secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,610
She.nz kabisa ww dah!!Siku 2 zilizopita nilikuwa mgeni kwa mtu,siku ya kuondoka ahsubuhi sana niliingia chooni nikashusha mbolea mle.Nilipofika ubungo ndio nakumbuka sikuflash choo.Mpaka nimefika nilipokuwa naenda sijaona meseji ya mwenyeji wangu kuniuliza iwapo nimefika salama au lah na si kawaida yake nahisi kuna tatizo sehemu.
imebidi nicheke bila kupenda...