kitaruo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 201
- 161
Mchongo ulikua wa billion tatu, diamond alilipwa toka mwaka jana, lobbiest aliye sababisha mchongo alipigwa, alitaka asilimia kumi, diamond akataka kumchukulia poa, amkadirie.
Kampuni ingefunguliwa toka mwaka jana, kuchelewa kumetokana na nagotiator kutia mgomo, baada ya diaomd kutaka kumrusha pesa
Nafikir kuanza mwaka huu, tofaut zao walisha zimaliza
Kampuni ingefunguliwa toka mwaka jana, kuchelewa kumetokana na nagotiator kutia mgomo, baada ya diaomd kutaka kumrusha pesa
Nafikir kuanza mwaka huu, tofaut zao walisha zimaliza