UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Ni kwanini vinywaji au pombe za kienyeji ambazo madhara yake ni madogo hazina wanywaji wengi ukilinganisha na pombe za kisasa?
Tena ukionekana unakunywa pombe za kienyeji unaonekana wewe ni mlala hoi,hoe hae na utadharaurika miongoni mwa watu kwenye jamii!.
Pombe za asili ninazozungumzia hapa ni
1.Ulanzi
2.Mnazi
3.Mbege
4.Dengelua
5.Ulaka
6.Tende
7.Kayoga
8.Myakya
9.Kindi
10.Kang'ala
11.Ujimbi
Hizo ni baadhi tu ya pombe za asili ambazo utengenazi wake ahusishi kemikali yeyote bali ni usindikaji na uvundikaji wa vyakula tu kama mahindi,ulezi na mtama!.
Pombe hizi za asili zimekuwa hazina madhara sana ukilinganisha na pombe za kisasa zikiwemo KONYAGI,K-VANT,HANSOS CHOICE,GONGO,VISUNGURA N.k
Japokuwa Pombe ni Pombe tu lakini huwezi linganisha kimadhara hizo Pombe za asili na zile za kisasa!.
Je,ni kwanini kama ndivyo ukinywa hizo Pombe za asili zisizokuwa na madhara makubwa unaonekana Mshamba,Usiyejielewa,Masikini,fukara,usiyekuwa na akili timamu,mtu wa kijijini?
Unadhani ni kitu gani kinasababisha anayekunywa KONYAGI kuonekana Mjanja kushinda anayekunywa Ulanzi?
Ni kwanini vinywaji au pombe za kienyeji ambazo madhara yake ni madogo hazina wanywaji wengi ukilinganisha na pombe za kisasa?
Tena ukionekana unakunywa pombe za kienyeji unaonekana wewe ni mlala hoi,hoe hae na utadharaurika miongoni mwa watu kwenye jamii!.
Pombe za asili ninazozungumzia hapa ni
1.Ulanzi
2.Mnazi
3.Mbege
4.Dengelua
5.Ulaka
6.Tende
7.Kayoga
8.Myakya
9.Kindi
10.Kang'ala
11.Ujimbi
Hizo ni baadhi tu ya pombe za asili ambazo utengenazi wake ahusishi kemikali yeyote bali ni usindikaji na uvundikaji wa vyakula tu kama mahindi,ulezi na mtama!.
Pombe hizi za asili zimekuwa hazina madhara sana ukilinganisha na pombe za kisasa zikiwemo KONYAGI,K-VANT,HANSOS CHOICE,GONGO,VISUNGURA N.k
Japokuwa Pombe ni Pombe tu lakini huwezi linganisha kimadhara hizo Pombe za asili na zile za kisasa!.
Je,ni kwanini kama ndivyo ukinywa hizo Pombe za asili zisizokuwa na madhara makubwa unaonekana Mshamba,Usiyejielewa,Masikini,fukara,usiyekuwa na akili timamu,mtu wa kijijini?
Unadhani ni kitu gani kinasababisha anayekunywa KONYAGI kuonekana Mjanja kushinda anayekunywa Ulanzi?