Je unapenda matiti yaliyosimama? Soma Hapa

Entrepreneur

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
1,087
620
BIASHARA huria imezua mengi. Hali kadhalika Sayansi na Tekenolojia nayo, imeleta mengi. Katika kuwaondolea kero wanawake wenye matiti yaliyosinyaa hapa nchini, wataalamu kutoka China wameanza kutoa huduma ya kunyanyua matiti, (watoto wa mjini wanasema kuyapiga jeki) kwa kutumia mashine maalumu.

Huduma hiyo ya kusimamisha matiti yaliyolala, imeanza kutolewa katika Saluni ya Blue Palace, iliyopo nyuma ya Shule ya Mapambano, Sinza jijini Dar es Salaam. Zoezi la kusimamisha matiti huchukua wiki tatu mpaka sita, inategemea aina ya mteja na wakati mwingine juhudi zake kwa gharama ya sh. 150,000/=. Kazi kwenu wanawake wenye matiti yaliyosinyaa na mnapenda muendelee kuonekana warembo.

Source: Mwananchi, Mashine ya kuinua matiti ya wanawake yaingia nchini

Maswali?

Je unatambua kuwa kuna tiba asilia ya mimea/mitishamba?
Je unatambua kuwa kuna mbadala ukiwa nyumbani kwako?
Je zoezi hili linaweza kuwa na madhara kiafya mbele ya safari?
Je TFDA/TBS/Wizara ya Afya wamethibitisha haya?


Karibuni muungane nami katika safari hii

Updates 1
Tiba Asili ya kutumia mimea/mitishamba kwa wale flat chested
Fenugreek : Kwa kawaida matunda ya mmea huu yalikuwa yanatumika na wanawake wa Kigiriki kuongeza ukubwa wa matiti yao na imehakikishwa kisayansi kuwa mtishamba huu huongeza athira ya mastogenic kwa misuli inayotengeneza maziwa. matunda( mbegu ) ya mtuii huo yalikuwa yanatengeneza aina ya dawa ijulikanayo kama phytochemical diosgenin na estrogenic isoflavones zinazooongeza utengenezaji wa dawa ya estrogen katika mwili, dawa ambayo ni ufunguo kwa matiti yenye shepu ya mchonoko na yaliyojaa.

Mmea wa Saw Palmetto:Huu ni mmea wa kaskazini mwa Marekani na kwamba unafanana na mtende ni moja ya mmea wenye kemikali chache unaotengeneza musuli na husawazisha matatizo ya mkaziwa yenyewe.

Fennel Seed:Husaidia kuzalisha musuli nyingine mpya
L-Tyrosine:Hii ni amino acid, Tyrosine ambayo hudhibiti uzalishaji wa homoni na hivyo kupunguza unene na.
Mexican Wild Yam:Matumizi ya kila siku yanapunguza michirizi isiyotakiwa katika matiti.
Kelp:Ni zao la baharini. Ni chanzo bora cha madini ya iodine chakula chenye hiki huleta homoni zilizojipanga vyema.

Damiana:
Kikawaida hutumika kwa ajili ya kuleta mizania ya homoni.Kuleta ukuzi mwema wa matiti, kupunguza dalili za matatizo yanayoambatana na siku za hedhi na kuchanganya ashiki;husaidia kupunguza uzito kuleta nguvu na kuondoa uchovu.
Dong Quai:kikawaida mmea huu wa Asia hutumika kuripea seli ikiwemo ya mammorianna, (tezi za matiti).
Mother's Wort:Mmea uliopo sehemu nyingi za Ulaya na kandoni mwa mito ambazo hutoa msukumo fulani katika kano la uzazi.

Black Cohosh :
Mmea unaopatikana kaskazini mwa Marekani hutumika kama dawa ya kubadilisha homoni.(known as both Actaea racemosa and Cimicifuga racemosa). Mmea huu husaidia hata kansa ya titi
Avena Sativa:Ni kama shayiri na ina kiasi kikubwa cha saponins, flavonoids, minerals, na alkaloids kwa ajili ya mfumo wa homoni.

