Mishkat al-Masabih Hadith 119 inasema Allah alipomuumba Adam alipiga baga la kulia wakapatikana Wana weupe; akapiga bega la kushoto wakapatikana Wana weusi. Wana weupe akawazawadia pepo na weusi Jehanamu.
Aidha, ulipata kujua kuwa Quran inamtambulisha Mtume Mohammad kuwa mtu mweupe?
Sahih al-Bukhar Hadith 63 inasema Muhammad ni mweupe
Vile vile Quran 3:106 & 107 inawaonya wale watu wa jamii ya weupe kuwa wao wanahesabiwa kuwa ni waumini, lakini endapo wataanguka na kuwa si waumini basi siku ya kiyama watafanywa weusi na kutupwa motoni
NB: MUARABU KAMA ILIVYOKAWAIDA YAKE ALIPOTAFSIRI QURAN KWENDA ENGLISH AMEPOTOSHA MANENO white na Black ili aendelee kutupumbaza tusiojua KIARABU. MUNGU SAIDIA Uongo wao unazidi kufichuliwa kupitia TEKINOLOJIA na WAARABU ambao siku za Karibuni wameamua kumfuata YESU wa kweli badala YA ISSA WA QURAN ambaye ni FAKE JESUS
Aidha, ulipata kujua kuwa Quran inamtambulisha Mtume Mohammad kuwa mtu mweupe?
Sahih al-Bukhar Hadith 63 inasema Muhammad ni mweupe
Vile vile Quran 3:106 & 107 inawaonya wale watu wa jamii ya weupe kuwa wao wanahesabiwa kuwa ni waumini, lakini endapo wataanguka na kuwa si waumini basi siku ya kiyama watafanywa weusi na kutupwa motoni
NB: MUARABU KAMA ILIVYOKAWAIDA YAKE ALIPOTAFSIRI QURAN KWENDA ENGLISH AMEPOTOSHA MANENO white na Black ili aendelee kutupumbaza tusiojua KIARABU. MUNGU SAIDIA Uongo wao unazidi kufichuliwa kupitia TEKINOLOJIA na WAARABU ambao siku za Karibuni wameamua kumfuata YESU wa kweli badala YA ISSA WA QURAN ambaye ni FAKE JESUS