jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,209
- 5,459
Sasa wataoshaje vyombo wakati dada yao yupo?Kuna shemeji zangu nimewaunganisha kazi sehemu wao wakirudi toka job wanasalimia na kukaa nje eti ndani joto msomi ukiiva wanakula na kusepa hata kijiko hawakoshi alafu ni swala tano. Juzi kati nimenunua pork wakafika wakakuta anakaangwa wakasema nyama gani mbona inanukia vyema nikawatajia wakasepa hadi leo, raha ya kula ni kuosha vyombo ishu ilipelekwa kwa dada yao mtu akiumwa anataka umpeleke hosp na kumlipia tiba, maji ya kunywa safi dumu Tsh.2,000/- hawanunui wakikuta kwangu wanabeba nikabadili kitasa nimeoa dada yao siyo ukoovy mjini bajeti