Humulus Lupulus
(Common Hop): Mmea huu husaidia kuimarisha matiti. It contains phyto-estrogen which acts like the female hormone estrogen in the body. This plant has also been used for menstrual difficulties for over 2500 years, with its earliest uses documented during early Roman and Greek history.

N.B
Ni lazima kuwe na mizania ya mitishamba hapo juu ili kupata kile kitu unachotaka. Na ndio maana Kliniki moja ya Afrika Kusini( St Herb Beauty Breast Care) imekuja na fomula yake inayoitwa Beauty Bust Herbal Breast Enlargement Formula ambayo ina mchanganyiko wa mimea hiyo na ambayo hushawishi kukua kwa misuli za matiti ili kuyaongezea uzuri matiti yako.

Update 2
Tiba Asili ya kutumia mimea kwa wale wenye matiti yaliyolala
Modique Breast Reduction Formula. Itaendelea

Update 3
Tiba Mbadala kwa wale wenye matiti yaliyolala ukiwa nyumbani kwako
Mazoezi ni muhimu
The best way of reaffirming sagging breasts is a couple of chest exercises that will not increase the size of your chest muscle. That will gradually decrease the extra fat tissue around the breast and chest will look much stricter than in weeks.

With aging or after pregnancy too often the breasts start to sag. Surgery to lift the breasts is available, but it may also affect sexual sensitivity of the nipples. Thus, home remedies to help regain perkiness in the breasts are important. Home remedies such as exercise techniques, use of sports bras and use of weights during exercise may possibly help to firm and lift the breasts. Exercise regularly to improve overall health and add exercises such as push-ups and arm circles to tone and firm the breasts.

Step 1
Do arm circles to lift the breasts by strengthening the underlying muscles of the breasts. Repetitions of forward and backward arm circles, done regularly, may help the overall look of the breasts and increase their lift. Using light weights my also increase the effectiveness of this exercise. Perform three repetitions of 10 arm circles as you start this exercise program.
Step 2
Use free weights to firm breasts. Recline on your back on an exercise bench and lift weights up to the shoulders. Do at least three repetitions of 10. Working out on Nautilus equipment may also help to firm and lift the breasts. Nautilus exercises that focus on the chest and upper arm areas will help to build and firm muscles below the breasts and in the chest region.
Step 3
Add yoga to the exercise regimen. Yoga is a exercise to strengthen the entire body and tone all areas. Yoga requires the body to be focused and helps with posture, too. Proper posture makes the breasts look higher and firmer. Perform yoga exercises that focus on the breasts and upper arms to help enhance breast beauty.
Step 4
Perform push-ups. Either do the standard push-up in which the entire body raises into the air or do the modified push-up in which the knees are bent and only the upper portion of the body comes up off the floor. Start with as many push-ups as you can comfortably do; gradually increase the amount in each session. Do push-ups at least three times a week.
Step 5
Stop smoking to improve overall health and to protect the fragile skin of the breasts. Smoking causes a gradual breakdown of skin tissue. Plus, it is easier to exercise if not out of breath from smoking.

Read more: http://www.livestrong.com/article/15977-home-remedies-sagging-breasts/#ixzz1pRXGSf8t
 
Wanaume wanaume wanaume jamani mtaishia kupata katuni,wengine wanaongeza makalio kisa wanaume wanapenda wadada wenye makalio,haya sasa kwani matiti yaliyolala yana shida gani na nani kawaambia ladies yana shida?haya yakiwa madogo kelele hadi surgery ya kuongeza?jamani mateso,ushauri wangu kwa wadada mwanaume akija oh we mzuri lakini mnene usihangaike kujislim mwambie aende akatafute mwembamba oh wewe mweusi mwambia akatafute mweupe,kwa sababu unahangaika unapata mateso na on top kubwagwa,heri mimi i dont gv a damn about the way my body looks as long as im healthy
 
Mimi sioni tatizo hapo, (labda la kisayansi kama lipo) wanaume wote tunapenda wanawake wenye matiti mazuri yaliyo jaa sio ndala!
 
