Je, Wanaume wanaogopa ku-date na Wanawake waliowazidi kipato?

sindiswa

Member
May 14, 2022
11
87
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.

Nimekutana na matukio mawili yaliyonifikirisha na kunifanya nikaribie kwenu ili nipate mawazo yenu

Binafsi nimewahi kudate huko nyuma baada ya kumaliza masomo ya chuo siwezi kusema yalikua serious kwasababu bado nilikua sijapata kazi na kufikia malengo yangu mbali mbali niliyojiwekea. Nimefanya kazi sehemu kadhaa nikapata nafasi ya kwenda nje kujiendeleza kielimu. Baada ya kurudi Mungu hamtupi mja wake nimepata kazi nzuri nikafanikiwa kuanza ujenzi na sipo sehemu mbaya nikijaliwa mwisho wa mwaka nahamia kwangu.

Niwe tu mkweli mimi ni mchakarikaji haswa , sio wale wadada wanaopata vitu kwa kwa kutegemea wanaume hapa nilipo ni bidii yangu na support ya wazazi. Sasa katika maisha ya kazi nilibahatika kukutana na kaka ambaye katika kuzoeana tulianzisha mahusiano ambayo kwa namna moja yalikua serious ( ama ndivyo nilivyoyatafsiri) tulikua huru na wazi na baadhi ya nduguze walinifahamu.

Huyu kaka baadae katika ukaribu wetu alijua kwamba nimejenga na nina kabiashara kangu kaongeza kipato japo sikua najivuna lakini alianza kuonyesha inferiority na ikawa chanzo cha ugomvi. Nikisafiri kikazi alikua muda wote anapiga video call na voic call nikajua mahaba kumbe alikua na wivu na vitu kama hivyo mwishowe tulishindwana maana ikitokea kupishana anasema unaringa sababu una gari, umejenga etc kwa hiyo nikagundua hajiamini na anawivu hata usiopaswa ( kuna wakati alisema niache kazi kwasababu nasafiri sana) kitu ambacho kilipelekea mimi kukosa furaha na hatimae nikaumaliza mwendo.

Juzi tu nimekaa na rafiki yangu wa karibu ambae ni single mom wa baby girl mmoja mume alifariki mapema mno ila ni mpambanaji haswa na kwao wanamsupport sana kwa hiyo mambo yake si haba ana kazi nzuri, ana kwake , usafiri na mwanae anaishi nae vizuri sasa katika kufuta upweke akakutana na mkaka wakaanza mahusiano.

Miezi michache mbele mkaka akamwambia dada najiskia vibaya kuwa na mwanamke alienizidi anajiona ha-fit kwa huyu dada ( yani sio wa level zake) na anaona kama dada atamuacha afate wa size yake. Ninavyomfahamu rafiki yangu yuko humble sana na ana aibu yani sio mdada wa mjini .

Ameumia kuachika kisa tu mwanaume anahisi hawaendani vipato ( Mwanaume ni mwajiriwa private) , ni wiki inakata mwanaume kakata mawasiliano.

Ina maana siku hizi wanaume wanaogopa kukuta mwanamke ana kila kitu? Wanaona watadharaulika ama wanaona watachitiwa? Karibuni tujadili kwa lugha ya staha na heshima.

Ikiwezekana ushauri utolewe nini kifanyike kwa dada anaejikuta katika situation ii na vijana wafanyaje ili wasihisi hawana nafasi kwa wadada waliowazidi status.
 
Sijaoa, ila naogopa kuoa mwanamke aliyenipiga Gap kubwa kiuchumi. Sababu kuu ni hizo ulizotaja. Kwa maoni yangu mimi wanaweke wengi walio viziri kiuchumi wanakuwa na amri zenye nia ya kunyanyasa na kujikweza. Mwanaume ni kiongozi, hapaswi kuaongozwa hasa kwa ngazi ya familia.
 
Its true kwenye hii Femministic world, Unaeza anza relationship na mdada anaongea vizur sana kumbe anasubir uingie kwenye 18 zake. Hakuna rangi utaacha ona.

I Think kwa asilimia kubwa when the woman is well of than man lazima mwanaume upate manyanyaso tu compare to men. Sababu nadhani ni Tradition kuwa jamii isham lebel man as everything in familiy, wanawake wenyewe pia ni tatizo atajifanya kukuheshimu mwanzon ila mbele huko ni mvurugano tu.

Kiukwel mimi binafsi hua nataka mwanamke nimzidi each an everything had yy mwenyewe aogope na anitii unless otherwise unaeza Kuta all your life ni kustruggle na mahusiano tu.
 
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.

Nimekutana na matukio mawili yaliyonifikirisha na kunifanya nikaribie kwenu ili nipate mawazo yenu

Binafsi nimewahi kudate huko nyuma baada ya kumaliza masomo ya chuo siwezi kusema yalikua serious kwasababu bado nilikua sijapata kazi na kufikia malengo yangu mbali mbali niliyojiwekea. Nimefanya kazi sehemu kadhaa nikapata nafasi ya kwenda nje kujiendeleza kielimu. Baada ya kurudi Mungu hamtupi mja wake nimepata kazi nzuri nikafanikiwa kuanza ujenzi na sipo sehemu mbaya nikijaliwa mwisho wa mwaka nahamia kwangu.

Niwe tu mkweli mimi ni mchakarikaji haswa , sio wale wadada wanaopata vitu kwa kwa kutegemea wanaume hapa nilipo ni bidii yangu na support ya wazazi. Sasa katika maisha ya kazi nilibahatika kukutana na kaka ambaye katika kuzoeana tulianzisha mahusiano ambayo kwa namna moja yalikua serious ( ama ndivyo nilivyoyatafsiri) tulikua huru na wazi na baadhi ya nduguze walinifahamu.

Huyu kaka baadae katika ukaribu wetu alijua kwamba nimejenga na nina kabiashara kangu kaongeza kipato japo sikua najivuna lakini alianza kuonyesha inferiority na ikawa chanzo cha ugomvi. Nikisafiri kikazi alikua muda wote anapiga video call na voic call nikajua mahaba kumbe alikua na wivu na vitu kama hivyo mwishowe tulishindwana maana ikitokea kupishana anasema unaringa sababu una gari, umejenga etc kwa hiyo nikagundua hajiamini na anawivu hata usiopaswa ( kuna wakati alisema niache kazi kwasababu nasafiri sana) kitu ambacho kilipelekea mimi kukosa furaha na hatimae nikaumaliza mwendo.

Juzi tu nimekaa na rafiki yangu wa karibu ambae ni single mom wa baby girl mmoja mume alifariki mapema mno ila ni mpambanaji haswa na kwao wanamsupport sana kwa hiyo mambo yake si haba ana kazi nzuri, ana kwake , usafiri na mwanae anaishi nae vizuri sasa katika kufuta upweke akakutana na mkaka wakaanza mahusiano.

Miezi michache mbele mkaka akamwambia dada najiskia vibaya kuwa na mwanamke alienizidi anajiona ha-fit kwa huyu dada ( yani sio wa level zake) na anaona kama dada atamuacha afate wa size yake. Ninavyomfahamu rafiki yangu yuko humble sana na ana aibu yani sio mdada wa mjini .

Ameumia kuachika kisa tu mwanaume anahisi hawaendani vipato ( Mwanaume ni mwajiriwa private) , ni wiki inakata mwanaume kakata mawasiliano.

Ina maana siku hizi wanaume wanaogopa kukuta mwanamke ana kila kitu? Wanaona watadharaulika ama wanaona watachitiwa? Karibuni tujadili kwa lugha ya staha na heshima.

Ikiwezekana ushauri utolewe nini kifanyike kwa dada anaejikuta katika situation ii na vijana wafanyaje ili wasihisi hawana nafasi kwa wadada waliowazidi status.
Nimecheka hapo kwenye kuumaliza mwendo, anyways mambo ya msingi ni kwamba kuwa na uwezo ni jambo moja ila kuwa humble na adabu ukiwa na uwezo kipesa ni jambo jengine.

Wanaume tunatofautiana level of confidence kuna ambao wako confident enough kuhandle mwanamke ambaye ana kila kitu na kuna wengine ambao wako insecure kiasi kwamba anawaza mwanamke anaweza kumsumbua sabanu anajiweza.

Kwangu binafsi na uzoefu nilio nao wa kimedani it all depends on a womans attitude. Kuwa na hela sio ishu ila how you behave says alot, kama ni mtu wa "I can pay all my bills you know" kila wakati hatuwezi tukavuka hata Kijazi interchange ya Ubungo lazma tuumalize mwendo tu.

Humbleness na kuwa na kauli nzuri ni muhimu sana kinachoweza kulinda heshima yako regardless ya mpishano kiuchumi plus being generous spices up the relationship kiukweli. Binafsi sipendi mwanamke ambaye anakuwa liability kwangu yani una hela halafu unalazimisha ufanyiwe kila kitu au ile kulazimisha interest zako binafsi kwenye uhusiano kisa wewe una hela.

Ji assess kwa makini ili uone vipengele vyako ujirekebishe. Wengi wa wanawake wenye vipato hujifanyaga super woman wakati mwanaume ni kichwa cha familia.
 
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.

Nimekutana na matukio mawili yaliyonifikirisha na kunifanya nikaribie kwenu ili nipate mawazo yenu

Binafsi nimewahi kudate huko nyuma baada ya kumaliza masomo ya chuo siwezi kusema yalikua serious kwasababu bado nilikua sijapata kazi na kufikia malengo yangu mbali mbali niliyojiwekea. Nimefanya kazi sehemu kadhaa nikapata nafasi ya kwenda nje kujiendeleza kielimu. Baada ya kurudi Mungu hamtupi mja wake nimepata kazi nzuri nikafanikiwa kuanza ujenzi na sipo sehemu mbaya nikijaliwa mwisho wa mwaka nahamia kwangu.

Niwe tu mkweli mimi ni mchakarikaji haswa , sio wale wadada wanaopata vitu kwa kwa kutegemea wanaume hapa nilipo ni bidii yangu na support ya wazazi. Sasa katika maisha ya kazi nilibahatika kukutana na kaka ambaye katika kuzoeana tulianzisha mahusiano ambayo kwa namna moja yalikua serious ( ama ndivyo nilivyoyatafsiri) tulikua huru na wazi na baadhi ya nduguze walinifahamu.

Huyu kaka baadae katika ukaribu wetu alijua kwamba nimejenga na nina kabiashara kangu kaongeza kipato japo sikua najivuna lakini alianza kuonyesha inferiority na ikawa chanzo cha ugomvi. Nikisafiri kikazi alikua muda wote anapiga video call na voic call nikajua mahaba kumbe alikua na wivu na vitu kama hivyo mwishowe tulishindwana maana ikitokea kupishana anasema unaringa sababu una gari, umejenga etc kwa hiyo nikagundua hajiamini na anawivu hata usiopaswa ( kuna wakati alisema niache kazi kwasababu nasafiri sana) kitu ambacho kilipelekea mimi kukosa furaha na hatimae nikaumaliza mwendo.

Juzi tu nimekaa na rafiki yangu wa karibu ambae ni single mom wa baby girl mmoja mume alifariki mapema mno ila ni mpambanaji haswa na kwao wanamsupport sana kwa hiyo mambo yake si haba ana kazi nzuri, ana kwake , usafiri na mwanae anaishi nae vizuri sasa katika kufuta upweke akakutana na mkaka wakaanza mahusiano.

Miezi michache mbele mkaka akamwambia dada najiskia vibaya kuwa na mwanamke alienizidi anajiona ha-fit kwa huyu dada ( yani sio wa level zake) na anaona kama dada atamuacha afate wa size yake. Ninavyomfahamu rafiki yangu yuko humble sana na ana aibu yani sio mdada wa mjini .

Ameumia kuachika kisa tu mwanaume anahisi hawaendani vipato ( Mwanaume ni mwajiriwa private) , ni wiki inakata mwanaume kakata mawasiliano.

Ina maana siku hizi wanaume wanaogopa kukuta mwanamke ana kila kitu? Wanaona watadharaulika ama wanaona watachitiwa? Karibuni tujadili kwa lugha ya staha na heshima.

Ikiwezekana ushauri utolewe nini kifanyike kwa dada anaejikuta katika situation ii na vijana wafanyaje ili wasihisi hawana nafasi kwa wadada waliowazidi status.
Binafsi mwanamke kuwa submissive ndiyo sifa namba moja hayo mengine kwangu ni ubatili. Nampenda sana mwanamke anayenifanya nijisikie mfalme kwake. Kuna binti hapa mtaani lazima nimbebe jumla jumla,si kwa shikamoo zile.

Mwanamke anayeheshimu mamlaka ambayo Mungu kanipa kama Mwanaume huyo ataogelea kwenye mahaba yasiyokauka. Nitampenda sana sana!

Nikirudi kwenye mada,nadhani wanaume wengi wanawaogopa wanawake wenye social status kubwa kuwazidi kwa sababu wanaogopa DHARAU. Kukiwa na chembechembe za dharau wengi hushindwa kuvumilia na kuamua kujiweka kando.

Na kwa bahati mbaya wanawake wa kibongo wengi social status huwa zinawazidi kimo yaani zinawapeleka mputa(nadhani kwa sababu wengi wamekulia mazingira ya kunyanyaswa kwa sababu ya jinsia zao hivyo wakipata wadhifa wanaanza kurevenge kwa kuonesha dharau kwa wanaume).
 
Ukisema status unamaanisha Nini
Kumiliki nyumba na gari ndo status au?

Mtu mpambanaji anayejitambua hawezi kumuogopa Mwanamke wa aina yoyote hata angekuwa Rais

Siku zote Mwanamke Ni Mwanamke tu Ushamba wa Maisha unawasumbua Sana

Mfano Mwanaume anaweza kuwa Hela kibao Majumba na Magari lakini huwez muona anamtukana Mke wake ila sasa kwa Wanawake Kwao kawaida Sana

Hapa napokaa Kuna Mama kapata hela za ukubwani lakin jinsi anavyomtuma Mme wake huku Na kule mpaka Aibu.mara amwambie aoshe Vyombo mara hivi yaani full drama
 
Binafsi mwanamke kuwa submissive ndiyo sifa namba moja hayo mengine kwangu ni ubatili. Nampenda sana mwanamke anayenifanya nijisikie mfalme kwake. Kuna binti hapa mtaani lazima nimbebe jumla jumla,si kwa shikamoo zile.

Mwanamke anayeheshimu mamlaka ambayo Mungu kanipa kama Mwanaume huyo ataogelea kwenye mahaba yasiyokauka. Nitampenda sana sana!

Nikirudi kwenye mada,nadhani wanaume wengi wanawaogopa wanawake wenye social status kubwa kuwazidi kwa sababu wanaogopa DHARAU. Kukiwa na chembechembe za dharau wengi hushindwa kuvumilia na kuamua kujiweka kando.

Na kwa bahati mbaya wanawake wa kibongo wengi social status huwa zinawazidi kimo yaani zinawapeleka mputa(nadhani kwa sababu wengi wamekulia mazingira ya kunyanyaswa kwa sababu ya jinsia zao hivyo wakipata wadhifa wanaanza kurevenge kwa kuonesha dharau kwa wanaume).
Kuna jamaa yangu alikua hohehahe tu ila alipata zari la kupendwa na mtoto wa kishua, demu kwao hela ipo haswaaa na yeye mwenyewe ana biashara na miradi yake mbalimbali.
Mwanamke kueleza kwao anataka aolewe na mtu fulani familia nzima ikapinga wanataka aolewe na mtu mwenye status kama yao.
Demu kwa kua alimpenda sana jamaa akapambana hivyohivyo mpaka wakafanikiwa kuoana.
Mke alikua submissive sana kwa mumewe, alimshirikisha mume wake kwenye miradi yake yote na baada ya kujifungua watoto wawili akaamua kua mama wa nyumbani alee watoto, biashara na miradi yote akamuachia mumewe aiendeshe.
Ndoa yao sasa hivi ina zaidi ya miaka 15 na nyumba yao ina amani na upendo kwelikweli.
Kwa sasa hivi kumpata mwanamke wa hivyo labda ni mmoja kati ya wanawake 1000.
Sasa hivi jamaa anakubalika kwelikweli kwenye familia ya mke wake.
Kikubwa na mwanaume pia ametulia hana mambo mengi,
shida inakuja kwa wale wanaume akishapata hela anataka ale bata sasa na wanawake mbalimbali.
 
