Adolf Hitler3
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 228
- 127
HISTORIA YA ISRAEL
Ukiongelea Taifa la Israel lazima ufafanue unaongelea Israel ya zamani au Israel ya sasa.
ISRAEL
1.Modern Israel (Israel ya sasa)
2.Ancient Israel (Israel ya Zamani)
Kujua chanzo cha mgogoro wa Israel na Palestina ni vema mtu akawa na uelewa wa historia zote mbili.
Na ikumbukwe kua historia ya Israel ya zamani ni kubwa kuliko taifa lolote lile duniani kwani yenyewe inaanza hata kabla ya miaka 2000 ya kuja kwa masiah ( Hapa kwa dini tofauti lazima tuelewe historia au kuhesabu miaka kulianza no 1 baada ya kuja kwa masiah ndio maana tupo mwaka 2023. Lakini si kwamba tangu dunia kuumbwa ni miaka 2000 tu la hasha.
1.ISRAEL YA SASA (Modern Israel)
Israel ya sasa haina historia kubwa sana kwani imeanza miaka ya 47 ambapo mwaka 48 may ndio iliundwa
MGAWANYO WA UN
UN waliligawa eneo la palestine mandate au British palestine kati ya waarabu na Waisrael 1947
ISRAEL YA ZAMANI
Hii ilikuepo kabla hata kuja kwa masiah yaan hata kabla hatujaanza kuhesabu mwaka wa 1. Kifupi hata kabla ya miaka hii tulio nayo “2000”
Taifa la Israel Limepitia matatizo mengi hata kabla ya kuja kwa masia /Nabii issa. Limepigana vita nyingi ikiwa ni pamoja na Wafilisti na kuwashinda mara kadhaa.
Wafilisti lilikua taifa la watu wa kale ambao leo n wairaq na wasyria.
Kwanini Hamna atakae ling’oa taifa la israel?
Miaka ya leo linapigana na Waarabu napenda kutumia waarabu kwa sababu taifa la Palestina halijawai kuwepo had mwaka 1988 (ukibisha lete ushahidi). Taifa hili limeanza kupigwa vita na kutekwa mara kadhaa lakini kila mara wamekua wakirudi kwene hii Ardhi yao pendwa.
Utasikia mpumbavu mmoja akisema Ni wazungu wametoka ulaya kwenda kuanzisha nchi pale?? Je we ungekua mzungu ungekubali kwenda kufia jangwani pale kwene waarabu wenye visilani uache kukaa miji mizuri kama Venice, Paris na UK.
Ukweli ni kwamba waisrael wapo tayari kufia pale kwasababu hawana sehemu nyingine kila nchi wamekua wakibaguliwa na kuuliwa. Lakini Waarabu wamevamia ardhi yao.
NB: TAFADHARI USIWEKE LINK YYTE KWENE HUU UZI ️
Ukiongelea Taifa la Israel lazima ufafanue unaongelea Israel ya zamani au Israel ya sasa.
ISRAEL
1.Modern Israel (Israel ya sasa)
2.Ancient Israel (Israel ya Zamani)
Kujua chanzo cha mgogoro wa Israel na Palestina ni vema mtu akawa na uelewa wa historia zote mbili.
Na ikumbukwe kua historia ya Israel ya zamani ni kubwa kuliko taifa lolote lile duniani kwani yenyewe inaanza hata kabla ya miaka 2000 ya kuja kwa masiah ( Hapa kwa dini tofauti lazima tuelewe historia au kuhesabu miaka kulianza no 1 baada ya kuja kwa masiah ndio maana tupo mwaka 2023. Lakini si kwamba tangu dunia kuumbwa ni miaka 2000 tu la hasha.
1.ISRAEL YA SASA (Modern Israel)
Israel ya sasa haina historia kubwa sana kwani imeanza miaka ya 47 ambapo mwaka 48 may ndio iliundwa
MGAWANYO WA UN
UN waliligawa eneo la palestine mandate au British palestine kati ya waarabu na Waisrael 1947
ISRAEL YA ZAMANI
Hii ilikuepo kabla hata kuja kwa masiah yaan hata kabla hatujaanza kuhesabu mwaka wa 1. Kifupi hata kabla ya miaka hii tulio nayo “2000”
Taifa la Israel Limepitia matatizo mengi hata kabla ya kuja kwa masia /Nabii issa. Limepigana vita nyingi ikiwa ni pamoja na Wafilisti na kuwashinda mara kadhaa.
Wafilisti lilikua taifa la watu wa kale ambao leo n wairaq na wasyria.
Kwanini Hamna atakae ling’oa taifa la israel?
Miaka ya leo linapigana na Waarabu napenda kutumia waarabu kwa sababu taifa la Palestina halijawai kuwepo had mwaka 1988 (ukibisha lete ushahidi). Taifa hili limeanza kupigwa vita na kutekwa mara kadhaa lakini kila mara wamekua wakirudi kwene hii Ardhi yao pendwa.
Utasikia mpumbavu mmoja akisema Ni wazungu wametoka ulaya kwenda kuanzisha nchi pale?? Je we ungekua mzungu ungekubali kwenda kufia jangwani pale kwene waarabu wenye visilani uache kukaa miji mizuri kama Venice, Paris na UK.
Ukweli ni kwamba waisrael wapo tayari kufia pale kwasababu hawana sehemu nyingine kila nchi wamekua wakibaguliwa na kuuliwa. Lakini Waarabu wamevamia ardhi yao.
NB: TAFADHARI USIWEKE LINK YYTE KWENE HUU UZI ️