Je unataka kujua siku ya kifo chako?

Je unataka kujua siku ya kifo chako?

Kwani ni nani aliyekuambia kuwa huyu ni Mtanzania!? Huyu ndiyo huyohuyo maarufu unaemjua, mtajie siku yake ya kufa!!


Mkuu hili ni jina lako? mbona watanzania hatuelewi kirahisi!! taja jina lako na sio watu maarufu.
 
Wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.

mfano: michael james kintonto. 23/05/1982

NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.

Asanteni

Wewe endelea ku-undergo mutation.
 
Nikupe taarifa za kuzaliwa na jina la mtu ambae tayari ni marehemu ili wewe sasa uniambie ni siku gani, mwezi gani na mwaka gani alifariki?

Ukitaja kwa usahihi siku, mwezi na mwaka wa marehemu huyo kufariki ndiyo hapo tutahamia kwetu sisi tulio hai.

mutant gene
 
Last edited by a moderator:
Nikupe taarifa za kuzaliwa na jina la mtu ambae tayari ni marehemu ili wewe sasa uniambie ni siku gani, mwezi gani na mwaka gani alifariki?

Ukitaja kwa usahihi siku, mwezi na mwaka wa marehemu huyo kufariki ndiyo hapo tutahamia kwetu sisi tulio hai.

mutant gene

hana jipya huyo
 
Last edited by a moderator:
mpaka sasa hakuna hata mtu ambaye amefanya kama niliyoagiza hapo juu!! hii inaonesha kuwa hakuna mtu ambaye yupo tayari kujua siku yake ya kufa( siku ambayo mtu atakutana na Mungu).

licha ya kuwa kila mtu anafahamu kuwa maisha ni mafupi na ipo siku ambayo atakufa(utakutana na Mungu wako)lakini binadamu hatuachi yale ambayo tumekatazwa katika vitabu vyetu ambavyo tunaamini( kwa wale wenye kuamini). kila siku watu wanazini, wanaiba, wanadhulumu, wanaroga, wanaua na mambo mengine mabaya. wakuu hizi pumzi tunazozivuta zisitudanganye tukawa wenye kujisahau hapa ulimwenguni! Mungu yupo na ipo siku utakutana nae. Tujitahidi kuishi kama tulivyoagizwa kwenye vitabu vyetu tunavyoviamini.

Kwa ufupi hakuna mtu ambaye anaweza kujua siku yake ya kufa na ndio maana tunatakiwa kila wakati tujiandae kwa hilo kwa kufanya yake ambayo ni mema.

Mbarikiwe na jumapili njema wote.
Kwanini mtu ajiandae kufa na huku yupo busy na maisha. Una preach wrong mpendwa. Mungu hatafutwi katika fear na negativity. Halafu nimeona kuna sehemu unadai unasaidia, ondoa huo msamiati katika kichwa chako. You cannot help anybody let alone yourself....
 
Pampula kapumpu kasonso masumbuko
Kuz. 1971 july 4
 
Hakuna sayansi iliyofanikiwa kufahamu kiumbe cha Mungu anakufa lini...usilete uzushi hapa.

Sheikh Yahya kabla hajafa alitaja mwezi na mwaka wa kifo chake alishindwa kutaja siku na muda
so msimbeze mleta mada huenda ni mtabiri.
 
Wakuu, kama kweli unataka kufahamu siku ya kifo chako yani tarehe, mwezi na mwaka. unachotakiwa kufanya ni kutaja majina yako yote matatu pamoja na tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa then mimi nitakwambia siku yako ya kufa.

mfano: michael james kintonto. 23/05/1982

NOTE: kama hutaki hujalazimishwa waache wale wanaotaka kujua siku zao za kufa wasaidiwe.

Asanteni

Upuuzi mtupu. Ningelikuwa moderator ungelamba BAN ya maisha. Kama huna topiki ya maana tulia kimya.
 
Me daudi kaminyenge tar 18 9 1947 leta majibu
 
mimi nafikiri busara tungeanza na wewe kama mfano sasa unaulizwa unaanza kutoa sababu za waganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom