Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
Si umesema mtu aipe maoni hiyo picha??Hayo nayo nimaoni yako. Sijui ulitaka aitupe chini kwanza.
Sasa mbona unapinga maoni ya mdau
Si umesema mtu aipe maoni hiyo picha??Hayo nayo nimaoni yako. Sijui ulitaka aitupe chini kwanza.
Zamani likiitwa "bunyanga".
Uko ndiko macho yako unaonaga tu.
Maarufu kama "ZEGEMBE"Mama nimempenda yupo vizuri. Inaonekana wazi ana Subwoofer.
"Biashara" ya kuchamba cjui kujichokonoa, hufanywa na mkono gani, pia salaam ya heshima hutolewa kwa mkono gani?Nnabaki na udhu wangu.
Isitoshe, ni karaha kupeana mikono hususan na watu unaojuwa wazi kuwa wakienda chooni hawachambi kwa maji.
Wengine wanajichokonoa pua, wengine wanajikuna hovyo mpaka matakoni, wengine wengi hygiene ni nil.
Besides, mwanamke na mwanamme asiye maharim wako mnapeana mikono yanini? Upuuzi tu.
Utafungwa ndg yangu. Hata kama amekuumiza na figure lake, ishi kwa matumaini kufuatilia kwa nyuma kama fisi, kwamba siku moja atalidondosha nilile. Msubiri astaafu utupie ndoano.Halima Dendegu, aaaaah mama yuko vizuri sana huyu mwenye namba yake tafadhari!!
"Biashara" ya kuchamba cjui kujichokonoa, hufanywa na mkono gani, pia salaam ya heshima hutolewa kwa mkono gani?
Mtu asiye maharimu wako mkishikana mkono kusalimiana atakutekenya?
Ha ha ha, FF hivi wewe unayechamba kwa maji tukinusa huo ....du tutakuta unanukia waridi? Acha hizo, wewe umejuaje watu hawatumii maji kama desturi yao?
Hivi kile kitabu chetu kinasemaje ukipatwa na haja jangwani na hakuna maji unatumia nini?
Halima Dendegu, aaaaah mama yuko vizuri sana huyu mwenye namba yake tafadhari!!
Halima Dendegu, aaaaah mama yuko vizuri sana huyu mwenye namba yake tafadhari!!
Ha ha ha haaaa,, FaizaFoxy bwana!= tafadhali
Kwani mkuu kung fu na yale mambo vina uhusiano?Nasikia anacheza sana Kung Fu halafu alichapita kule kunako nyuma ya Dstv Oysterbay.
Ha ha ha swissme, what it takes to be 'kiongozi' is very tofauti na what it takes to be Aliko Dangoteheshima gani huoni kashika simu mbele ya kiongozi hii ni dharau mbaya sana .
swissme
Mkuu mleta mada ametutaka tutafsiri hiyo picha kutokana na mtazamo wa kila mmoja wetu na ndio nilichokifanya mimi binafsi,Kitendo cha mkuu wa mkoa aka Mwakilishi wa Rais kwenda Airport kumpokea mfanyabiashara binafsi tayari kimeonyesha udhaifu mkubwa. Huyo Dangote anatakiwa apokewe na management yake kisha aende kuonana na mkuu wa mkoa ofisini kwake.
Hapo inaonyesha RC kaenda kumpokea huyo bwana kwa shinikizo toka juu tuu lakini siyo itifaki
Hatuyashiki Mavi sie hivi na wewe nipe siri pale unapochamba na unaposhika kinyesi unajisiaje? Utelezi au? Maana sie huanza na soft pepar and then majiAnajuwa hamchambi kwa maji ndiyo maana.
Hatuyashiki Mavi sie hivi na wewe nipe siri pale unapochamba na unaposhika kinyesi unajisiaje? Utelezi au? Maana sie huanza na soft pepar and then maji
Hahaha huyo ana woofer mkuu sio subwoofer tenaMama nimempenda yupo vizuri. Inaonekana wazi ana Subwoofer.