Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Kwa nyie wadada mlio tayari kuolewa ile first time mtu anakusemesha au anakutafuta privately kuwa nayo makini sana. Mwanaume haji private pasi na kuona au kuwaza chochote. Ktk hicho chochote unaweza kupata mwenza wa maisha.
Kuna comment kama 3 nimeziona zikimlaumu mtoa mada kuwa alitafutwa lakini hakutafutika. Inawezekana ni utani. Lakini waswahili wanasema kuwa makini sana na utani, sik hizi ukweli hupitishwa ktk utani.
 
Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.

Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.

Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.

Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.

Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.

Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.

Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi. Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.

Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.

Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.
Wise words!!!

Umewasadia sana,mwenye kuelewa ataelewa maana tamaa zinawaponza pale wanapotaka kuolewa na wanaume wenye nyumba wakati baba zao wamezeekea kwenye nyumba za kupanga au mume mwenye gari huku baba zao hawakuwahi kumiliki hata bicycle.
 
Early 30s' bado hakuna changamoto, relax utapata hitaji lako, tena unapata mtoto ukiwa matured!!
Wengine tulianza kuzaa kwenye early 20s' utoto ulikuwa mwingi sanaa
Hapana sis. Mwanamke akivuka 30s bila kupata angalau mtoto wa kwanza risks zinaanza kuongezeka; na 35 huko na kuendelea inabidi kuchukua tahadhari hasa katika mimba ya kwanza. Inashauriwa sana mwanamke mwenye ujauzito katika umri huu inabidi aende hospitalini mara kwa mara hasa kama ana changamoto zingine za kiafya kama ishu za moyo, presha, kisukari na mengineyo.

Screenshot_20240211_144940_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20240211_145219_Samsung Internet.jpg
Screenshot_20240211_145800_Samsung Internet.jpg
 
Sisemi ni mafataki, ni kioendacho roho, naheshimu machaguzi yao, ila nabaki najiuliza tu inakuwaje kuwaje, wanaanzaje na wanaishi vip! 😂🤣
Kiukweli vitoto siviwezi, yaani mtu namzidi miaka 5,10.. Haya mahusiano siyawezi
Lakini wao waliwza kuwa na mwanaume aliyemzidi miaka 5, 10 ila wewe ndio uwezi kuwa na mwanamke uliyemzidi 5, 10....mlinganganyo kama huu mwanamke ndio anaupenda through ni win win kwake akiwa kwenye Pick 20, 21 ana date na wenye pesa wa 30 akifika kashazeeka huko 30 anajiyafutia age mate wake kama wewe.

Mwanaume timamu awi na mwanamke mwenye umri sawanae unless kuwe na exceptional...
 
Humu watu wanatoa ushauri utadhani mtu anataka kununua kiwanja kumbe mtu anataka kujenga mahusiano ili aanzishe familia masikini.

Mimi nawaonea huruma sana mabinti wa kizazi hiki maana jamii imewaachia uhuru fulani hivi wa kucheza na maisha yao wakidhania huko mbeleni wanadhamana ya kutoboa kifamilia na kimahusiano. Huwa nawaonea huruma sana nikiwa natafakari future zao.
Umeliweka vizuri, sikuhizi ulimwengu hauwaonyi wasiofunzwa na mama zao ila unawasubiri uwafundishe adabu 😂
 
🙄
Early 30s ndio umri wenyewe wa ndoa. labda ungekuwa 40s uko kuwa na wasiwasi ingekuwa halali.
Cha msingi ukipata watoto hakikisha unawapambania ili wakifika 20s wawe na maisha yanayoeleweka.

Ila nikukumbushe ndoa tamu mwanzoni Yani ukimwambia mwenzio "nakupenda" unajibiwa kwa mahaba yote "nakupenda pia", wakati wa kuangalia movie mnakumbatiana.

Sasa kaeni miaka kama kumi hivi Yani wakati wa kuangalia movie ikitokea umepaliwa na popcorn mwenzako ndio kwanza anaongeza lisauti la tv,
Ata ukijamba kidogo kwa bahati mbaya mwenzako anajibu kwa kujamba kwa nguvu tena ile style kama muungurumo wa pikipiki.
Mara ujikute asubuhi unabishana na watoto ambao hawajajua ata kiatu kipi wavae kushoto kipi kulia.
Vurugu tupu.
 
Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.

Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.

Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.

Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.

Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.

Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.

Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi. Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.

Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.

Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.
This is powerful 🔋
 
Mwanamke anayetumia JF, maanayake ni mwanamke mwenye EXPOSURE KUBWA, anajielewa na ana thinking kubwa sasa wanawake kama hao mwanaume aliye timamu hawapendi suala sio kuwa na hivyo vitu bali wanawake wengi wakiwa na hivyo vitu inakuwa ngumu wao kuwa SUBMISSIVE kwa mwanaume.
Uongo wa Karne huu mkuu. Fanya upya research Yako. Kuwa JF na exposure ni vitu viwili tofauti. Lakini pia hizi kelele za mitandaoni zisikudanganye, wakiwa offline wengi ni wapole kama kobe, na Kila wanachoambiwa na wapenzi wao wanaitikia kwa adabu "ndio baba"
 
Uongo wa Karne huu mkuu. Fanya upya research Yako. Kuwa JF na exposure ni vitu viwili tofauti. Lakini pia hizi kelele za mitandaoni zisikudanganye, wakiwa offline wengi ni wapole kama kobe, na Kila wanachoambiwa na wapenzi wao wanaitikia kwa adabu "ndio baba"
Kubali kataa just ni mindset ilaile ya nabii hakubaliki kwao wewe na mimi kuwa hapa JF tunaonana wakawaida just kwasababu tupo na level moja ya Exposure fulani na uwelewa ila ni tofauti kabisa na Ordinary guy wa kitaa na hivyohivyo kwa wanawake hapa I don't need research just common sense tuchukue wanawake 10 hapa na tuchukue wanawake 10 mtaani ambao hawaijui kabisa JF wale 10 wa JF watakuwa na uwelewa zaidi kuliko hawa 10 wakitaa tu.
 
Kuna kitu nahitaji kuwafunza mabinti ambao hawajafika 30.

Ukipata mpenzi ukamuona ana hofu ya Mungu, maisha yake yapo wazi hasa tabia zake, anakupenda kwa dhati, yupo tayari kukutambulisha kwa ndugu zake na kwa familia yake.

Yamkini asiwe na kipato kikubwa sana ila ana uwezo wa kufanya wote mle na mkalala, ISHI HAPO.

Acha tamaa za kutaka uolewe na mwanaume mwenye pesa, anayefanya kazi TRA, bandari, mfanyabiashara mkubwa, mwenye muonekano fulani n.k mwisho mtakuja kuangukia kwa wanaume za watu au kwa wanaume ambao wataishia kukuchezea. Kumbuka sehemu kubwa ya mwanaume mwenye pesa, ngono anachukulia starehe tu, kwahiyo atakuchukua na kukutumia baada ya kukutamani akijua anapiga na kupita zake.

Binti yangu, huyo mwanaume wa mtu unayemuona ana pesa, hazijaja tu hivi hivi, alianza chini kabisa kama huyo kijana ambae kwa sasa wewe unamdharau.

Kama umewahi kumnyanyasa kijana wa watu kisa masikini, yeye sijui hana umbo zuri n.k moyo wake ukaumia, katafute suluhu naye sababu huenda kuna mambo yako yakafunguka.

Mabinti sio kwamba mnakosa watu wa kuwaoa ila tamaa za maisha zimekuwa zikiwatesa wengi. Mnapenda smartphones, kila wiki msuke, utolewe out n.k mnaishi maisha ya udangaji kisa mna uzuri wa sura au mna matako makubwa, kwa bahati mbaya sana, ukishazoea kudanga, mwanaume yeyote atakujua tu, udangaji ni kama ngozi, HAIJIFICHI na hata ukijitahidi, mtu atasikia tu stori zako.

Sasa hivi kijana wa 30, 31, 32 ambapo kwa sehemu kubwa ndo vijana wengi walau kwa sehemu wanaanza kuona mwanga ktk eneo la uchumi hawezi kuwa na mwanamke wa 30, lazima atafute wa 24, 25 au 26 unless awe mpumbavu.

Girls kuweni makini sana na umri, uliowatupa kisa hawana ela, wakipata ela na wao watakuona wewe sio hadhi yao. Tafuta kijana mwezio mtakaopendana, mtie moyo ktk utafutaji, mpende sana na kumpa heshima hata pale ambapo anapungukiwa, mwanaume huyo hatokusahau.

Tatizo mmekariri wanawake wote wapo after money

Tatizo ni moja tu tunawapenda hamna hela na bado mnatuumiza mioyo sasa mtu anaona ya nini kugandana na mtu msaliti na hela hana anaamua zake kuwa na mtu atakae muhudumia

Kingine vijana wa rika letu hawatuoi sisi wanaoa watoto wadogo

Hivi imagine kuna watu wameanza mahusiano since shuleni wana miaka zaidi ya 8 ila mwanaume mwisho wa siku anaoa binti mwingine kabisa tena mdogomdogo…

Nyie wanaume muwaoe hao munaowachezeaa single wapungue
 
Back
Top Bottom