Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Acha ukabila we bwege, Dr. Khalid Kabour alikuwa mchaga? Bob Makani je, Dr. Slaa? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo? Chadema ilijengwa na watanzania, mwenyekiti kuwa mchaga haina maana ni chama cha wachaga. Hakuna mtanzania asiye na kabila acha upotoshaji usio na tija bwanamdogo.
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Hakuna kitu kibaya kwa mtu aliyestaarabika kujivunia ukabila hata tu kutoa ile Id kuonesha kabila lako ni fedheha kubwa.
Ukabila kwa utawala huu wa 'Republic' ni ubaguzi usiomithilika na hautakiwi sapport ya aina yoyote ile.

Sisi wapenzi wa Cdm tulidhani ni chama cha kidemokrasia cha kitaifa, kumbe ni chama cha kikabila!

Hata hivyo hama hama hii ya kinyumbu wa Masai Mara bado tunaifuatilia kwa kina ili kujua ukweli ni upi, ni kwa sababu ya ukabila au rushwa za Ccm?

Tutakapoupata ukweli wa jambo hili, ukweli usiotia mashaka basi ndiyo tutakuwa na haki ya kutoa neno, kama mtu haujatafiti jambo hauna haki ya kutoa neno, ndivyo kanuni zinavyotaka.

Kwa sasa tuache kwanza, usituburuze.
 
Tokea nmeanza kusikia wanaojitoa Chadema nasikia mala Minja, Mrema, Urio, Kiwia na wengineo DJ aliwapa ulaji sana inavyoonekana hayo ndio madhara ya kumtegemea binadam mwenzako na kumuona yy kama Mungu siku akifa utasikia vilio na kuhaha kila kona sio kwa uchungu wa kumpoteza bali unaanza kuwaza nitaishije bila yeye! Kijana jua kujisimamia na kusimamia KWELI usikubali kuwa CHAWA utakuwa mjingamjinga wa fikra na mtumwa wa wenye akili.
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Obviously !
 
Tokea nmeanza kusikia wanaojitoa Chadema nasikia mala Minja, Mrema, Urio, Kiwia na wengineo DJ aliwapa ulaji sana inavyoonekana hayo ndio madhara ya kumtegemea binadam mwenzako na kumuona yy kama Mungu siku akifa utasikia vilio na kuhaha kila kona sio kwa uchungu wa kumpoteza bali unaanza kuwaza nitaishije bila yeye! Kijana jua kujisimamia na kusimamia KWELI usikubali kuwa CHAWA utakuwa mjingamjinga wa fikra na mtumwa wa wenye akili.

Kabisa uyo ana ujinga mwingi kuna muda inabidi upate mabadiliko ya mtazamo
 
Acha ukabila we bwege, Dr. Khalid Kabour alikuwa mchaga? Bob Makani je, Dr. Slaa? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo? Chadema ilijengwa na watanzania, mwenyekiti kuwa mchaga haina maana ni chama cha wachaga. Hakuna mtanzania asiye na kabila acha upotoshaji usio na tija bwanamdogo.

Edwin Mtei je?
 
walimvumilia Mbowe kwa miaka 21 ila wanagoma kumvumilia Lissu kwa miezi miwili. Huu ni UBINAFSI mkubwa sana.
imetusaidia kuwajua wachaga kwa sura ya kutoka Chaga-dema kwenda Chaga-uma Mungu ni mwema. wasingeweza kuwa chini ya Lissu na Heche. Lema ali declare interest mapema sana huko Machame baada ya kulaumiwa na wachaga kuwa amemsaliti Mbowe. Hawa watu ni hatari wameingiza 'political commodity' kwenye siasa.
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Hii dhana ya kipumbqvu ndio ilifanya Chadema isionekane kama ni chama kinachofaa kupewa dola. Dhana hii haikuwa tofauti na ile ya Udini CUF kwa sababu kulikuwa na waislam wengi.

Hii dhana inakwenda kuisha na Chadema inakwenda kuwa ni RASMi Chama cha watanzania.

Kwa sasa dhana ya uchaga haipo…. Na waondoke wote na hiyo dhana ya uchaga oliwekwa na CCM kama kawaida yao mbwa mpe jina baya.
Lissu Kanyaga twende… tunambululazi wengi hadi karne hii watu bado wanamentality za ukabila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom