Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
Hahahhahaaaa km chura
kwani chura peke ake ndo anachuchumaa?
Hahahhahaaaa km chura
Ile mashine wanaweza wakai-customize kulingana na mahitaji yako.Ni suala la kubadilisha vibakuli tu
kwani chura peke ake ndo anachuchumaa?
Mamzalendo nadhani huu mtihani nimeshafeli kabla sijaanza kuujibu. Anyway nitajiaribuEmbu jamani entrepreneur nisaidie umuhimu wa vitu hivi zaidi ya aliyouweka Mungu mfano matiti?makalio?rangi nyeusi?tumbo?kwa uelewa wangu ili mradi vinatimiza wajibu zake haijalisha vinashape gani au size!mimi kwangu uzuri wa hv vi2 ni luxury 2 cha muhimu wajibu wake,
Mi namjua chura tu
eti kumassage matiti ili iweje?
Product/huduma nyingi (hasa zinazohusu afya/mwili wa binadamu) zinapoingizwa sokoni kwa mara ya kwanza huwa zinapingwa sana lakini baadae watu huzoea na kuzikubali.kurelax kama anyothr kiungo cha mwili!kwa madai yao..bt i jus love ma swtself,massage atanfanyia mr wangu kwa ushirikiano wangu mkamilifu..na cyo bana ba kongo na ba chainiz,Lol
Labda km wanayalaza...coz huwezi simamisha kilichosimama....
Lol hii haigusi familia yangu
Hahahaaah ricky ricky ricky!! U are the BEST!
Embu jamani entrepreneur nisaidie umuhimu wa vitu hivi zaidi ya aliyouweka Mungu mfano matiti?makalio?rangi nyeusi?tumbo?kwa uelewa wangu ili mradi vinatimiza wajibu zake haijalisha vinashape gani au size!mimi kwangu uzuri wa hv vi2 ni luxury 2 cha muhimu wajibu wake,
Na mengi ya aina hiyo ni mazuri kutomaswa kutomaswaMimi sioni tatizo hapo, (labda la kisayansi kama lipo) wanaume wote tunapenda wanawake wenye matiti mazuri yaliyo jaa sio ndala!
Je wangetumia mitishimba, ungebadili msimamo wako Amy? Kuna habari njema pia, kwani kuna mitishamba inayoweza kufanya kazi hii hasa kwa wale walio flat kifuani. Miti/Mimea hiyo ni kamaMh.. Wanajitengenezea cancer bila kujua!
Mimi sioni tatizo hapo, (labda la kisayansi kama lipo) wanaume wote tunapenda wanawake wenye matiti mazuri yaliyo jaa sio ndala!
Dandabo, unayapenda kwa? ................
Kwani bado hujaachishwa nyonyo ?
Au unayo sababu nje ya hizi ?
Mimi sioni tatizo hapo, (labda la kisayansi kama lipo) wanaume wote tunapenda wanawake wenye matiti mazuri yaliyo jaa sio ndala!
Wanawake wenye misimamo kama wewe, katika kizazi chetu ni wachache sana. Kwa kweli mnanifurahisha na kunivutia sana. Hongereni sana kwa hilo lakini mimi bado nina maswali machache tukiachana na hii kitu wanayoita "BREAST MASSAGE" kwa kutumia hiyo mashineHata kama niwe na lapa kifuani....bado sipresheki na makorokoro yao!!
Wanawake wenye misimamo kama wewe, katika kizazi chetu ni wachache sana. Kwa kweli mnanifurahisha na kunivutia sana. Hongereni sana kwa hilo lakini mimi bado nina maswali machache tukiachana na hii kitu wanayoita "BREAST MASSAGE" kwa kutumia hiyo mashine
Je swala la kutumia mimea unaafikiana nalo? (Hata mafundisho yanatuambia kuwa Adam na Hawa walikuwa wanatumia)
As long as sinaga habari kabisa na mambo hayo......sijui hata nikujibu nini ndugu!!