Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 2,773
- 6,884
Habari wana JF,Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝.
Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba "EX" wangu wote, hata kama walikuwa na uchungu kuhusu kutengana, kamwe hawakatai kukutana nami ninapowaomba tena Baraka zao, awe ameolewa au awe hajaolewa wananipa naogelea kama kawaida.
Sijawahi kukutana na upinzani wowote kutoka kwa "EX" zangu, hata wale ambao hatujawasiliana kwa miaka kadhaa kutokana na umbali au sababu nyingine za kibinadam. Kila mara tunapokutana, tunapata "BURUDIKO," hata kama wapo katika mahusiano mapya.
Hii inanifanya kuwa na wasiwasi kwa sababu najisikia kama vile wasichana nilio nao katika uhusiano nao wanafanya hivyo hivyo, pia kushindwa kuzuia ombi la kukutana na "EX" zao, hata kama wananithibitishia hawatarudi nyuma. Naona Ni ngumu sana kuamini, hasa inapokuwepo nafasi ya kukutana tena.
Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio 😎😎.
Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli mwanamke anaweza kusahau kabisa "EX" wake, hasa anapopata nafasi ya kukutana naye tena. Nimegundua kwamba "EX" wangu wote, hata kama walikuwa na uchungu kuhusu kutengana, kamwe hawakatai kukutana nami ninapowaomba tena Baraka zao, awe ameolewa au awe hajaolewa wananipa naogelea kama kawaida.
Sijawahi kukutana na upinzani wowote kutoka kwa "EX" zangu, hata wale ambao hatujawasiliana kwa miaka kadhaa kutokana na umbali au sababu nyingine za kibinadam. Kila mara tunapokutana, tunapata "BURUDIKO," hata kama wapo katika mahusiano mapya.
Hii inanifanya kuwa na wasiwasi kwa sababu najisikia kama vile wasichana nilio nao katika uhusiano nao wanafanya hivyo hivyo, pia kushindwa kuzuia ombi la kukutana na "EX" zao, hata kama wananithibitishia hawatarudi nyuma. Naona Ni ngumu sana kuamini, hasa inapokuwepo nafasi ya kukutana tena.
Kauli yangu ni moja tu, Kula Tunda Mara Moja Waachie Wezio 😎😎.