Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

Siasa au Dini 👇👇👇👇👇
Mwanzo 1:26
[Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.”]

kama ni mfano wake kwa nini maneno yao yasiwe mfano wake😂😂😂
 
Sauti ya wengi ni sauti ya mungu kwakuwa na tec ni jopo la watu wengi hivyo ni sauti ya mungu
Sio kweli.Kwa MUNGU huyu ninayemjua mimi (YAHWEH) hana wengi wape.Cha kwake huwa kinapendwa na wachache.Mfano:gharika la enzi ya Nuhu waliokolewa watu 8 tu,Sodoma na Gomola ilipoangamizwa kwa moto waliokolewa watu 3 tu,Enzi za Danieli kule Babeli walipoambiwa wasujudu mbele ya sanamu ya Nebuchadneza,watu wengi walisujudu isipokuwa vijana watatu tu,Meshaki,Shadraki na Abednego.Sasa Vipi wewe utuambie sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU!Ni MUNGU yupi unayemzungumzia! MUNGU (YAHWEH) yeye anatutaka watu tunaojinasibu kumfuata tutii mamlaka(Warumi 13:1-5).Labda ikitokea mamlaka ikatoa amri inayopingana na amri mojawapo ya MUNGU kama kutulazimisha kufanya kazi za kiserikali siku ya sabato,ndipo tunaposema;"imetupasa kumtii MUNGU kuliko wanadamu(matendo 5:29).Lkn suala la bandari linapingana Vipi na sheria ya MUNGU iliyoko kwenye kutoka 20:1-17!
 
Bwana Pascal Mayalla naona unahaha sana. Huenda wewe ni mkristo usiyelijua neno la Mungu.

Tangu enzi na enzi watumishi wa Mungu wametumika mara zote kwenye siasa.

Nakusihi uende kwenye Biblia ukasome habari za Yohana Mbatizaji na mfalme Herode.

Yohana alimkemea sana Herode kutokana na kufanya mambo ya hovyo.

Nenda kasome habari za Daniel pia.

Mimi nitaendelea kukufundisha tu mpaka kichwa chako kikae sawa.
Unazani haelewi? Anaelewa sana hata hivyo umemjibu kiungwana sana fala huyu. NISAMEHE KAMA NITAKUWA NIMEKUCHAFULIA COMMENT YAKO
 
Kama siasa zote asili yake ni BIBLIA, according to the book of Genesis, 1&2Samwel, 1&2 Kings , Exodus, Daniel, Isaiah,Waamuzi nk nk,

Unawezaje kuutenga waraka wa TEC na Neno la Mungu?

Sikio lisizidi KICHWA Paskali.
Sijawahi kusikia Mkatoliki Mpumbavu wa kiwango hiki. Siasa na Uongozi vyote asili yake ni dini kulingana na Biblia ambayo Leo amethibitisha alikuwa anaiamini Ila Kwa maslahi binafsi haiamini tena.
 
Usisahau kuwa altare hizohizo zilitumika khamasisha waumini kushiriki uchaguzi. Inakuwa kuhimiza uchaguzi ilikuwa halali na leo kukemea maovu inakuwa kuchanganya siasa na dini?

Tunakujua wewe ulikuwa kinyume na baba, uko pamoja nao.

Isitoshe Mr Mayala ni mtu mkubwa sana. Sauti yako ina nguvu na inasikika mbali. Waambie wasibabaike na waraka wa TEC hauna madhara. Ila wajiandae kupoteana njia.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Altare? sijuia kama uliwahi kuingia kanisani na unazijua sehemu za kanisa vizuri. Bado kidogo uatatwambia
1693233957871.png

ni kasiki la kuwekea sadaka
 

Attachments

  • 1693233942779.png
    1693233942779.png
    9.9 KB · Views: 1
Ukweli na kusema ukweli kwa kutafuta sifa ya kupendwa ni ujinga- DINI haichanganywi na siasa. Aidha jibuni swali lake- Paskali anaunga mkono makubaliano ya bandari, je aende kusali na huko akosomewe tamko la kupinga bandari? Nionyeshe bandari kwenye amri kumi za Mungu- ACHENI UPOFU
Kwa hiyo kwa sababu bandari haipo kwenye Biblia, basi mnajiona mna haki ya kuzichezea raslimali zetu kwa kuwauzia wageni siyo!!

Hakika umepotoka pakubwa sana! Tambua tu jukumu la viongozi wa dini kukemea maovu, halikuanzishwa na TEC! Soma Biblia kwa umakini halafu ujionee mwenyewe ni mara ngapi viongozi wa imani kwa nyakati tofauti waliwakemea watawala waliokiuka maadili ya utawala wao.
 
