Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

wewe jamaa bwana

yaani it happened chama kina watu wengi kutoka kaskazini basi ni dhambi?

it happened sio kwamba wamezuia wengine kuingia

ufukuze watu sababu wamekua wengi ili watu "wasione" kama cha wachagga?

cha ajabu upo hapa unafanya reverse racism...kwamba hawana haki ya kuwepo zaidi ili chama kisiwe na hiyo dhana?

chama kinaendeshwa kwa dhana?
Sidhan kama hata UMEELEWA. Nashauri Ubaki na Uelewa wako
 
Kilimanjaro/arusha ilikuwa ngome ya chadema huwaambii kitu, ni chadema tu. Hata hivyo chadema ilishaenea kanda zingine kabla ya uchaguzi ule ulioghoshiwa. Kwa sasa chadema imezaliwa upya ina viongozi wakuu wapya, wana maono tofauti na waliopita. Mwenyekiti aliyepita ni mchaga, alishindwa kwenye uchaguzi. Waliokuwa wanamuunga mkono ndio hawa wanaoondoka na kuhama chama hicho chenye uongozi mpya. Wengi wao ni wachaga wanaohama. Huenda wakajiunga na mtu wao huko waendapo kwenye chama watakachojiunga nacho
Kilimanjaro na Arusha CCM ipo na yenye nguvu.
Hata hivyo, tofauti na mikoa mingine ni kwamba wananchi wanajielewa na hivyo kuwa na fikra tofauti tofauti (kupingana).
Demokrasia ya vyama vingi ilishamiri kama nchi za magharibi.
Chama chochote chaweza kushinda Kati ya CCM na Chadema.
 
Kilimanjaro na Arusha CCM ipo na yenye nguvu.
Hata hivyo, tofauti na mikoa mingine ni kwamba wananchi wanajielewa na hivyo kuwa na fikra tofauti tofauti (kupingana).
Demokrasia ya vyama vingi ilishamiri kama nchi za magharibi.
Chama chochote chaweza kushinda Kati ya CCM na Chadema.
sasa si iendelee hivyo nchi nzima?
 
Sijamuongelea Lema mimi namuongelea Lissu, naomba unipoe sababu za Lowassa kupewa nafasi ya kugombea urais 2015 ? Maana wewe ulikuwa unajua za ndani kuliko mimi.
anaejua za ndani ni wewe kwa madai yako

umeona bilioni 9 zinapitishwa

mimi sijaona

mimi niko nje,najua yaliyosemwa hadharani kwenye vyombo vya habari na hawa wahusika,ya ndani huko ambayo hatuyajui

sijasikia popote kuna fedha zimepitishwa,wewe ndio unajua ndio maana tunaomba evidence kutoka kwako

tatizo HUNA hizo evidence
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Ni kweli wamenyang'anywa na inawauma sana maana hiki ni chama chao,kilitokea chagga development manifesto,walikianzisha wao na wakakigeuza wao kuwa chama cha siasa,japo nami nilishiriki kwenye kikao cha kwanza cha kukigeuza kwakuwa mke wangu wa kwanza ni wa huko.Baada ya hapo sikupenda kushiriki siasa kwani sina interest nayo,japo nilikuwa nachanga pesa kidogokidogo
 
anaejua za ndani ni wewe kwa madai yako

umeona bilioni 9 zinapitishwa

mimi sijaona

mimi niko nje,najua yaliyosemwa hadharani kwenye vyombo vya habari na hawa wahusika,ya ndani huko ambayo hatuyajui

sijasikia popote kuna fedha zimepitishwa,wewe ndio unajua ndio maana tunaomba evidence kutoka kwako

tatizo HUNA hizo evidence
Kwa nini. Wanaojiondoa chadema 80% ni wachanga ?
 
Kuna msemo unaosema, ‘ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya’. Mbinu hii imekuwa ikitumika sana na CCM kila panapotokeza chama cha upinzani chenye nguvu. Aghalabu hutumia propagada ya ukabila, udini au ukanda. Kmf, CUF kilipoonekana kina unguvu hasa Zanzibar kilihusishwa na uislamu ili kuwatia hofu wasiokuwa wa imani hiyo. CHADEMA ya Katibu Mkuu Wilbrod Slaa kilihusishwa na ukatoliki. Mbowe aliposhika uongozi chama kikahusishwa na uchaga/ukaskazini. Na hata mwanadiplomasia maarufu Salim Ahmed Salim alipoonekana tishio katika kuwania nafasi ya urais baada ya Mwl Nyerere kung’atuka, alihusishwa na Hizbu. Mbinu hii mara nyingi hufanikiwa kwa sababu ya uwezo mdogo wa wananchi katika kupambanua mambo na ukweli kwamba waafrika kwa asili tumesukwa kwa namna ya kukumbatia ukabila, ukanda na udini.
Swali la kujiuliza ni: Sheria ya vyama vya siasa inaruhusu kusajili chama chenye mlengo wa kikabila, kikanda au kidini? Na: Endapo msajili wa vyama vya siasa amejiridhisha kuwa chama fulani kina mwelekeo wa kuwa chama cha kikabila, kikanda au kidini, sheria inamwelekeza afanye nini.
Itakuwa ni kichekesho kwa Mtungi kutumia sababu zisizokidhi kisheria kukifutia usajili CHADEMA na kuacha sababu iliyo wazi katika sheria anayoisimamia
 
Kwa nini. Wanaojiondoa chadema 80% ni wachanga ?
ukienda hivyo utakua unafanya reverse racism

watu wameamua kujitoa,how do you control their names yasiwe ya kichagga?

CUF kua na waislam wengi ni udini?

CCM kua na wasukuma wengi ni ukabila?

makabila yapo,dini zipo,rangi zipo huwezi sema unaanzisha chama ng'ombe ndio wawe wanachama,ni wanadamu hawa hawa wenye makabila na dini zao

unatafuta wingi,wapi hakuna wingi wa chochotee?

wewe una chuki na wachagga,una chuki na uislamu

huwezi sema wachagga wakija kujiandikisha chadema uwe quotas eti wakifika asilimia fulani usiandikishe eti kuondoa dhana fulani,utakua unabagua hao wachagga

its crazy unaeijitia unapambana na ukabila unaingia kuweka ukabila wa kuwakataa kabila fulani kwenye chama hicho hicho

tuwaze uwezo za watu,if it happened ni mchagga au si mchagga iwe hivyo,sio unaanza kuhesabu mmoja mmoja ili uanze kuwabagua
 
Kuna wachaga kama mimi tumeacha ccm baada ya mbowe kutoka na jembe kama lissu kushika hatamu ✌️
 
Ni ubinafsi tu umetujaa watu wa kaskazini lkn chadema n chama Cha WATANZANIA wt na kipo Kwaajili ya watz wt ....

Na Bora mnyaturu lisu kawa mwenyeketi Ili kuletaa mabadiliko zaidii..

Mwambie ndugu yetu mbowee harizikee na alichokivunaa miaka yt atulizee kipururu uko ..
Mbowe katulia ni watu wanambwekea huko aliko. Alisema akishindwa uenyekiti anarudi kwenye biashara zake na ndivyo ilivyo. Watu wanamtaka arudi kwenye siasa kwa kuwa mstari wa mbele kwenye maandamano na mikutano mbalimbali ya chama, huko alishatoka na zaidi alishasema hana mpango wa kugombea nafasi yoyote iwe ya Urais au Ubunge.
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
kumbe CDM ilikuwa ni "moneymaker" kwa wachache, hii imekivuruga chama, i.e kuna wanaomwaga mboga na wengine wanamwaga ugali i.e wote wakose 😡
 
Kuna Wimbi kubwa la kufukuza wanachama kwa ubaguzi matawini kibabe. Hii si sawa. Chadema inakufa kwa matukio kama haya yasiyofaa ambayo hatolewi mwongozo na uongozi wa kitaifa.
Huna hoja.
Leta hiyo list ndefu uliyonayo ya wote waliofukuzwa matawini.
Acha waende zao chama kiwe safi.
 
imetusaidia kuwajua wachaga kwa sura ya kutoka Chaga-dema kwenda Chaga-uma Mungu ni mwema. wasingeweza kuwa chini ya Lissu na Heche. Lema ali declare interest mapema sana huko Machame baada ya kulaumiwa na wachaga kuwa amemsaliti Mbowe. Hawa watu ni hatari wameingiza 'political commodity' kwenye siasa.
Kuitwa ni chama cha wachaga ni kete iliyotumika na vyama vingine kuishusha thamani Chadema ila ukweli haukuwa hivyo. Mbowe kama binadamu alikuwa na changamogo zake, ila lilisemwa hapa kuwa, kwa namna kampeni za uchaguzi ndani ya chama zilivyoendeshwa kwa matusi, ilihitajika mwafaka baada ya uchaguzi wa chama kumalizika, ila halikutokea.
Tundu Lisu na Heche hawana uwezo wa kuishinda CCM uchaguzi, matusi na lugha zisizo na staha haziongezi credit. Hata ingekuwa wananchi wanataka chama mbadala wa CCM, kwa sasa bado hatuna watu sahihi.
 
Back
Top Bottom