Je, wewe ni mstaarabu?

Je, wewe ni mstaarabu?

Neno " ustaarabu" ni Pana sana ungeanza kwa kutufafanulia maana yake na mifano kadhaa.

Na ukumbuke ustaarabu unavary from one person to another.
Yaani kile unachodhani ni ustaarabu kwako na kisiwe ustaarabu kwa mwingine and vice versa.
 
Neno " ustaarabu" ni Pana sana ungeanza kwa kutufafanulia maana yake na mifano kadhaa.

Na ukumbuke ustaarabu unavary from one person to another.
Yaani kile unachodhani ni ustaarabu kwako na kisiwe ustaarabu kwa mwingine and vice versa.
Safi sana, ebu tupatie maana unazozijua
 
Vizuri sana, ebu tuwekee maana yake, tuanze kuijadili?
Hahahaaa. Mkuu mbona umenigeuzia kibao tena? OK. ngoja nianze hivi: Nijuavyo mm ; mtu mstaarabu ni yule mtu asiye na makuu i.e. hana majivuno, hashughuliki na mambo ya wengine, hana dharau kwa wenzake, haropoki hovyo; ni mtu mstahimilivu na anawaheshimu watu wote, na si mwepesi wa hasira-anatumia Hekima na Busara kufanya maamuzi yake. Wewe unasemaje?
 
Hahahaaa. Mkuu mbona umenigeuzia kibao tena? OK. ngoja nianze hivi: Nijuavyo mm ; mtu mstaarabu ni yule mtu asiye na makuu i.e. hana majivuno, hashughuliki na mambo ya wengine, hana dharau kwa wenzake, haropoki hovyo; ni mtu mstahimilivu na anawaheshimu watu wote, na si mwepesi wa hasira-anatumia Hekima na Busara kufanya maamuzi yake. Wewe unasemaje?
Ebu jipigie makofi, umepatia kabisa; ungelikulia katika mazingira mazuri ungekuwa bingwa wa kuvumbua vitu.

Kutokana na hiyo maana, wewe ni mstaarabu?​
 
Ebu jipigie makofi, umepatia kabisa; ungelikulia katika mazingira mazuri ungekuwa bingwa wa kuvumbua vitu.

Kutokana na hiyo maana, wewe ni mstaarabu?​
Ebu jipigie makofi, umepatia kabisa; ungelikulia katika mazingira mazuri ungekuwa bingwa wa kuvumbua vitu.

Kutokana na hiyo maana, wewe ni mstaarabu?​
Pamoja na pongezi hizo lakini bado nina mapungufu. Sijakamilika 100% katika ustaarabu wangu. Hebu sema kuhusu wewe mwenyewe- umestaarabika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom