Je, wewe unaweza toa tafsiri gani kutokana na hii picha?

Mkuu wa Mkoa ni Alphamale kwa body language, Dangote ndie alienyenyekea.
 
Wanaume wengi wa Kiislam huwa hawatowi mikono mwanzo kumpa mwanamke asiye maharim (nilioharamishiwa kuoana nao) wake kuhofia kuwa wanawake wengi wa Kiislam huwa wanatunza udhu wao.

Binafsi sipeani mkono na wanaume zaidi ya maharim (nilioharamishiwa kuoana nao) zangu.
Una kila dalili za yule mama chiku pale Nssf maana hata simu za mezani hapokei akiona inatoka kwa asiye naye kiimani... Why..... Lakini hamkutakiwa mfanye Kazi na wanaume mnatakiwa mkae jikoni m buni mapishi matamu matamu kwa ajili ya waume zenu na familia
 
Una kila dalili za yule mama chiku pale Nssf maana hata simu za mezani hapokei akiona inatoka kwa asiye naye kiimani... Why..... Lakini hamkutakiwa mfanye Kazi na wanaume mnatakiwa mkae jikoni m buni mapishi matamu matamu kwa ajili ya waume zenu na familia

Anajuwa hamchambi kwa maji ndiyo maana.
 
Una kila dalili za yule mama chiku pale Nssf maana hata simu za mezani hapokei akiona inatoka kwa asiye naye kiimani... Why..... Lakini hamkutakiwa mfanye Kazi na wanaume mnatakiwa mkae jikoni m buni mapishi matamu matamu kwa ajili ya waume zenu na familia
Nimewai kuwanya kazi na wanawake wa aina hii. Wanadharau sana. Wakiwa wanashida wanyenyekevu kweli ila kama hawana watakusalimia vizuri hata kwa mikono ingawa ni towauti nao kwa imani.
 
Simu ya Dangote ni simple sana. Sasa vijana hata hela hamna mnataka, mnakimbizana na viwanda vya simu
 
Hii nasikia kwenu kwa mara ya kwanza eti kushika simu ukasalimiana na mtu ni kukosa heshima.
sana.
unatakiwa umpe mtu mkono mwingine unashika mkono mmoja , huo ndio unyenyekevu!
unasalimia mtu huku unakimbia? unasalimu mtu huku unaongea na simu
unasalimu mtu huku unafanya kitu kingine ilihali unauwezo wa kukiacha ukasalimia unakosa adabu
.....
salamu ni heshima!!! salamu inamaanisha heshima
lazimq iheshimiwe kwa watu unaowaheshimu.

ila sio wote wanalijua hilo... inategemea na ulivofunzwa kwenu. kama kwenu mzazi wako hakua na adabu utajuaje...
 
sana.
unatakiwa umpe mtu mkono mwingine unashika mkono mmoja , huo ndio unyenyekevu!
unasalimia mtu huku unakimbia? unasalimu mtu huku unaongea na simu
unasalimu mtu huku unafanya kitu kingine ilihali unauwezo wa kukiacha ukasalimia unakosa adabu
.....
salamu ni heshima!!! salamu inamaanisha heshima
lazimq iheshimiwe kwa watu unaowaheshimu.

ila sio wote wanalijua hilo... inategemea na ulivofunzwa kwenu. kama kwenu mzazi wako hakua na adabu utajuaje...
Upo sawa lakini inategemeana mmekutana wapi. Apo kwanza yanaonekana ni mazingira ya barabarani. Wamekutana tu njiani bila appointment.
 
Wanaume wengi wa Kiislam huwa hawatowi mikono mwanzo kumpa mwanamke asiye maharim (nilioharamishiwa kuoana nao) wake kuhofia kuwa wanawake wengi wa Kiislam huwa wanatunza udhu wao.

Binafsi sipeani mkono na wanaume zaidi ya maharim (nilioharamishiwa kuoana nao) zangu.
Hata sikuelewi kenge mdini mkubwa wewe.
 
Mkuu wa mkoa anaonekana ni mtu anayejiamini na kuthamini cheo chake,body language yake inaonyesha dhahiri kabisa kua hakutetereka wala kuubabaikia utajiri wa Dangote bali amethamini cheo chake as mkuu wa mkoa,safi sana mkuu wa mkoa.
Kitendo cha mkuu wa mkoa aka Mwakilishi wa Rais kwenda Airport kumpokea mfanyabiashara binafsi tayari kimeonyesha udhaifu mkubwa. Huyo Dangote anatakiwa apokewe na management yake kisha aende kuonana na mkuu wa mkoa ofisini kwake.
Hapo inaonyesha RC kaenda kumpokea huyo bwana kwa shinikizo toka juu tuu lakini siyo itifaki
 
Anajuwa hamchambi kwa maji ndiyo maana.
Ha ha ha, FF hivi wewe unayechamba kwa maji tukinusa huo ....du tutakuta unanukia waridi? Acha hizo, wewe umejuaje watu hawatumii maji kama desturi yao?
Hivi kile kitabu chetu kinasemaje ukipatwa na haja jangwani na hakuna maji unatumia nini?
 
Sasa si umesema mtu aipe maneno hiyo picha?
Mbona unapinga maoni ya mdau.
 
Back
Top Bottom