Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
- Thread starter
- #41
Tatizo umelishwa imani ya kidini na ukaamini israel eneo lake la asili ni Mashariki ya Kati. Bila kusoma historia. JIBU maswali hayaKwanza sijui kama Israel wangekubali kukaa huku Afrika mashariki wakati sehemu ambayo wanahistoria nayo wanaijua ilipo
Na wangekaa huku nadhani wangetulia maana nikama wamepewa ufadhili sehemu ambayo hawana kumbukumbu nayo yoyote.
Wanagombana na wapalestina sio tu kwasababu ya ardhi Bali wanamaeneo yao muhimu ya kiimani wanayahitaji kutokana na historia yao, Sasa hapa Afrika mashariki historia yao inawaonesha Nini nadhani wangekuwa kama Liberia ama siera Leon kama kipigana wangepigana wenyewe Kwa wenyewe
UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?
14th may 1948 kulitokea Tukio gani?
1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?
UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo