KimIlSung
Member
- Apr 21, 2020
- 15
- 24
Wasafi bet, ni Kampuni Iliyoundwa kwa makubaliano(Partnership)baina ya kampuni ya kubeti ya nchini Kenya inayoitwa Odibet,
Mliliki Wa Odibets ni Jimmy Kibaki (Mtoto Wa Raisi Wa Zamani Wa Kenya Mwai Kibaki) Hapa Ndipo Tunapojua Kuwa Kumiliki na Kuendesha Michezo hii Inahitaji Pesa Nyingi Sana .
Anayehusishwa SanaSana na OdiBets ni Dedan Mungai Ambaye Ni Manager na Msemaji Mkuu Wa Kampuni Inayomiliki WasafiBet na OdiBets Yenye Makao MakuuNchini Kenya Inayojulikana Kwa Jina La Kareco Holdings Limited.
Ni kampuni ambayo ingeingia kichwa kichwa Hapa Tanzania ingepata wakati mgumu sana kufahamika na kupata wateja, Kutokana na kuwepo Kwa Makampuni Mengi Ya Kubeti kwa hiyo wameamua kutumia jina kubwa la Wasafi kwa makubaliano Maalumu Kwhiyo Kwa Tanzania Yeye Ndio Mmiliki na Msimamizi
Mliliki Wa Odibets ni Jimmy Kibaki (Mtoto Wa Raisi Wa Zamani Wa Kenya Mwai Kibaki) Hapa Ndipo Tunapojua Kuwa Kumiliki na Kuendesha Michezo hii Inahitaji Pesa Nyingi Sana .
Anayehusishwa SanaSana na OdiBets ni Dedan Mungai Ambaye Ni Manager na Msemaji Mkuu Wa Kampuni Inayomiliki WasafiBet na OdiBets Yenye Makao MakuuNchini Kenya Inayojulikana Kwa Jina La Kareco Holdings Limited.
Ni kampuni ambayo ingeingia kichwa kichwa Hapa Tanzania ingepata wakati mgumu sana kufahamika na kupata wateja, Kutokana na kuwepo Kwa Makampuni Mengi Ya Kubeti kwa hiyo wameamua kutumia jina kubwa la Wasafi kwa makubaliano Maalumu Kwhiyo Kwa Tanzania Yeye Ndio Mmiliki na Msimamizi