sikwedawaz
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 300
- 258
Siasa au Dini 👇👇👇👇👇
Mwanzo 1:26
[Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.”]
kama ni mfano wake kwa nini maneno yao yasiwe mfano wake😂😂😂
Mwanzo 1:26
[Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.”]
kama ni mfano wake kwa nini maneno yao yasiwe mfano wake😂😂😂