Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Hawana sera nzuri ya kumuinua mtanzania kiuchumiWengi wao sio wapigania uhuru wa nchi. sio walioshiriki kikamilifu na uhuru wa tz. kwa hivyo uchungu wao kwa nchii hii ni mdogo sana.Ushirikiano wa kimtaifa upo mbali.