Ukisema status unamaanisha Nini
Kumiliki nyumba na gari ndo status au?

Mtu mpambanaji anayejitambua hawezi kumuogopa Mwanamke wa aina yoyote hata angekuwa Rais

Siku zote Mwanamke Ni Mwanamke tu Ushamba wa Maisha unawasumbua Sana

Mfano Mwanaume anaweza kuwa Hela kibao Majumba na Magari lakini huwez muona anamtukana Mke wake ila sasa kwa Wanawake Kwao kawaida Sana

Hapa napokaa Kuna Mama kapata hela za ukubwani lakin jinsi anavyomtuma Mme wake huku Na kule mpaka Aibu.mara amwambie aoshe Vyombo mara hivi yaani full drama
Social status nilimaanisha "vyote vinavyomfanya mwanamke aheshimike mbele ya jamii ikiwemo pesa,ajira,cheo n.k"
 
Kuna jamaa yangu alikua hohehahe tu ila alipata zari la kupendwa na mtoto wa kishua, demu kwao hela ipo haswaaa na yeye mwenyewe ana biashara na miradi yake mbalimbali.
Mwanamke kueleza kwao anataka aolewe na mtu fulani familia nzima ikapinga wanataka aolewe na mtu mwenye status kama yao.
Demu kwa kua alimpenda sana jamaa akapambana hivyohivyo mpaka wakafanikiwa kuoana.
Mke alikua submissive sana kwa mumewe, alimshirikisha mume wake kwenye miradi yake yote na baada ya kujifungua watoto wawili akaamua kua mama wa nyumbani alee watoto, biashara na miradi yote akamuachia mumewe aiendeshe.
Ndoa yao sasa hivi ina zaidi ya miaka 15 na nyumba yao ina amani na upendo kwelikweli.
Kwa sasa hivi kumpata mwanamke wa hivyo labda ni mmoja kati ya wanawake 1000.
Sasa hivi jamaa anakubalika kwelikweli kwenye familia ya mke wake.
Kikubwa na mwanaume pia ametulia hana mambo mengi,
shida inakuja kwa wale wanaume akishapata hela anataka ale bata sasa na wanawake mbalimbali.
Asante kwa ushuhuda huu. Nionavyo mimi,aina hiyo ya wanawake wanaotambua nafasi zao katika ndoa itazidi kuongezeka siku za mbeleni. Ngoja kwanza wanawake wenye viburi na dharau wajifunze madhara ya "u-superwoman" wao kwa vitendo.
 
Social status ndio inafanya wanaume waogope kuingia katika mahusiano na wanawake wenye uwezo.
Mdada ana;
-nyumba nzuri.
-usafiri mzuri.
-Take home kubwa.
-nafasi kubwa kazini.

Haya yanaweza kumfanya awe;
-kiburi.
-majivuno.
-kujikweza.
-kutosikiliza mume.
-kumtawala mume.

Mwanaume anayejielewa hawezi kubali kuishi na mtu wa namna hii. Ila wanawake nao wanaangalia, akiona upo inferior nae anakandamiza hapo hapo. Utaumia hadi ushangae...
 
Wanawake wasomi wenye kazi na kipato kikubwa wengi wao ni Singo Mothers.

Mwanamke hachumbii ila yeye ndio ataolewa na mwanaume na kuwa chini yake.