Kwa hiyo kwa sababu bandati haipp kwenye Biblia, basi mnajiona mna haki ya kuzichezea raslimali zetu kwa kuwauzia wageni siyo!!

Hakika umepotoka pakubwa sana! Tambua tu jukumu la viongozi wa dini kukemea maovu, halikuanzishwa na TEC! Soma Biblia kwa umakini halafu ujionee mwenyewe ni mara ngapi viongozi wa imani kwa nyakati tofauti waliwakemea watawala waliokiuka maadili ya utawala wao.
Siliza rais ndiye mwenye dhamana -heshimu mamlaka
 
Kama siasa zote asili yake ni BIBLIA, according to the book of Genesis, 1&2Samwel, 1&2 Kings , Exodus, Daniel, Isaiah,Waamuzi nk nk,

Unawezaje kuutenga waraka wa TEC na Neno la Mungu?

Sikio lisizidi KICHWA Paskali.
Enzi za viongozi wa dini kuwa viongozi wa jamii yote, zimekwishapita karne nyingi nyuma. Katika karne hizo dini ilikuwa nyenzo ya biashara.

Kwa karne yetu, Dini ni moja kati ya nyenzo za dola.

Utake ndio hivyo, usitake ndio. Huu ndio ukweli mchungu. comte
 
Nimesoma lakini sijaona hoja yako ni ipi?

The claim which you assert, and which I deny, is that, there is separable etiological connection between a creator and its creature.

You have not defended your case yet!
We are not talking about creation—the creator and the creatures. We are talking about politics and religion; do they have a soil and blood relationship? My answer is no; the two do not mix; they are social constructs, and God does not even know them.
 
We are not talking about creation—the creator and the creatures. We are talking about politics and religion; do they have a soil and blood relationship? My answer is no; the two do not mix; they are social constructs, and God does not even know them.

Sorry!
A polity and religion are natural societies (Refer to: Thomas Aquinas' Political Philosophy).
They are not conventional societies
God knows them.
Start again.
 
Wanabodi,
Tumsifu Yesu Kristo.
Declaration of Interest
Mimi ni Mkristo Mkatoliki die hard, yaani wale Wakatoliki ambao wamezaliwa Wakatoliki, na kupokea zile sakramenti 4 za Katoliki, yaani wamebatizwa Katoliki, wamepokea Komunio Katoliki, Kipaimara Katoliki, ndoa Katoliki, na ile sherehe ya mwisho pia ni Katoliki, ila ni waumini wa type ya Tomaso!.

Imani ni kitu very delicate, unaambiwa Mungu yuko mbinguni, unaamini bila kujiuliza lolote!. Unaambiwa kuna peponi, unaamini!, unaambiwa kuna motoni, unaamini!. Unaambiwa kuna malaika wanaruka kwa mabawa, unaamini!. Unaambiwa kuna shetani na kuna mapepo unaamini!. Sisi waumini wa Tomaso type tukiambiwa chochote, huwa tunauliza na kujiuliza!.

Kufuatia imani ni kuamini kile unachoaminishwa na the people you can trust, ndio maana mtu unapozaliwa, ukizaliwa kwenye Uislam unaamini Islam ndio dini ya kweli!, ukizaliwa kwenye Ukiristo, unaamini Ukristo ndio dini ya kweli!, mimi nimeishi kidogo India na kupata fursa ya kusoma kidogo Hinduism na Buddhism, ndipo nikagundua kumbe Christianity na Islamic ni kama dini za juzi juzi compared to Hinduism na Buddhism!

Watu tuna tendency ya kuwaamini sana viongozi wetu wa dini kuwa mafundisho yao yote ni mafundisho ya Mungu, neno lao ni neno la Mungu!.

Kanisa langu Katoliki Tanzania from time to time, huwa linatoa Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kuzungumzia jambo lolote kiwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Hivi karibuni TEC imetoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu. Waraka huo umesomwa wote kwenye misa zote, na ibada zote za makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima, kwa wiki mbili mfululizo.

Kwa vile waraka huo unasomewa altareni, madhabahuni na mimbarini, Hivyo kuna baadhi ya Wakristo Wakatoliki wanadhani waraka huo wa Maaskofu Katoliki Tanzania, ni sehemu ya ibada na ni neno la Mungu!.

Hivyo Wakatoliki waaminifu na watiifu wakauamini waraka huo kwa kudhani ni neno la Mungu, hivyo kuuheshimu hadi kudhani usipokubaliana nao, ni kwenda kinyume cha kanisa Katoliki hadi wengine kudhani ukitofautiana na msimamo wa Maaskofu Katoliki Tanzania ni kutenda dhambi!.

Natoa wito kwa kanisa langu, ambalo ni kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume, Ili kuepuka kuchanganya dini na siasa, waumini Wakatoliki pia tuambiwe ukweli kuwa Waraka ule wa TEC, Sio Neno la Mungu!, ni maoni ya Maaskofu Katoliki Tanzania na sio maagizo ya Mungu na mtu Mkatoliki usipokubaliana na waraka huo, sio dhambi na wala sio kosa lolote kutotii waraka wa TEC, ili Wakatoliki wote wanaiunga mkono serikali yetu katika issue ya DPW na Bandari zetu, wasikose amani ndani ya nafsi zao!.

Na ili kuepuka mkanganyiko ya kutukanganya waumini kuhusu uwezekano wa kuchanganya dini na siasa, kunapotokea nyaraka au maagizo ya kidunia ambayo sio ya Mungu, kama hili tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, lisiwe linasomewa madhabahuni, liwe linasomewa kwenye podium ya chini, ili lisije kuhesabika nalo ni neno la Mungu!, au ni sehemu ya ibada kumbe ni mambo tuu ya kidunia na sio mambo ya Mungu!.

Hivyo sisi Watanzania Wakatoliki tunao unga mkono uwekezaji wa DPW kwa Bandari zetu, tusikose amani ndani ya nafsi zetu kwa kutokubaliana na Maaskofu wetu, ambao ni viongozi wetu wa dini, tunao waamini sana, tunawaheshimu sana na kuwategemea sana kutuongoza kufika mbinguni kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele!.

Tumsifu Yesu Kristo

Paskali.
Mimi nadhani Maaskofu hawana kosa, kawaida duniani ni kumwamini mtendaji aliye chini yako kwa vile atakuwa na data zaidi na muda mwingi zaidi kutafakari. Fr Kitima kawasaliti, katumia imani yao kupenyeza mambo ya CUADEMA. Ulimsikia akisema Mkataba huu unawapa Waarabu haki ya kibomoa Kanisa la St Joseph? Hili haliongezi afya wala shibe, ni chuki tupu kama tulizosikia kwa Wahutu. Baadaye akasema Watanzania "walio wengi" hawataki Mkataba, kajuaje? Ni maneno ya CHADEMA, kada wa CHADEMA aliona nafasi nzuri kutangaza pipozpawa. Kumbuka pia alikuwa ni msemaji kule Temeke kumtukana Rais, hakuna Askofu aliyejua hilo. Ni mtu mmoja asiwakwaze Watanzania.

Mie ni whitefather tuna watakatifu 22 wafiadini: Papri Mapera hakuwahi kumtukana Kabaka. Hili la bandari si la Imani Katoliki bali ni la sensa ya Padri Kitima kudai ni Watanzania walio wengi.
 
Enzi za viongozi wa dini kuwa viongozi wa jamii yote, zimekwishapita karne nyingi nyuma. Katika karne hizo dini ilikuwa nyenzo ya biashara.

Kwa karne yetu, Dini ni moja kati ya nyenzo za dola.

Utake ndio hivyo, usitake ndio. Huu ndio ukweli mchungu. comte
Historia inakukatalia
Toka zamani dini ilikuwa sehemu ya watu- Wayahudi kwa mfano, kama ilivyo kwa wasukuma. Yesu alikpokuja ukaibuka Ukristo ( Mtendo ya Yesu+ Uyahudi). Alipoondoka wakristo (Wafuasi wa YESU) wakaanza habari ya kueneza ukristo nje ya Uyahudi, wakapata upinzani kutoka kwenye mamlaka. Kumbuka wakati huo kila mahala ni utawala wa Kirumi. Walipoweza kumnasa mrumi -ukapatikana muungano tena wa dola na dini ( wakristo wa Roma- RC). Kulipokuja vuguvugu la jamii mbalimbali kujitawala,dola mpaya zikajitenga na Roma na roma yenyewe ikaizaa VATICAN ndiyo hii dhana na kutenganisha dola na dini ikaanza kupigiwa chapuo.
Kama unavyosema leo dunia ni jamii chotara, siyo ethnical - ukiunganisha dini na dola utapata upinzani tu. Ndiyo maana tunasema DINI wafanye yao NA serikali ifanye yake. Halafu hawa TEC Kitima wanataka kuwa kote kote- wanatukwaza na kutuweka majaribuni; hivi uzinzi tumeacha baada ya kuwasikia hadi waache kuusema sasa warukie bandari? Bandari iko wapi kwenye hizo amri kumi za Mungu?
 
Wanabodi,
Tumsifu Yesu Kristo.
Declaration of Interest
Mimi ni Mkristo Mkatoliki die hard, yaani wale Wakatoliki ambao wamezaliwa Wakatoliki, na kupokea zile sakramenti 4 za Katoliki, yaani wamebatizwa Katoliki, wamepokea Komunio Katoliki, Kipaimara Katoliki, ndoa Katoliki, na ile sherehe ya mwisho pia ni Katoliki, ila ni waumini wa type ya Tomaso!.

Imani ni kitu very delicate, unaambiwa Mungu yuko mbinguni, unaamini bila kujiuliza lolote!. Unaambiwa kuna peponi, unaamini!, unaambiwa kuna motoni, unaamini!. Unaambiwa kuna malaika wanaruka kwa mabawa, unaamini!. Unaambiwa kuna shetani na kuna mapepo unaamini!. Sisi waumini wa Tomaso type tukiambiwa chochote, huwa tunauliza na kujiuliza!.

Kufuatia imani ni kuamini kile unachoaminishwa na the people you can trust, ndio maana mtu unapozaliwa, ukizaliwa kwenye Uislam unaamini Islam ndio dini ya kweli!, ukizaliwa kwenye Ukiristo, unaamini Ukristo ndio dini ya kweli!, mimi nimeishi kidogo India na kupata fursa ya kusoma kidogo Hinduism na Buddhism, ndipo nikagundua kumbe Christianity na Islamic ni kama dini za juzi juzi compared to Hinduism na Buddhism!

Watu tuna tendency ya kuwaamini sana viongozi wetu wa dini kuwa mafundisho yao yote ni mafundisho ya Mungu, neno lao ni neno la Mungu!.

Kanisa langu Katoliki Tanzania from time to time, huwa linatoa Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kuzungumzia jambo lolote kiwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Hivi karibuni TEC imetoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu. Waraka huo umesomwa wote kwenye misa zote, na ibada zote za makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima, kwa wiki mbili mfululizo.

Kwa vile waraka huo unasomewa altareni, madhabahuni na mimbarini, Hivyo kuna baadhi ya Wakristo Wakatoliki wanadhani waraka huo wa Maaskofu Katoliki Tanzania, ni sehemu ya ibada na ni neno la Mungu!.

Hivyo Wakatoliki waaminifu na watiifu wakauamini waraka huo kwa kudhani ni neno la Mungu, hivyo kuuheshimu hadi kudhani usipokubaliana nao, ni kwenda kinyume cha kanisa Katoliki hadi wengine kudhani ukitofautiana na msimamo wa Maaskofu Katoliki Tanzania ni kutenda dhambi!.

Natoa wito kwa kanisa langu, ambalo ni kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume, Ili kuepuka kuchanganya dini na siasa, waumini Wakatoliki pia tuambiwe ukweli kuwa Waraka ule wa TEC, Sio Neno la Mungu!, ni maoni ya Maaskofu Katoliki Tanzania na sio maagizo ya Mungu na mtu Mkatoliki usipokubaliana na waraka huo, sio dhambi na wala sio kosa lolote kutotii waraka wa TEC, ili Wakatoliki wote wanaiunga mkono serikali yetu katika issue ya DPW na Bandari zetu, wasikose amani ndani ya nafsi zao!.

Na ili kuepuka mkanganyiko ya kutukanganya waumini kuhusu uwezekano wa kuchanganya dini na siasa, kunapotokea nyaraka au maagizo ya kidunia ambayo sio ya Mungu, kama hili tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, lisiwe linasomewa madhabahuni, liwe linasomewa kwenye podium ya chini, ili lisije kuhesabika nalo ni neno la Mungu!, au ni sehemu ya ibada kumbe ni mambo tuu ya kidunia na sio mambo ya Mungu!.

Hivyo sisi Watanzania Wakatoliki tunao unga mkono uwekezaji wa DPW kwa Bandari zetu, tusikose amani ndani ya nafsi zetu kwa kutokubaliana na Maaskofu wetu, ambao ni viongozi wetu wa dini, tunao waamini sana, tunawaheshimu sana na kuwategemea sana kutuongoza kufika mbinguni kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele!.

Tumsifu Yesu Kristo

Paskali.
I DID NOT KNOW WHETHER PASCAL MAYALA WAS THAT MUCH STUPID.YOU HAVE BEEN FIGHTING FOR PRESIDENTIAL APPOINTMENT FOR SIX YEARS,LITTLE DID YOU KNOW THAT THE QUESTION YOU ASKED MAGUFULI REGARDING TO THREE ARMS OF THE STATE IS THAT WHICH PUT YOU TO THE STREET TO DATE. AMKA!!!
 
