DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 302
- 274
Wana bodi,
Kampeni zime pamba moto, ahadi zinazidi kumwagwa kila kona, wana siasa wakongwe wanazidi kuserebuka kwenye kila hafla, kitu ambacho kime kuwa cha kawaida kwenye mchakato huu wa kuweza kuwa fikia wapiga Kura.
Swali ambalo nina jaribu kujiuliza ni: Je, wagombea wa Vyama vya Upinzani wanaweza kuunda serikali imara. Kuna mengi ambayo wapinzani wanasema kuhusu chama tawala lakini endapo wapinzani watashinda uchaguzi huu, baraza la mawaziri litakuwaje? Mabalozi watakuwa wakina nani? Watawezaje kuendesha nchi?
Ni rahisi kuwa shambulia wana CCM kwa maneno lakini tuki jaribu kutafakari kwa undani zaidi tutagundua kwamba Wapinzani hawana uzoefu wowote wa ku endesha nchi na ina wezekana kwamba hawana mahusiano mazuri ya kutosha na nchi zingine.
Viwanda vyote wanavyo panga kufufua vita kuwa havina muendelezo wowote bila mahusiano mazuri yakutosha na nchi zingine. Huo ni mfano mmoja tu lakini undeshaji wa nchi bila mahusiano mazuri na yakutosha na nchi zingine ni kitu ambacho haki wezekani.
Kuwa na chama kikongwe kilicho wekeza kwenye mambo hayo kina uwezo wa ku mjengea mtu yeyote mahusiano ambayo ni ya muhimu sana.
Tafakari,
Jumatatu njema.
Kampeni zime pamba moto, ahadi zinazidi kumwagwa kila kona, wana siasa wakongwe wanazidi kuserebuka kwenye kila hafla, kitu ambacho kime kuwa cha kawaida kwenye mchakato huu wa kuweza kuwa fikia wapiga Kura.
Swali ambalo nina jaribu kujiuliza ni: Je, wagombea wa Vyama vya Upinzani wanaweza kuunda serikali imara. Kuna mengi ambayo wapinzani wanasema kuhusu chama tawala lakini endapo wapinzani watashinda uchaguzi huu, baraza la mawaziri litakuwaje? Mabalozi watakuwa wakina nani? Watawezaje kuendesha nchi?
Ni rahisi kuwa shambulia wana CCM kwa maneno lakini tuki jaribu kutafakari kwa undani zaidi tutagundua kwamba Wapinzani hawana uzoefu wowote wa ku endesha nchi na ina wezekana kwamba hawana mahusiano mazuri ya kutosha na nchi zingine.
Viwanda vyote wanavyo panga kufufua vita kuwa havina muendelezo wowote bila mahusiano mazuri yakutosha na nchi zingine. Huo ni mfano mmoja tu lakini undeshaji wa nchi bila mahusiano mazuri na yakutosha na nchi zingine ni kitu ambacho haki wezekani.
Kuwa na chama kikongwe kilicho wekeza kwenye mambo hayo kina uwezo wa ku mjengea mtu yeyote mahusiano ambayo ni ya muhimu sana.
Tafakari,
Jumatatu njema.