Ikitokea mwanamke umeshajenga Nyumba kisha mkaja kuishi hapo na mumeo, kunasiku Mume akichelewa kurudi huwa mna kauli zenu zile 'Yani Mume wangu sipendi uwe unarudi kwangu saa tano usiku, kesho ukirudi muda huu ulale hukohuko kwa malaya zako' hapo mwanaume ataona kuwa wewe ndio mwenye mamlaka kwa kuwa ni kwako.
mwanaume ataona kuwa umeondoa uanaume wake na wewe ndie unaemmiliki.

Ushauri wangu: Mwanamke kama umejenga nyumba, ukiolewa tu pangisha nyumba yako kisha nendeni mkapangishe au anzeni mchakato wa nyumba nyingine ukiwa na mumeo.
Hakuna mwanaume anaejielewa anaekubali kuwa chini ya mamlaka ya mwanamke. Viburi na majivuno ya wanawake utokana na kipato chake, na atataka uhuru wa yeye kufanya chochote akitakacho.
 
Wanawake wasomi wenye kazi na kipato kikubwa wengi wao ni Singo Mothers.

Mwanamke hachumbii ila yeye ndio ataolewa na mwanaume na kuwa chini yake.

Ikitokea mwanamke umeshajenga Nyumba kisha mkaja kuishi hapo na mumeo, kunasiku Mume akichelewa kurudi huwa mna kauli zenu zile 'Yani Mume wangu sipendi uwe unarudi kwangu saa tano usiku, kesho ukirudi muda huu ulale hukohuko kwa malaya zako' hapo mwanaume ataona kuwa wewe ndio mwenye mamlaka kwa kuwa ni kwako.
mwanaume ataona kuwa umeondoa uanaume wake na wewe ndie unaemmiliki.

Ushauri wangu: Mwanamke kama umejenga nyumba, ukiolewa tu pangisha nyumba yako kisha nendeni mkapangishe au anzeni mchakato wa nyumba nyingine ukiwa na mumeo.
Hakuna mwanaume anaejielewa anaekubali kuwa chini ya mamlaka ya mwanamke. Viburi na majivuno ya wanawake utokana na kipato chake, na atataka uhuru wa yeye kufanya chochote akitakacho.
Upo sawa kabisa
 
Yule ex girlfried Phd holder pale UDSM, alikua na gari + anaezeka nyumba by then we meet penz lilikua tam sana ila zile ego za kujikuta larger than life nikashindwa tukaachana. Arguments kidgo atawakaaaaa ka mwalim wa zam had anakua mwekundu af anazila zila tu akimind hali ilyopelekea kupata solution kua ngumu. After 4th trial sikutaka kumrudia japo aliniomba sana tuendelee. Aliiamin mm siwez kumuacha kwa sabab ya yeye kumiliki vitu nlivyotaja apo, so labda ntamgwaya.
 
Nimecheka hapo kwenye kuumaliza mwendo, anyways mambo ya msingi ni kwamba kuwa na uwezo ni jambo moja ila kuwa humble na adabu ukiwa na uwezo kipesa ni jambo jengine.

Wanaume tunatofautiana level of confidence kuna ambao wako confident enough kuhandle mwanamke ambaye ana kila kitu na kuna wengine ambao wako insecure kiasi kwamba anawaza mwanamke anaweza kumsumbua sabanu anajiweza.

Kwangu binafsi na uzoefu nilio nao wa kimedani it all depends on a womans attitude. Kuwa na hela sio ishu ila how you behave says alot, kama ni mtu wa "I can pay all my bills you know" kila wakati hatuwezi tukavuka hata Kijazi interchange ya Ubungo lazma tuumalize mwendo tu.

Humbleness na kuwa na kauli nzuri ni muhimu sana kinachoweza kulinda heshima yako regardless ya mpishano kiuchumi plus being generous spices up the relationship kiukweli. Binafsi sipendi mwanamke ambaye anakuwa liability kwangu yani una hela halafu unalazimisha ufanyiwe kila kitu au ile kulazimisha interest zako binafsi kwenye uhusiano kisa wewe una hela.

