Jacques Nadala is among six CAF referees pre-selected by FIFA for 2022 World Cup to be played in Qatar.
Ndala is a Congolese international referee since 2014. He notably refereed 32 international games in his career including Africa Cup of Nations, CAF Champions League, Confederation Cup and U-20 AFCON.
This season, he refereed 4 CAF Champions league games including Wydad Athletic Club vs Mamelodi Sundowns clash. He also refereed 2 CAF Confederation Cup games, one AFCON qualifiers and one International friendlies. He recently joined FIFA-paid referees.
Apart from Jean Jacques Ndala, here are the other five referees. Oumar Mohamed (Egypt), (Algeria), Redouane Jiyed (Morocco), Maguete Ndiaye (Senegal) and Bamlak Tessema (Ethiopia).
As a reminder, 2022 World Cup is scheduled from November 21 to December 18.
Ni habari mbaya kwa makanjanja yaliyoskitishwa na ushindi wa Simba kwa kudai goli la sakho lilikuwa offside
Pia makanjanja hayo yalidai berkane ilinyimwa penalty na goli lao kukataliwa
Madai hayo ya makanjanja yaliungwa mkono na wasambaza bahasha za khaki na kamati ya mapokezi iliyoshinda airport kuwapokea waarabu hao
Good news kwa kamati ya mapokezi ni kwamba next week watakuwa na kibarua tena kwenda airport ila wawe wavumilivu by saaa kumi watawajua wageni wa kuwakirimu.
======
Jean Jacques Nadala is among six CAF referees pre-selected by FIFA for 2022 World Cup to be played in Qatar.
Ndala is a Congolese international referee since 2014. He notably refereed 32 international games in his career including Africa Cup of Nations, CAF Champions League, Confederation Cup and U-20 AFCON.
This season, he refereed 4 CAF Champions league games including Wydad Athletic Club vs Mamelodi Sundowns clash. He also refereed 2 CAF Confederation Cup games, one AFCON qualifiers and one International friendlies. He recently joined FIFA-paid referees.
Apart from Jean Jacques Ndala, here are the other five referees. Oumar Mohamed (Egypt), (Algeria), Redouane Jiyed (Morocco), Maguete Ndiaye (Senegal) and Bamlak Tessema (Ethiopia).
As a reminder, 2022 World Cup is scheduled from November 21 to December 18.