Yaani alitapeliwa halafu tena yeye yeye akalala lockup?Jamaa yangu nilienda kumtoa walimtapeli alikuwa wakala wa simu anakwambia masaa 24 ni kama mwezi kuna mbu wakubwa kama nzi
Tulivyo mtoa hataki kazi za uwakala mpaka leo.
lock up wengi wao hawana hatia,kesi zao ni za kusingiziwa au kununua vitu vya wizi bila kujuaniliuziwa simu ya wizi,
ikafuatiliwa nikaja kukamatwa nilikaa siku 5.
pananukaa,jashooo,hamna hewa,mmejazana maji wanaoga wababe tu.hauwezi amini siku zote hizo sijaenda haja kubwa
Nililala central police mwaka 2014, jamaa tulikuwa na ubishi akanitukana,aisee nilimtia roba hadi alipoteza fahamu, nililala kule shimoni lockup mwezi mmojai,nikakukatana na kina Profesa Lipumba na majambazi fulani waliua police Tanga walikamatwa wakaletwa pale,aisee walipigikaaa hadi wakawa wanatambaa, Lipumba na wafuasi wake walifanya kule lockup ya shimoni kulifulika mahabusu hadi kero, uzuri wake kule hakuna joto upepo tu wa bahari. Jamani tufanye yote usiombe uwe na kesi ...tHabari,
Je ulishawahi kulala lock up au selo? Ulikuaje mpaka ukalala?
Karibuni wajumbe ili tuelimike
Habari,
Je ulishawahi kulala lock up au selo? Ulikuaje mpaka ukalala?
Karibuni wajumbe ili tuelimikeMiaka
Hii kidogo ya moto inafaa ukikamata na maandaziMm nilipelekwa kwa kosa la kumla mke wa kituo hicho
Nilipelekwa nikalipa 5000 pale Simu 2000 nikaachiwa kabla hata ya masaa mawili ashkuriwe Mungu kwa kuwapa polisi mshahara mdogo lasivyo tungeteseka sana.Habari,
Je ulishawahi kulala lock up au selo? Ulikuaje mpaka ukalala?
Karibuni wajumbe ili tuelimike
Nilijichanganya tu tukapelekwa kituoni watatu.Habari,
Je ulishawahi kulala lock up au selo? Ulikuaje mpaka ukalala?
Karibuni wajumbe ili tuelimike
Tuanze na wewe ndio na sie tulilikeHabari,
Je ulishawahi kulala lock up au selo? Ulikuaje mpaka ukalala?
Karibuni wajumbe ili tuelimike
Hahaha 😂Nipo na Chapati hapa nasubiri ndugu zangu waje na CHAI kabambe..!
Nimekaa siti ya mbele kabisa... unakuta mtu hata kituo cha polisi hakijui ila skilizia sasa anavyoondoka na kijiji..