Yaan kama kila mtu angekuwa na mentality kama yako nadhan Dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi, lakini ndio hivyo tena, unaweza kukuta mtu yupo speed na gari barabarani kumbe anamuwahi mchina akapige jeki, au anawahi bar akatii kiu yake.nakula vizur kwa raha zangu,nafanya mazoezi madogo kwa starehe just kuhakikisha im health lakini vi2ko vya sina makalio,or matiti yamelala or mi mweusi haviingii akilini,unajua mr,huyu mwanamke nani kamuambia matiti yaliyo lala si mazuri?mfano mi naona wadada waliojaliwa natural makalio na mimi nina pasi lakini hainisumbui kwa sababu wapo watu wanaopenda pasi yangu na scientifically hamna madhara ya nlivyo,kwa hyo kwa nini niache kujikubali,lakini hata humu jf ushaona mapicha ya wadada yanayowekwa na wakaka?wakaka ndio wanawapotezea confidence ladies,
Pakiti ya Sigara imeandikwa kabisa "ONYO:uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako" na bado watu wanavuta. Na cha kuchekesha zaidi, Serikali nayo imehalalisha. Kweli ukistaajabu ya Musa ...Wanadamu tumepewa utashi na akili ya kuchagua jema na baya...km mtu akiamua kitu si kwamba hajui madhara...
It is a matter of decision
Myner...!hutaki jek ww?
Dogo tuheshimiane...
Usione simba kanyeshewa ukajua paka....
Hata sitaki! Ya nini yote hayo.. Nimejikubali nilivyo.. Nyie ndo mpunguze kuwa stress wenzenu mpaka wanaanza ku seek artificial beauty!
Dogo tuheshimiane...
Usione simba kanyeshewa ukajua paka....
Ukipata mwezi wako mnaoendana "a match made from heaven"., hawezi kuku stress. Hata kama kifuani unaonekana kama umening'iniza soksi.Hata sitaki! Ya nini yote hayo.. Nimejikubali nilivyo.. Nyie ndo mpunguze kuwa stress wenzenu mpaka wanaanza ku seek artificial beauty!
Si huyu Bagah naona hakutakii mema....Hahahah una maneno dear..
Lakini Amy mbona sigara, pombe na vyakula vya viwandani vinasababisha cancer pia na watu wanachukulia poa tu
haha!...peleka mamaa akapandishe kifua iyo alaa!
This is what, Im talking about. Mpende kama alivyo, na mpende kama atakavyokuja kuwa, kwani nafsi ni ile ile haibadiliki, ila body tuSi huyu Bagah naona hakutakii mema....
Usiharibu bby eeh
Unajua kuingilia uumbaji wa Mungu ni dhambi kubwa...tumeumbwa tuwe na mabadiliko kimwili km hatukubaliani nayo ina maana tunameona Muumba kakosea...ni kosa kubwa sana....Pakiti ya Sigara imeandikwa kabisa "ONYO:uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako" na bado watu wanavuta. Na cha kuchekesha zaidi, Serikali nayo imehalalisha. Kweli ukistaajabu ya Musa ...
Nilidhani wewe na mwenzi wako mmeamua kuwasaidia wadada kisaikolojia kumbe wenzetu mmejaliwa! Na kibaya zaidi na nyie mnapenda yaliyosimama! I knew itLabda km wanayalaza...coz huwezi simamisha kilichosimama....
Lol hii haigusi familia yangu
HahhhahaaaaaaNilidhani wewe na mwenzi wako mmeamua kuwasaidia wadada kisaikolojia kumbe wenzetu mmejaliwa! Na kibaya zaidi na nyie mnapenda yaliyosimama! I knew it
Mimi napenda yaliyochuchumaa
Ile mashine wanaweza wakai-customize kulingana na mahitaji yako.Ni suala la kubadilisha vibakuli tuMimi napenda yaliyochuchumaa
Aah ya Kaby hata ufanyaje hayawezekani....Ile mashine wanaweza wakai-customize kulingana na mahitaji yako.Ni suala la kubadilisha vibakuli tu