Elections 2010 Je upinzani kuwachagulia CCM wabunge 2010?

Mtanzania

JF-Expert Member
May 4, 2006
4,816
678
Wakuu,

Nilisema nitakuwa naandika taratibu juu ya yale niliyoyaona kwenye safari yangu ya TZ siku za karibuni.

Kule Kyela niliambiwa na kugundua kwamba ni tatizo, mkakati wa kutumia wanachama wa vyama vya upinzani kwenye kura za maoni za CCM hapo mwakani.

Ni kwamba kuna wagombea wa CCM wanaoungwa mkono na wanachama wa upinzani kwasababu zozote zile, wanagawa kadi kwa hao wanachama wa upinzani ili wawasaidie kwenye kura za maoni 2010.

Hii ni kama ile ya kule USA ambapo Republicans walikuwa pale mwanzoni wanampigia kura Obama kwa makusudi ili mama Clinton asichaguliwe.

Sijui CCM watafanya nini kuondoa hili tatizo; ila kwa mawazo yangu nimeona kama litakuwa tatizo kwenye baadhi ya majimbo.

Kwa Kyela imeamuliwa kwamba katibu kata atahakiki kila kadi ya mwanachama ndipo watapatikana wanachama hai. Lakini je katibu kata akiwa na mapenzi na mgombea anayeungwa mkono na mwanachama Mamluki, kweli ataweza kusema wewe huna sifa? Pili watajuaje kwamba huyo bado ana mapenzi na upinzani na wala sio CCM?

Kwa wale mnaotaka kugombea, anzeni kutafuta jawabu la tatizo hili. huenda jimbo kama Ubungo ambalo lina wapinzani wengi, wakaamua kumuunga mkono mtu dhaifu ili iwe rahisi kwa wao kumshinda kwenye uchaguzi mkuu.

Je CCM wafanye nini kuepuka tatizo hili?
 
Wakuu,

Nilisema nitakuwa naandika taratibu juu ya yale niliyoyaona kwenye safari yangu ya TZ siku za karibuni.

Kule Kyela niliambiwa na kugundua kwamba ni tatizo, mkakati wa kutumia wanachama wa vyama vya upinzani kwenye kura za maoni za CCM hapo mwakani.

Ni kwamba kuna wagombea wa CCM wanaoungwa mkono na wanachama wa upinzani kwasababu zozote zile, wanagawa kadi kwa hao wanachama wa upinzani ili wawasaidie kwenye kura za maoni 2010.

Hii ni kama ile ya kule USA ambapo Republicans walikuwa pale mwanzoni wanampigia kura Obama kwa makusudi ili mama Clinton asichaguliwe.

Sijui CCM watafanya nini kuondoa hili tatizo; ila kwa mawazo yangu nimeona kama litakuwa tatizo kwenye baadhi ya majimbo.

Kwa Kyela imeamuliwa kwamba katibu kata atahakiki kila kadi ya mwanachama ndipo watapatikana wanachama hai. Lakini je katibu kata akiwa na mapenzi na mgombea anayeungwa mkono na mwanachama Mamluki, kweli ataweza kusema wewe huna sifa? Pili watajuaje kwamba huyo bado ana mapenzi na upinzani na wala sio CCM?

Kwa wale mnaotaka kugombea, anzeni kutafuta jawabu la tatizo hili. huenda jimbo kama Ubungo ambalo lina wapinzani wengi, wakaamua kumuunga mkono mtu dhaifu ili iwe rahisi kwa wao kumshinda kwenye uchaguzi mkuu.

Je CCM wafanye nini kuepuka tatizo hili?


Kwa kuwa wewe ni mwana CCM , una nia kugombea na haya umeyaona kwamba ni matatizo ambayo ni wana CCM wenyewe wanakuja na mbinu alizo sema mzee wenu Malecela ni bora ukalipeleka kwenye Chama chenu mkajadiliane huko na wana CCM wenzako mkuu au unasemaje?
 
Kwa kuwa wewe ni mwana CCM , una nia kugombea na haya umeyaona kwamba ni matatizo ambayo ni wana CCM wenyewe wanakuja na mbinu alizo sema mzee wenu Malecela ni bora ukalipeleka kwenye Chama chenu mkajadiliane huko na wana CCM wenzako mkuu au unasemaje?

Ni tatizo la kitaifa pia; huoni linaweza kutokea CHADEMA pia?

JF ni kwa mijadala yote mkuu, kama hutaki kujadili unanyamaza na kuwaachia wanaotaka, ndivyo ilivyo JF.
 
Wakuu,

Nilisema nitakuwa naandika taratibu juu ya yale niliyoyaona kwenye safari yangu ya TZ siku za karibuni.

Kule Kyela niliambiwa na kugundua kwamba ni tatizo, mkakati wa kutumia wanachama wa vyama vya upinzani kwenye kura za maoni za CCM hapo mwakani.

Ni kwamba kuna wagombea wa CCM wanaoungwa mkono na wanachama wa upinzani kwasababu zozote zile, wanagawa kadi kwa hao wanachama wa upinzani ili wawasaidie kwenye kura za maoni 2010.

