Wachaga, wachaga tatizo ni Lema

Wachaga, wachaga tatizo ni Lema

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,882
Reaction score
169,840
Wachaga waliporwa mali zao , walifutiwa vibali vya biashara , waliswekwa ndani bila ushahidi wowote

Biashara zao ziliuwawa kwa kauli na mamlaka za nguvu sana kwa visingizio lukuki kipindi cha utawala wa Magu.

Sasa hawana hamu kabisa wameona watulie kabisa , na wengine wameacha Biashara zao wamewekeza kwenye ufugaji na kilimo bila kutaka shari na serikalini.

Kama ni siasa wengi wamevua gamba , na wengine wamejitoa na kutolewa kabisa kwenye sehemu nyeti za sirikali

Leo hii kosa la Lema ambalo halina hata uthibitisho wowote linafanya kejeli kutupiwa kabila zima , sio x tu hata humu JF nyuzi kibao za makasiriko tu.

Iwe ni kweli au sio kweli , je ni lema tu aliye nunulika chadema ambae ilitosha kuhukumu kabila zima ?

Je kina

Zitto , na liijua likali , na wengine Kibao nao ni wachaga? , ikawaje wao wasitupiwe lawama kwa ukabila ikawa ni wachaga tu?

Mbona kama kuna harufu ya wachaga kutotakiwa kabisa ndani ya chadema hii na baadhi ya wanaharakati uchwara tena wanaoaminika ndani ya chadema?
 
Screenshot_2026-09-15_065421.jpg
 
Wachaga waliporwa mali zao , walifutiwa vibali vya biashara , waliswekwa ndani bila ushahidi wowote

Biashara zao ziliuwawa kwa kauli na mamlaka za nguvu sana kwa visingizio lukuki kipindi cha utawala wa Magu.

Sasa hawana hamu kabisa wameona watulie kabisa , na wengine wameacha Biashara zao wamewekeza kwenye ufugaji na kilimo bila kutaka shari na serikalini.

Kama ni siasa wengi wamevua gamba , na wengine wamejitoa na kutolewa kabisa kwenye sehemu nyeti za sirikali

Leo hii kosa la Lema ambalo halina hata uthibitisho wowote linafanya kejeli kutupiwa kabila zima , sio x tu hata humu JF nyuzi kibao za makasiriko tu.

Iwe ni kweli au sio kweli , je ni lema tu aliye nunulika chadema ambae ilitosha kuhukumu kabila zima ?

Je kina

Zitto , na liijua likali , na wengine Kibao nao ni wachaga? , ikawaje wao wasitupiwe lawama kwa ukabila ikawa ni wachaga tu?

Mbona kama kuna harufu ya wachaga kutotakiwa kabisa ndani ya chadema hii na baadhi ya wanaharakati uchwara tena wanaoaminika ndani ya chadema?

Chaggaphobia wakati Chama amekianzisha mzee Mtei.
 
Wachaga waliporwa mali zao , walifutiwa vibali vya biashara , waliswekwa ndani bila ushahidi wowote

Biashara zao ziliuwawa kwa kauli na mamlaka za nguvu sana kwa visingizio lukuki kipindi cha utawala wa Magu.

Sasa hawana hamu kabisa wameona watulie kabisa , na wengine wameacha Biashara zao wamewekeza kwenye ufugaji na kilimo bila kutaka shari na serikalini.

Kama ni siasa wengi wamevua gamba , na wengine wamejitoa na kutolewa kabisa kwenye sehemu nyeti za sirikali

Leo hii kosa la Lema ambalo halina hata uthibitisho wowote linafanya kejeli kutupiwa kabila zima , sio x tu hata humu JF nyuzi kibao za makasiriko tu.

Iwe ni kweli au sio kweli , je ni lema tu aliye nunulika chadema ambae ilitosha kuhukumu kabila zima ?

Je kina

Zitto , na liijua likali , na wengine Kibao nao ni wachaga? , ikawaje wao wasitupiwe lawama kwa ukabila ikawa ni wachaga tu?

Mbona kama kuna harufu ya wachaga kutotakiwa kabisa ndani ya chadema hii na baadhi ya wanaharakati uchwara tena wanaoaminika ndani ya chadema?
Nguvu n Imani ileile watu waliyokuamini ikivunjika kishindk chake ni uzito sawa
 
Trend zipi ? Waliosaliti chadema kw vipande vya fedha ni wachaga tu?
Can you Imagine baada ya Tundu Lissu kushinda uenyekiti kwenye uchaguzi huru, secretariete yoote ilihamia chauma? Can you list those members? Waliominiwa kwa miaka mingi, kumbuka G55
 
Can you Imagine baada ya Tundu Lissu kushinda uenyekiti kwenye uchaguzi huru, secretariete yoote ilihamia chauma? Can you list those members? Waliominiwa kwa miaka mingi, kumbuka G55
Tunawajua na wanahamika wataje wachaga na ambao sio wachaga
 
Back
Top Bottom