Wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.
mfano: michael james kintonto. 23/05/1982
NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.
Asanteni
Wewe tapeli la kawaida!
Wana JF muwe macho inaelekea huyu jamaa anayo access kwenye data bank fulani na anatafuta password kuaccess siri zenu au account zenu.
Ukitoa tu information hiyo katazame akaunti yako kama huja pigwa!!!
Wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.
mfano: michael james kintonto. 23/05/1982
NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.
Asanteni
Wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.
mfano: michael james kintonto. 23/05/1982
NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.
Asanteni
Kwanini mtu ajiandae kufa na huku yupo busy na maisha. Una preach wrong mpendwa. Mungu hatafutwi katika fear na negativity. Halafu nimeona kuna sehemu unadai unasaidia, ondoa huo msamiati katika kichwa chako. You cannot help anybody let alone yourself....
Wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.
mfano: michael james kintonto. 23/05/1982
NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.
Asanteni