Bila kupewa promo na Diamond Platinumz, Alikiba si chochote wala si lolote

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,455
21,172
Zimebaki siku chache mwezi huu wa July uishe.

Hivyo basi Ally Kiba autumie huu mwezi vizuri kabla Diamond hajaondoa msaada wake.

Diamond Platinumz huwa anamjibu Ally Kiba Ili angalau kum boost kwenye muziki wake.

Nyinyi wenyewe ni mashahidi , Diamond akiachaga tu kujibizana na Ally Kiba, Ally Kiba huwa anapotea .

Miaka michache ya nyuma Diamond alipoamua kuwa kimya Kiba aliishiwa pumzi kabisa kila akitoa ngoma inabuma mwisho wa siku akapigwa gape kubwa sana na wasanii wengi mfano Mboso, Rayvan ,Harmonize, Marioo, Jux nk.

Diamond kwa huruma na moyo wa upendo alionao akaona ngoja amsaidie swahiba wake wa siku nyingi asije akapotea kabisa kwenye game.

Kama kumbukumbu zenu zipo vizuri nyimbo nyingi za Kiba zilizofanya vizuri ni zile ambazo alipewa msaada na Diamond mfano wimbo kama "MWANA" kipindi unatoka ulipata nguvu kupitia wimbo wa "KITORONDO" na nyimbo zake zingine za hovyo hovyo zilizofatia zilipata nguvu kwa kupitia mgongo wa Diamond.

Ukitaka kuamini Kiba si lolote Wala chochote , Diamond alipokuja na Wasafi Festival na kufanya vizuri Kiba akataka na yeye eti atembelee huo upepo na yeye aje na Festival yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kilichotokea nadhani wenyewe mnakijua, ile Festival ingekuwa na nguvu kama tu Diamond angeamua kumpa sapoti kinyume na hapo wenyewe mashahidi festival ya Kiba ilidoda vibaya sana

Sasa basi booster aliyopewa inatosha ,tunataka kumuona Kiba akisimama kwa miguu yake mwenyewe kama kweli anaweza bila kutegemea kupitia Diamond.

Mashabiki wa Kiba mfikishieni taarifa ndugu yenu autumie vizuri huu mwezi hatutaki lawama hii sapoti tunayompa asitegemee tutampa kila siku.
 
Ajabu sana kuona mada kama hii, ilhali Alikiba aliwahi kutamba kabla ya uwepo wa Diamond sasa sijui kitambo hicho alikuwa anabebwa na nani

Alikiba alikuwa anatamba tangu enzi mziki wa tz umetawaliwa na Hip hop, za akina Sir nature,prof jay,Daz nunda,mandojo na domokaya na wabana pua wachache kina Dully Skye's,Mr Paul,Jaydee,Banana zoro nk

Akaja kwa kina makamua,Q jay,marlaw,PNC, Tunda man,
Joslin,Matonya,Pasha,belly white and black,Dullayo nk

Wakamkuta kina belle 9, Diamond,Jux,Top c,Timbulo,Mo music,ommy dimpoz,Top c,Sam wa ukweli nk

Wakaja kina Rayvany,konde,Marioo,Jay melody na madogo wengi wenye mabalaa ila Kiba he's still there, na kila zama alizokuwepo ukitaja wasanii wa 3-5 Bora hakosi

Jamaa ameishi Era zote tangu ameanza kuimba mziki wa bongo Flava, kwahiyo kuja kutaka kuaminisha watu kuwa Kiba bila Diamond hakuna kitu utakuwa na Akili za kushikiwa au ndio uchawa wenyewe huo

Watakuja wasanii kibao na watamuach kwa Sababu jamaa ana identity yake kwenye industry na ana mashabiki zake asilimia kubwa ni wale wale alioanza nao way back
 
Ajabu sana kuona mada kama hii, ilhali Alikiba aliwahi kutamba kabla ya uwepo wa Diamond sasa sijui kitambo hicho alikuwa anabebwa na nani
bongo Flava, kwahiyo kuja kutaka kuaminisha watu kuwa Kiba bila Diamond hakuna kitu utakuwa na Akili za kushikiwa au ndio uchawa wenyewe huo

Watakuja wasanii kibao na watamuach kwa Sababu jamaa ana identity yake kwenye industry na ana mashabiki zake asilimia kubwa ni wale wale alioanza nao way back
Umeua mule mule
 
Ajabu sana kuona mada kama hii, ilhali Alikiba aliwahi kutamba kabla ya uwepo wa Diamond sasa sijui kitambo hicho alikuwa anabebwa na nani

Alikiba alikuwa anatamba tangu enzi mziki wa tz umetawaliwa na Hip hop, za akina Sir nature,prof jay,Daz nunda,mandojo na domokaya na wabana pua wachache kina Dully Skye's,Mr Paul,Jaydee,Banana zoro nk
Zamani na sasa ni vitu viwili tofauti ,ndio maana miamba ya wakati huo wakiongozwa na Juma Kasimu Kiroboto (Sir Nature) kwa kipindi hiki si chochote wala si lolote kila wimbo ukitoka unabuma
 
Zamani na sasa ni vitu viwili tofauti ,ndio maana miamba ya wakati huo wakiongozwa na Juma Kasimu Kiroboto (Sir Nature) kwa kipindi hiki si chochote wala si lolote kila wimbo ukitoka unabuma
Walimu wako walipata shida sana kukuelekeze, sasa umeambiwa kiba ametamba kwenye zama zote zahao wasanii yan wanakuja wanatamba nae kwenye game wanapotea yeye kiba anapeta
 
Zimebaki siku chache mwezi huu wa July uishe.

Hivyo basi Ally Kiba autumie huu mwezi vizuri kabla Diamond hajaondoa msaada wake.

Diamond Platinumz huwa anamjibu Ally Kiba Ili angalau kum boost kwenye muziki wake.

Nyinyi wenyewe ni mashahidi , Diamond akiachaga tu kujibizana na Ally Kiba, Ally Kiba huwa anapotea .

Miaka michache ya nyuma Diamond alipoamua kuwa kimya Kiba aliishiwa pumzi kabisa kila akitoa ngoma inabuma mwisho wa siku akapigwa gape kubwa sana na wasanii wengi mfano Mboso, Rayvan ,Harmonize, Marioo, Jux nk.

Diamond kwa huruma na moyo wa upendo alionao akaona ngoja amsaidie swahiba wake wa siku nyingi asije akapotea kabisa kwenye game.

Kama kumbukumbu zenu zipo vizuri nyimbo nyingi za Kiba zilizofanya vizuri ni zile ambazo alipewa msaada na Diamond mfano wimbo kama "MWANA" kipindi unatoka ulipata nguvu kupitia wimbo wa "KITORONDO" na nyimbo zake zingine za hovyo hovyo zilizofatia zilipata nguvu kwa kupitia mgongo wa Diamond.

Ukitaka kuamini Kiba si lolote Wala chochote , Diamond alipokuja na Wasafi Festival na kufanya vizuri Kiba akataka na yeye eti atembelee huo upepo na yeye aje na Festival yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kilichotokea nadhani wenyewe mnakijua, ile Festival ingekuwa na nguvu kama tu Diamond angeamua kumpa sapoti kinyume na hapo wenyewe mashahidi festival ya Kiba ilidoda vibaya sana

Sasa basi booster aliyopewa inatosha ,tunataka kumuona Kiba akisimama kwa miguu yake mwenyewe kama kweli anaweza bila kutegemea kupitia Diamond.

Mashabiki wa Kiba mfikishieni taarifa ndugu yenu autumie vizuri huu mwezi hatutaki lawama hii sapoti tunayompa asitegemee tutampa kila siku.
Chai
 
Malomo hii biashara ya muziki kibongo bongo anaijua.
 
Ajabu sana kuona mada kama hii, ilhali Alikiba aliwahi kutamba kabla ya uwepo wa Diamond sasa sijui kitambo hicho alikuwa anabebwa na nani

Alikiba alikuwa anatamba tangu enzi mziki wa tz umetawaliwa na Hip hop, za akina Sir nature,prof jay,Daz nunda,mandojo na domokaya na wabana pua wachache kina Dully Skye's,Mr Paul,Jaydee,Banana zoro nk

Akaja kwa kina makamua,Q jay,marlaw,PNC, Tunda man,
Joslin,Matonya,Pasha,belly white and black,Dullayo nk

Wakamkuta kina belle 9, Diamond,Jux,Top c,Timbulo,Mo music,ommy dimpoz,Top c,Sam wa ukweli nk

Wakaja kina Rayvany,konde,Marioo,Jay melody na madogo wengi wenye mabalaa ila Kiba he's still there, na kila zama alizokuwepo ukitaja wasanii wa 3-5 Bora hakosi

Jamaa ameishi Era zote tangu ameanza kuimba mziki wa bongo Flava, kwahiyo kuja kutaka kuaminisha watu kuwa Kiba bila Diamond hakuna kitu utakuwa na Akili za kushikiwa au ndio uchawa wenyewe huo

Watakuja wasanii kibao na watamuach kwa Sababu jamaa ana identity yake kwenye industry na ana mashabiki zake asilimia kubwa ni wale wale alioanza nao way back
Huyu dogo kipindi hicho alikua bado kwenye vinena vya wazazi wake.
 
Back
Top Bottom