Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 33,743
- 97,627
Majina Halisi
Kasumara Saronga Lekule Mmari.
Brith.18
Mwezi.6
Mwaka .1969.
huyu amesha kufa mbona... 😱
Majina Halisi
Kasumara Saronga Lekule Mmari.
Brith.18
Mwezi.6
Mwaka .1969.
Wewe tapeli la kawaida!mnaonekana ni waoga sana wa kujua siku zenu za kufa. msiogope ni kitu cha kawaida sana... mnachotakiwa kufanya andikeni kama nilivyoelezea hapo juu ili niweze kuwaambia.
Wewe tapeli la kawaida!
Wana JF muwe macho inaelekea huyu jamaa anayo access kwenye data bank fulani na anatafuta password kuaccess siri zenu au account zenu.
Ukitoa tu information hiyo katazame akaunti yako kama huja pigwa!!!
wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.
mfano: michael james kintonto. 23/05/1982
NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.
Asanteni
Kumbe kumwambia mtu siku atakayo kufa ni kumsaidia!?
Ngoja wenye hofu na mashaka waje
Dah, ma nyinyiemu mpo desparate balaa! Yaani hadi unatamani kujua tarehe ya kufa jamaa? Aisee nimeamini siku hizi hamlali usingizi kwa sababu ya kuwa hai huyu jamaa! Poleni make jamaa alianza na Mungu na atamalizia na Mungu!W.p.slaa
13.05.1935
naambiwa hakuna mtu mwenye jina kama hili. jaribu kuwa mkweli mkuu.