Mbona wahusika walipohojiwa juz Eatv walsema siyo mashne ya kucmamisha matiti ni mashne ya massage bt maalum kwa matiti tu.
 
Anayekupenda lazima akupende vile ulivyo na aridhike akianza kasoro za kijinga atafute asiye na hzo kasoro,yaani unyonyesha yabaki kama yalivyo dah,hivi mbona wa2 hawana kiburi changu,i cant get low,
 
Wanaume wanaume wanaume jamani mtaishia kupata katuni,wengine wanaongeza makalio kisa wanaume wanapenda wadada wenye makalio,haya sasa kwani matiti yaliyolala yana shida gani na nani kawaambia ladies yana shida?haya yakiwa madogo kelele hadi surgery ya kuongeza?jamani mateso,ushauri wangu kwa wadada mwanaume akija oh we mzuri lakini mnene usihangaike kujislim mwambie aende akatafute mwembamba oh wewe mweusi mwambia akatafute mweupe,kwa sababu unahangaika unapata mateso na on top kubwagwa,heri mimi i dont gv a damn about the way my body looks as long as im healthy

Hapo kwenye red umenifurahisha sana Mamndenyi, lakin ina maana hata mazoezi hutaki kufanya ili mwili mwako uwe kwenye shepu nzuri? Au hata mlo kamili huzingatii ili uwe na afya na muonekano mzuri?
Anyway hayo tuyaache lakin hapo unapotulaumu wanaume kunaweza kuwa na technical error kwani kuna wanawake wengine hawataki kujikubali jinsi walivyoumbwa. Wakiwaona wenzao walioajaaliwa (sijui nani kasema wao hawajajaliwa) wanatamani kuwa kama wao.
Thank God (sijui ni sahihi kushukuru), Mchina yupo, nae anawapatia ile kitu roho inataka
 
Anayekupenda lazima akupende vile ulivyo na aridhike akianza kasoro za kijinga atafute asiye na hzo kasoro,yaani unyonyesha yabaki kama yalivyo dah,hivi mbona wa2 hawana kiburi changu,i cant get low,
Alivyokupenda si yalikua yamesimama?
 
sipati picha mdada kajazia kifuani(mchina) huko kwenye makalio ndo kumevimba(mchina), itakua burdan ya macho! Mtaani tunaita dawa ya macho?
 
Hapo kwenye red umenifurahisha sana Mamndenyi, lakin ina maana hata mazoezi hutaki kufanya ili mwili mwako uwe kwenye shepu nzuri? Au hata mlo kamili huzingatii ili uwe na afya na muonekano mzuri?
Anyway hayo tuyaache lakin hapo unapotulaumu wanaume kunaweza kuwa na technical error kwani kuna wanawake wengine hawataki kujikubali jinsi walivyoumbwa. Wakiwaona wenzao walioajaaliwa (sijui nani kasema wao hawajajaliwa) wanatamani kuwa kama wao. Thank God mchina yupo, nae anawapatia ile huduma wanayotaka

nakula vizur kwa raha zangu,nafanya mazoezi madogo kwa starehe just kuhakikisha im health lakini vi2ko vya sina makalio,or matiti yamelala or mi mweusi haviingii akilini,unajua mr,huyu mwanamke nani kamuambia matiti yaliyo lala si mazuri?mfano mi naona wadada waliojaliwa natural makalio na mimi nina pasi lakini hainisumbui kwa sababu wapo watu wanaopenda pasi yangu na scientifically hamna madhara ya nlivyo,kwa hyo kwa nini niache kujikubali,lakini hata humu jf ushaona mapicha ya wadada yanayowekwa na wakaka?wakaka ndio wanawapotezea confidence ladies,
 
sipati picha mdada kajazia kifuani(mchina) huko kwenye makalio ndo kumevimba(mchina), itakua burdan ya macho! Mtaani tunaita dawa ya macho?
Nasikia ipo na ya kurudisha bikira. Yaan huyu mchina sijui anataka atumalizie dada/wake zetu
 
Back
Top Bottom