Wanabodi,
Tumsifu Yesu Kristo.
Declaration of Interest
Mimi ni Mkristo Mkatoliki die hard, yaani wale Wakatoliki ambao wamezaliwa Wakatoliki, na kupokea zile sakramenti 4 za Katoliki, yaani wamebatizwa Katoliki, wamepokea Komunio Katoliki, Kipaimara Katoliki, ndoa Katoliki, na ile sherehe ya mwisho pia ni Katoliki, ila ni waumini wa type ya Tomaso!.

Imani ni kitu very delicate, unaambiwa Mungu yuko mbinguni, unaamini bila kujiuliza lolote!. Unaambiwa kuna peponi, unaamini!, unaambiwa kuna motoni, unaamini!. Unaambiwa kuna malaika wanaruka kwa mabawa, unaamini!. Unaambiwa kuna shetani na kuna mapepo unaamini!. Sisi waumini wa Tomaso type tukiambiwa chochote, huwa tunauliza na kujiuliza!.

Kufuatia imani ni kuamini kile unachoaminishwa na the people you can trust, ndio maana mtu unapozaliwa, ukizaliwa kwenye Uislam unaamini Islam ndio dini ya kweli!, ukizaliwa kwenye Ukiristo, unaamini Ukristo ndio dini ya kweli!, mimi nimeishi kidogo India na kupata fursa ya kusoma kidogo Hinduism na Buddhism, ndipo nikagundua kumbe Christianity na Islamic ni kama dini za juzi juzi compared to Hinduism na Buddhism!

Watu tuna tendency ya kuwaamini sana viongozi wetu wa dini kuwa mafundisho yao yote ni mafundisho ya Mungu, neno lao ni neno la Mungu!.

Kanisa langu Katoliki Tanzania from time to time, huwa linatoa Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kuzungumzia jambo lolote kiwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Hivi karibuni TEC imetoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu. Waraka huo umesomwa wote kwenye misa zote, na ibada zote za makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima, kwa wiki mbili mfululizo.

Kwa vile waraka huo unasomewa altareni, madhabahuni na mimbarini, Hivyo kuna baadhi ya Wakristo Wakatoliki wanadhani waraka huo wa Maaskofu Katoliki Tanzania, ni sehemu ya ibada na ni neno la Mungu!.

Hivyo Wakatoliki waaminifu na watiifu wakauamini waraka huo kwa kudhani ni neno la Mungu, hivyo kuuheshimu hadi kudhani usipokubaliana nao, ni kwenda kinyume cha kanisa Katoliki hadi wengine kudhani ukitofautiana na msimamo wa Maaskofu Katoliki Tanzania ni kutenda dhambi!.

Natoa wito kwa kanisa langu, ambalo ni kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume, Ili kuepuka kuchanganya dini na siasa, waumini Wakatoliki pia tuambiwe ukweli kuwa Waraka ule wa TEC, Sio Neno la Mungu!, ni maoni ya Maaskofu Katoliki Tanzania na sio maagizo ya Mungu na mtu Mkatoliki usipokubaliana na waraka huo, sio dhambi na wala sio kosa lolote kutotii waraka wa TEC, ili Wakatoliki wote wanaiunga mkono serikali yetu katika issue ya DPW na Bandari zetu, wasikose amani ndani ya nafsi zao!.

Na ili kuepuka mkanganyiko ya kutukanganya waumini kuhusu uwezekano wa kuchanganya dini na siasa, kunapotokea nyaraka au maagizo ya kidunia ambayo sio ya Mungu, kama hili tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, lisiwe linasomewa madhabahuni, liwe linasomewa kwenye podium ya chini, ili lisije kuhesabika nalo ni neno la Mungu!, au ni sehemu ya ibada kumbe ni mambo tuu ya kidunia na sio mambo ya Mungu!.

Hivyo sisi Watanzania Wakatoliki tunao unga mkono uwekezaji wa DPW kwa Bandari zetu, tusikose amani ndani ya nafsi zetu kwa kutokubaliana na Maaskofu wetu, ambao ni viongozi wetu wa dini, tunao waamini sana, tunawaheshimu sana na kuwategemea sana kutuongoza kufika mbinguni kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele!.

Tumsifu Yesu Kristo

Paskali.
Bado unaendelea kuhangaika na waraka wa TEC ? Au kwa sababu kuna nafasi za teuzi ziko wazi
 
Back
Top Bottom