Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

Je, Wachaga wamenyanga'nywa CHADEMA yao?

Inasikitisha sana asee mtu anaongelea ukabila hadharani hivi paka unaandika thread imemuuma sana kuona wachaga wakipoteana ww chadema inakuingizia shngp kwa mwezi kama sio uchawa wa kikabila tu yani kama tukileta ukabila nchi aitakua na aman kama uko kenya na zakayo wao na elchapo
 
🤣 🤣 🤣
Wamefutwa na nani
Je kufutwa kwao barua jnasemaje. Tuletee moja wapo.
Watu walijitoa wanafaa kuitwa wamefukuzwa?
Wanachama wote wana haki ya kusikilizwa bila kujali kabila lao. Kitendo cha wachaga kufutwa uanachama kwenye matawi hakikuwa sahihi. Uongozi wa chama ngazi za juu ulipaswa kuingilia kati kabla hali haijawa mbaya.
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Wapiga deal, ilikuwa sacos
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Hatupigi kura
 
You have a point, actually ilienda mpaka kwenye Dini ilikuwa ni KKKT. Askofu Shoo huyu huyu alikuwa ni Papa ndani ya CHADEMA. Utakumbuka migogoro Sumbawanga na Mbeya wachungaji wanapokea maagizo kutoka kwa Askofu wa Moshi. Hadi majuzi sadaka za Kijitonyama zinaenda Moshi na tutajua CHADEMA was/is still very hostile to Askofu Malasusasa kuwanyang'anya Dini yao. Lakini ukweli siyo Uchagga, ni Ukanda kwa sababu Lowassa na Msuya siyo Wachagga ingawa wao walikuwa na Ukabila kuzidi. Lowassa alisema hii ni zamu ya Waluteri na hata Mbunge Nassari utakumbuka mwaka ule alisema wajitenge na hata leo sera ya Majimbo ni ya Kikabila kama county za Kenya. Sasa CHADEMA yanawatokea puani, Nyerere alisema dhambi ya Uchaguzi ukuiitenda haikuachi: sasa wanabaguliwa waziwazi kama Wachagga na hawana Cha kujibu kwa sababu Idadi yao hawatoshi. Funzo kwa Watanzania ni kuogopa Uzanzibari na Uzanzibara, na kwamba dhambi ya ubaguzi haikuachi.
 
Kwanza kabisa niweke maslahi wazi kwamba mimi nina Asili ya Uchagani hata hivyo andiko hili sio msimamo wala mtazamo rasmi wa Wachaga.

Kwa muda mrefu Chama cha Chadema kimekuwa na ushirika na Jamii za kaskazini hasa Wachaga kiasi kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakikihusisha chama hicho na Uchaga au wachaga. Hata hivyo wako wachaga kadhaa maarufu walioko ndani ya vyama vingine vya siasa ingawa vyama vyao havikutanabaishwa na wachaga au uchaga wao.

Harakati za wachaga na siasa za nchi hii ni za muda mrefu na wachaga ni moja katia ya jamii ambazo zina mafanikio makubwa ndani na nje ya siasa za Upinzani nchini Tanzania,

Katika siku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la uhamaji wa wanachama wa Chadema huku wengin wakichelea kusema wanakoelekea, Hii inaonesha kwamba Wanasiasa hawa ambao ni mchanganyiko wa wachaga na wasio wachaga huku wengi wakiwa wachaga wameshindwa kuendelea kuwepo ndani ya CHADEMA.

Swali ninalojiuliza ni JE wachaga Wamepokonywa Chadema?Kama Jibu ni Ndio Je wachaga wataunda Ngome nyingine? Je waliobaki ndani ya Chadema wataweza kujipambanua kama chama kisichokuwa na Mrengo wa UCHAGA au CHAMA ambacho kinawakataa/kuwabagua wachaga na badala yake kuwa chama kinachowaunganisha watazania wote?

Karibuni tujadili kuhusu mUstakabali wa siasa za CHADEMA bila Chaga Identity ambayo imekuwa kwenye chama hicho kwa muda mrefu pamoja na kwamba kimeibua vinara wa siasa katika Makabila na kanda nyingine wakiwemo Wanasiasa kama Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo na wengine wengi.

Tupeane maoni hapa tukielekea kwenye Uchaguzi mkuu
Kweli
 
Lissu hatambui mchango mkubwa wa watu waliojenga chama. Hilo ni tatizo.

Lissu karudisha chama kwa wananchi sisi. Wengine tunaona sasa tutakosa ulaji
BAHARI INAJISAFISHA. WACHA UTOKO UTOKE NI KAMA MWANAMKE ANAPOKUWA HEDHI ILE DAMU CHAFU INABIDI ITOKE. HONGERA CHADEMA SASA NDO MTAJENGA CHAMA.
 
Tokea nmeanza kusikia wanaojitoa Chadema nasikia mala Minja, Mrema, Urio, Kiwia na wengineo DJ aliwapa ulaji sana inavyoonekana hayo ndio madhara ya kumtegemea binadam mwenzako na kumuona yy kama Mungu siku akifa utasikia vilio na kuhaha kila kona sio kwa uchungu wa kumpoteza bali unaanza kuwaza nitaishije bila yeye! Kijana jua kujisimamia na kusimamia KWELI usikubali kuwa CHAWA utakuwa mjingamjinga wa fikra na mtumwa wa wenye akili.
Kilewo, Assenga, Munisi...
 