Ji assess kwa makini ili uone vipengele vyako ujirekebishe. Wengi wa wanawake wenye vipato hujifanyaga super woman wakati mwanaume ni kichwa cha familia.
Ji assess kwa makini ili uone vipengele vyako ujirekebishe. Wengi wa wanawake wenye vipato hujifanyaga super woman wakati mwanaume ni kichwa cha familia.

Hili ndo jibu sahihi kwenye hili umesema vema
 
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.

Nimekutana na matukio mawili yaliyonifikirisha na kunifanya nikaribie kwenu ili nipate mawazo yenu

Binafsi nimewahi kudate huko nyuma baada ya kumaliza masomo ya chuo siwezi kusema yalikua serious kwasababu bado nilikua sijapata kazi na kufikia malengo yangu mbali mbali niliyojiwekea. Nimefanya kazi sehemu kadhaa nikapata nafasi ya kwenda nje kujiendeleza kielimu. Baada ya kurudi Mungu hamtupi mja wake nimepata kazi nzuri nikafanikiwa kuanza ujenzi na sipo sehemu mbaya nikijaliwa mwisho wa mwaka nahamia kwangu.

Niwe tu mkweli mimi ni mchakarikaji haswa , sio wale wadada wanaopata vitu kwa kwa kutegemea wanaume hapa nilipo ni bidii yangu na support ya wazazi. Sasa katika maisha ya kazi nilibahatika kukutana na kaka ambaye katika kuzoeana tulianzisha mahusiano ambayo kwa namna moja yalikua serious ( ama ndivyo nilivyoyatafsiri) tulikua huru na wazi na baadhi ya nduguze walinifahamu.

Huyu kaka baadae katika ukaribu wetu alijua kwamba nimejenga na nina kabiashara kangu kaongeza kipato japo sikua najivuna lakini alianza kuonyesha inferiority na ikawa chanzo cha ugomvi. Nikisafiri kikazi alikua muda wote anapiga video call na voic call nikajua mahaba kumbe alikua na wivu na vitu kama hivyo mwishowe tulishindwana maana ikitokea kupishana anasema unaringa sababu una gari, umejenga etc kwa hiyo nikagundua hajiamini na anawivu hata usiopaswa ( kuna wakati alisema niache kazi kwasababu nasafiri sana) kitu ambacho kilipelekea mimi kukosa furaha na hatimae nikaumaliza mwendo.

Juzi tu nimekaa na rafiki yangu wa karibu ambae ni single mom wa baby girl mmoja mume alifariki mapema mno ila ni mpambanaji haswa na kwao wanamsupport sana kwa hiyo mambo yake si haba ana kazi nzuri, ana kwake , usafiri na mwanae anaishi nae vizuri sasa katika kufuta upweke akakutana na mkaka wakaanza mahusiano.

Miezi michache mbele mkaka akamwambia dada najiskia vibaya kuwa na mwanamke alienizidi anajiona ha-fit kwa huyu dada ( yani sio wa level zake) na anaona kama dada atamuacha afate wa size yake. Ninavyomfahamu rafiki yangu yuko humble sana na ana aibu yani sio mdada wa mjini .

Ameumia kuachika kisa tu mwanaume anahisi hawaendani vipato ( Mwanaume ni mwajiriwa private) , ni wiki inakata mwanaume kakata mawasiliano.

Ina maana siku hizi wanaume wanaogopa kukuta mwanamke ana kila kitu? Wanaona watadharaulika ama wanaona watachitiwa? Karibuni tujadili kwa lugha ya staha na heshima.

Ikiwezekana ushauri utolewe nini kifanyike kwa dada anaejikuta katika situation ii na vijana wafanyaje ili wasihisi hawana nafasi kwa wadada waliowazidi status.
Wakati nasoma huu uzi nilitaka nitetee.. ikaja sauti kichwani inasema "hello peterrrr.. how was it??!!

Wanaume wenzangu ukitaka mwanamke akupende kweli.. jifunze kula pesa yake hata kama na wewe unapesa kiasi gani.. lakini sijamaanisha tuwe marioo kabisakabisa yani
 
Back
Top Bottom