Hii ni kama ile ya kule USA ambapo Republicans walikuwa pale mwanzoni wanampigia kura Obama kwa makusudi ili mama Clinton asichaguliwe.

Sijui CCM watafanya nini kuondoa hili tatizo; ila kwa mawazo yangu nimeona kama litakuwa tatizo kwenye baadhi ya majimbo.

Kwa Kyela imeamuliwa kwamba katibu kata atahakiki kila kadi ya mwanachama ndipo watapatikana wanachama hai. Lakini je katibu kata akiwa na mapenzi na mgombea anayeungwa mkono na mwanachama Mamluki, kweli ataweza kusema wewe huna sifa? Pili watajuaje kwamba huyo bado ana mapenzi na upinzani na wala sio CCM?

Kwa wale mnaotaka kugombea, anzeni kutafuta jawabu la tatizo hili. huenda jimbo kama Ubungo ambalo lina wapinzani wengi, wakaamua kumuunga mkono mtu dhaifu ili iwe rahisi kwa wao kumshinda kwenye uchaguzi mkuu.

Je CCM wafanye nini kuepuka tatizo hili?

Hilo ni tatizo gumu kiasi kwamba kulisolve si rahisi unless kuwe na database ya uwazi ambayo ni yawanachama wote.
Yani inakuwa wakiingiza kwenye database jina lako Mtanzania basi inajulikana wewe ni mwanachama wa ccm .hii itafanikiwa kama vyama vyote vitakubali kupeleka rekodi zao na wanachama wao na ziwe zinahakikiwa.Itasaidia lakini sio sana.
 
Ni tatizo la kitaifa pia; huoni linaweza kutokea CHADEMA pia?

JF ni kwa mijadala yote mkuu, kama hutaki kujadili unanyamaza na kuwaachia wanaotaka, ndivyo ilivyo JF.


Uhuru wa mdala ni sawa hapa JF mkuu wangu Mtanzania lakini hili haliwezi kutokea kwingine maana hizi ni mbinu zetu za uchaguzi na Malecela kasema .Sasa mna anza kuogopa mlicho kiumba wenyewe ? Ukiozea kuchezea wenzako rough ujue iko siku na sasa siku imefika kwenu.
 
Uhuru wa mdala ni sawa hapa JF mkuu wangu Mtanzania lakini hili haliwezi kutokea kwingine maana hizi ni mbinu zetu za uchaguzi na Malecela kasema .Sasa mna anza kuogopa mlicho kiumba wenyewe ? Ukiozea kuchezea wenzako rough ujue iko siku na sasa siku imefika kwenu.

Nimekusikia mkuu wangu; angalau sasa umetoa maoni yako kuliko post yako ya kwanza kwamba kajadilianeni huko huko CCM. JF ni jumba letu wote, wanaotaka kujadili watafanya hivyo.

Mbinu chafu ziko kila sehemu, kama nyie CHADEMA mmepona basi mungu awaongezee hekima. Lakini kama ni kile kile chama cha Wangwe, siamini mko salama maana mmeshatumia mbinu chafu huko nyuma.
 
Uhuru wa mdala ni sawa hapa JF mkuu wangu Mtanzania lakini hili haliwezi kutokea kwingine maana hizi ni mbinu zetu za uchaguzi na Malecela kasema .Sasa mna anza kuogopa mlicho kiumba wenyewe ? Ukiozea kuchezea wenzako rough ujue iko siku na sasa siku imefika kwenu.

Yale yale aliyosema JK kuwa mla nae huliwa.
 
Mtajiju,
Hakuna tatizo hapo. Shida yenu ni vipi mtandelea kuwawehakikishia mafisadi ushindi wa kishindo, na kuhakikisha kuwa wenye kuipenda nchi yao wanatokomea daima!
 
Hilo ni tatizo gumu kiasi kwamba kulisolve si rahisi unless kuwe na database ya uwazi ambayo ni yawanachama wote.
Yani inakuwa wakiingiza kwenye database jina lako Mtanzania basi inajulikana wewe ni mwanachama wa ccm .hii itafanikiwa kama vyama vyote vitakubali kupeleka rekodi zao na wanachama wao na ziwe zinahakikiwa.Itasaidia lakini sio sana.


Mkuu MkamaP
Hii ni moja ya mbizu za Chama yao sasa zikitumika tena wenyewe wana anza uoga ? Ujue ukiwa mchawi unaua watoto wa wenzio siku wakianza kuisha utatakiwa uendelee kuua so lazima utaua wa kwako mwenyewe.Tuendelee
 
Mtanzania anachosema kina mantiki jamani, lakini hili limekuwepo siku nyingi sana na sisi m wamekuwa wakitumia mbinu hii kwa upinzani.
Sasa mtanzania nadhani kwa kuwa anaishi huko ughaibuni na hana uzoefu na siasa za hapa bongo, ila kaja kujitambulisha karibuni kuwa ana mpango wa kugombea Kyela, amegundua hii mbinu na kushituka kuwa itamkuta na yeye. Pole hizi ndio siasa za bongo mkuu. Ukija kichwa kichwa unanyolewa.:D
Sasa ndugu yangu mtanzania, tufanyeje? si Malecela kasema kuna mbinu nyingi zingine bado ziko store? muulize yeye atakupa mbinu mpya na kali za ku counter hii mbinu. La sivyo uwe tayari kuumia:D
 
Kwa kuwa wewe ni mwana CCM , una nia kugombea na haya umeyaona kwamba ni matatizo ambayo ni wana CCM wenyewe wanakuja na mbinu alizo sema mzee wenu Malecela ni bora ukalipeleka kwenye Chama chenu mkajadiliane huko na wana CCM wenzako mkuu au unasemaje?
Mkuu Lunyungu Shkamoo..Hili ndilo jibu nililotaka kumpa huyu bwana..haya mambo wayapeleke kwenye chama chao..Nahisi huyu ni kama mtu mwenye hofu ya kupoteza nafasi yake ya kugombea huko Kyela....nafuatilia kwa makini sana maneno yake,naingiwa na mashaka hapa.
 
- Wakuu Great Thinkers hujadili hoja na sio watu, kumbukeni maneno ya Obama wa-Africa tujifunze ku-invest kwenye sound policies sio watu au vyama!

- CCM chama cha mafisadi, sasa Chadema na Upinzani wanafanya nao nini bungeni? sometimes mnatia kinyaaa na hizi za Yanga na Simba, Kolimba alikufa baada ya kui-question establishment ya CCM, kama vile Wange alivyojaribu kui-question establishment ya Chadema, aliishia kupata ajali kama ya Mwaikambo baada ya kui-question establishment ya CCM.

- Ya mtu wa JF kutafuta nafasi ya uongozi taifa, halafu sisi JF kumshambulia bila hata ya kumjua, eti kisa CCM ni kufilisika kimawazo, unless hii forums ni ya Chadema something I rufuse to believe! Sio lazima wote humu ndani tuwe na mawazo kama ya Chadema, msituletee division hapa, tunajua kwenye vitu kama hii forums kuna political frustrations, lakini jifunzeni kuzi-contain maana haya matusi na maneno ya hovyo hovyo mnayorusha rusha hayawezi kulisaidia taifa anything zaidi ya mifarakano, kubalini kwamba upinzani hamna strategy za kushinda uchaguzi, ya kurushiana matusi ambayo wote humu tunayaweza yatatufikisha wapi? Kwenye uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, mlishinda Tarime, lakini mkashindwa kwingine sasa ni kusonga mbele kujitayarisha na mbele ya safari, msitishe watu hapa wakashindwa kusema hoja zao eti kwa sababu ni CCM, sasa mkipewa serikali itakuwaje kwa wanachama CCM? Na hasa wazee ambao mna shida nao sana si mtatuua nyinyi as if chama chenu hakina wazee, hivi Ndesamburo na Slaa ni American Idol?

- Mkulu Mtanzania hehu sema unachotaka kusema usiogope hizi kelele za mlango!

Respect.

FMEs!
 
Kuna mambo kadhaa ambayo CCM inaweza kufanya:

a. Kuhakikisha kuwa kura za maoni kwenye majimbo ni final katika kuamua nani agombee. Wana CCM wakimpitisha chaguo lao basi Kamati Kuu au chombo kingine cha juu kisimuengue. Kamati Kuu iwe na jukumu la kuleta majina tu ya watakaopigiwa kura za maoni na baada ya hapo yeyote atakayepita ndiye atakayepita.

b. Kwa vile ni kura za wanachama basi ni wale wanachama walio haki tu ndio wahakikishe wanapiga kura za maoni. Yaani mwanachama wa CCM hata kama ana ndugu yake ni mpinzani au alikuwa anamuunga mgombea wa upinzani lakini kama ana haki ya kupiga kura za maoni basi apige kwa uhuru wake na usiri wake. Vinginevyo maana ya "kura za maoni" itakuwa imepotea.

c. Mabadililo waliyoyafanya mwaka huu kuhusu Kura za maoni ndani ya CCM ni lazima yazingatiwe hadi nukta ya mwisho. Kwamba wagombea wote watahudumiwa na mfuko wa chama na kupelekwa kwenye kampeni kwa gharama ya chama itakuwa vizuri.

d. Kuhakikisha wagombea huru wanaruhusiwa vile vile ili wana CCM na wananchi wengine wasinyimwe nafasi ya mgombea mzuri kwa sababu tu mchakato wa kura za maoni umemteua mtu mmoja. Kwa mfano, wapiga kura wengi wanampenda mgombea X wa CCM lakini mgombea huyo hakubaliwi sana na wana CCM kura za maoni (japo anakubalika katika hadhara kubwa). Sasa kama mgombea huyo hapitishwi katika kura za maoni na anapenda bado CCM kwanini anyimwe haki ya kugombea kama mtu binafsi? hivyo, ugombea binafsi pia ni kitu ambacho kitaisaidia CCM in the long run.
 
Back
Top Bottom