jpg_20221119_111438_0000.jpg
 
Email marketing ndo nini
Iko hivi wewe ni mfanyabiashara then unashawishi wateja kusubscribe kwenye email list yako (mara nyingi kupitia website) then mteja anakuwa anapokea updates directly kwenye inbox yake... labda ni taarifa kuhusu promotion, discounts and other offers...

“Kwa ufupi ni njia ya masoko kutangqza bidhaa kuwafikia wateja kwa kutumia emails moja kwa moja”
 
Kazi nzuri kiongozi, kwa kuwa TRA na BRELA ni mapacha nigependa kusaidia wenye kuhitaji HUDUMA ZIFUATAZO.
1. Audit of annual financial statements
2. Monthly VAT Return
3. Registration of employees for taxes SDL AND PAYE
4. Monthly payroll (TRA taxes SDL/PAYE, Social security (NSSF), Workers contribution to WCF
5. Tax Planning, provisional assessment tax for quarterly corporate taxes, charges etc
6. Cash budgeting and monitoring of complicated credit/loan facility transaction(monthly)
7. Trade stock-taking and assets auditing and accounts reconciliation(monthly)
8. Monthly management, bookkeeping, accounts and reconciliation
9. Compilation of financial statements
 

Attachments

  • 20230206_054638_0000.png
    20230206_054638_0000.png
    35.1 KB · Views: 19
  • 20230206_060115_0001.png
    20230206_060115_0001.png
    29.4 KB · Views: 19
Ninaomba kufahamishwa faida za kusajili biashara yako BRELA
1. Unakuwa rasmi
2. Kulindwa kisheria kwa maana hakuna mtu mwingine atakaye tumia jina hilo
3. Kukubalika ktk shughuri mbalimbali. Mfano, kupata tenda/KAZI za serikari na mashirika Fulani fulani
4. Kutambukika na authority fulanifulani kwa namna iliyo rahisi. Mfano tra, crb, bot
5. Kuhukupa uwepesi wa kuaminika na wateja na wadau wanao kugusa
6. Nk
 
Naomba tofauti kati ya hivi vitu.
1. Xyz limited vs investment vs enterprises
2. Public vs government companies
3. Process of assigning company to stock market eg DSE
 
Naomba tofauti kati ya hivi vitu.
1. Xyz limited vs investment vs enterprises
2. Public vs government companies
3. Process of assigning company to stock market eg DSE
1. limited ni kampuni ambazo liability ya owner ina kuwa limited either by shares walizonazo au by guarantee
hayo investment , enterprises ni terms tu za watu wanavyoaamua kunibrand lakini kisheria hazina maama yeyote

2. public companies nizile ambazo umiliki wake ni WA public listed na traded on dse
government companies , nizile.ambazo more than 50% ya paid capital yake inamilikiwa na serikali
 
Naomba elimu kuhusu "Group of Companies".
Inakuwaje mtu/watu wanamiliki Group of Companies na ndani yake kunakuwa na kampuni nyinginezo?
Ahsante!
 
Katika kusajili kampuni nimekwama pale kwenye kupata fomu namba 14b. Hii fomu naipata vipi na inajazwa na nani?
 
Kama ni ndiyo basi GAPO GROUP LIMITED ni mkombozii Kwako. Ni kampuni ya ndani ya nchi ambayo imesajiliwa kisheria na yenye uzoefu wa masuala yote ya biashara kuanzia usajili hadi namna gani utaikuza biashara yako.
Huduma zitolewazo

1. Kusajili kampuni-
2. Kusajili jina la biashara-
3. Kuandaa memorandum and article of association-
4. Gharama za mwanasheria-
5. Makadirio ya Kodi-
6. Kuandaa business plan-


Kwa mawasiliano zaidi
Piga / wa.me 0629706263
Barua pepe : gapogrouplimitedtz@gmail.com

Kuuliza ni bure kabisa
🙏
 
Kwa ushauri na msaada kuhusiana na masuala yote ya usajili wa biashara usulisite kuwasiliana nasi kupitia 0629706263
 
Back
Top Bottom