Hivi unajua elimu ya mbowe ? Kama mtu alizaliwa kwenye pesa na ana elimu ya sekondari huyo wa kumpa uongozi. Mtu toka arithi mali za baba yake hakuna aliyoendeleza mpaka leo. Kuna kiwanja moshi mjini cha mzee aikaeli mpaka leo hajajenga halafu unataka tumpe uongozi ? Mnasema Mbowe hana njaa hivi unajua Lowassa alimpa 11 billion mwaka 2015 ili agombee urais ? Mimi ni mchaga Chadema kilikuwa kimepoteza mwelekeo na kimelala na sasa kimaeamka. Naomba viongozi wote wateuliwe kutokana na vigezo na masharti. Masuala ya kuwapa uogozi watu hawana elimu wala experience ya kazi hakuna. Hata ukifuatilia hao waliong'atuka shule hamna. Ni aibu sana tena sana na mimi kama mtanzania na mchaga nasimama na Lissu. Maana Lissu ndio anaonyesha umuhimu wa kuwa na kiongozi mwenye shule.
una evidences ya yote haya?

accusations zilifanya kazi kipindi cha kampeni zenu....now,im sorry we dont believe you

mbowe regardless ya elimu yake,his performance records speak for themselves,we know the records

unasema hana elimu,ila sasa Lema ndio defacto chairman wa chadema,la saba failure!

tusidanganyane bwana
 
una evidences ya yote haya?

accusations zilifanya kazi kipindi cha kampeni zenu....now,im sorry we dont believe you

mbowe regardless ya elimu yake,his performance records speak for themselves,we know the records

unasema hana elimu,ila sasa Lema ndio defacto chairman wa chadema,la saba failure!

tusidanganyane bwana
Kwa hiyo Lowassa alikuja bure chadema na kupewa nafasi ya kugombea urais ? Nitajie Mali ya mbowe ambayo hajarithi kutoka kwa baba yake achana na magari anayomiliki ? Mimi sio Chadema kindaki ndaki, na chama tumekichangia hela nyingi tu. Lissu ndiyo amekiamsha chama na kuanzia leo hatutaki viongozi vilaza.
 
Lissu karudisha chama kwa wananchi sisi. Wengine tunaona sasa tutakosa ulaji
BAHARI INAJISAFISHA. WACHA UTOKO UTOKE NI KAMA MWANAMKE ANAPOKUWA HEDHI ILE DAMU CHAFU INABIDI ITOKE. HONGERA CHADEMA SASA NDO MTAJENGA CHAMA.
Chadema imekuwa kama TLP...
 
Kwa hiyo Lowassa alikuja bure chadema na kupewa nafasi ya kugombea urais ? Nitajie Mali ya mbowe ambayo hajarithi kutoka kwa baba yake achana na magari anayomiliki ? Mimi sio Chadema kindaki ndaki, na chama tumekichangia hela nyingi tu. Lissu ndiyo amekiamsha chama na kuanzia leo hatutaki viongozi vilaza.
mkuu

mbowe alichukua uongozi wa chadema akiwa na miaka 24

leo chadema ni chama kikuu cha upinzani tanzania

alizalisha too many political stars in his tenure

he is a performer na rekodi yake ipo wazi

Lowassa kuja chadema nafata kilichosemwa waziwazi na wahusika....

hayo kua mtu alipewa pesa siyaamini kama huna evidence

mali za mbowe ni mali za mbowe,sijui alipataje na sio kazi yangu kufatilia kua alizipataje

kama una evidences eti alipewa hizo mali please weka hapa tukuamini

ila leo ukiniambia lema ndio defacto decision maker wa chadema naona wote mataahira kabisa
 
Hii dhana ya kipumbqvu ndio ilifanya Chadema isionekane kama ni chama kinachofaa kupewa dola. Dhana hii haikuwa tofauti na ile ya Udini CUF kwa sababu kulikuwa na waislam wengi.

Hii dhana inakwenda kuisha na Chadema inakwenda kuwa ni RASMi Chama cha watanzania.

Kwa sasa dhana ya uchaga haipo…. Na waondoke wote na hiyo dhana ya uchaga oliwekwa na CCM kama kawaida yao mbwa mpe jina baya.
Lissu Kanyaga twende… tunambululazi wengi hadi karne hii watu bado wanamentality za ukabila
wewe jamaa bwana

yaani it happened chama kina watu wengi kutoka kaskazini basi ni dhambi?

it happened sio kwamba wamezuia wengine kuingia

ufukuze watu sababu wamekua wengi ili watu "wasione" kama cha wachagga?

cha ajabu upo hapa unafanya reverse racism...kwamba hawana haki ya kuwepo zaidi ili chama kisiwe na hiyo dhana?

chama kinaendeshwa kwa dhana?
 
mkuu

mbowe alichukua uongozi wa chadema akiwa na miaka 24

leo chadema ni chama kikuu cha upinzani tanzania

alizalisha too many political stars in his tenure

he is a performer na rekodi yake ipo wazi

Lowassa kuja chadema nafata kilichosemwa waziwazi na wahusika....

hayo kua mtu alipewa pesa siyaamini kama huna evidence

mali za mbowe ni mali za mbowe,sijui alipataje na sio kazi yangu kufatilia kua alizipataje

kama una evidences eti alipewa hizo mali please weka hapa tukuamini

ila leo ukiniambia lema ndio defacto decision maker wa chadema naona wote mataahira kabisa
Sijamuongelea Lema mimi namuongelea Lissu, naomba unipoe sababu za Lowassa kupewa nafasi ya kugombea urais 2015 ? Maana wewe ulikuwa unajua za ndani kuliko mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom