Kaka hata ya kubadilishia mboga huna?kwani maisha umeanza mwaka gani?mi sina bado nikipata nitaleta mrjesho
hahaahaaBado Sijapata.. ila Ninacho experience ni kwamba Hakuna Mwanamke anayening'ang'ania.. Pesa si sinaa bwana..
hahaaaa daaaahh " huyo teacher " anastahiki " kutunukiwa nishani ya roho mbaya aiseeSiwezi kusahau siku niliyozabwa kofi la nguvu sana sikioni na mwalimu mkuu wa shule yangu ya msingi mbele ya wanafunzi wote hadi nikaanguka chini huku nikihisi sikio kuziba. Hii ilinitokea nikiwa darasa la nne baada ya kuwa nimekosa hela ya kiingilio cha kuangalia mazingaombwe na mimi nikawa nimerukia dirishani ila bahati mbaya yule mwalimu akawa ameniona. Nilikuwa mdogo lakini hilo tukio lilinifedhehesha muda wote hadi nilipohama shule hiyo nikiwa darasa la sita ndipo nikapata nafuu.
ha hahaaYasikie kwa watu. Niliingia na demu Mazembe guest house Tabata karibu sana na mataa kama unakuja Azam tv. Ile nimemaliza kuvaa ngao demu kaniambia nipe changu kwanza. Mfukoni nilikua na buku 2 nauli ya kurudia. Nilimuona abdala kichwa wazi akisinyaaa ndani ya vazi rasmi la kivita. Sikua na lakufanya ila kuvaa suruali na kuwahi daladala la Ubungo.
pole sana aisee "... huu msemo wa kutesa kwa zamu " haujawahi kataa ku-exist ..wakati wako ukifika hao nduguzo wajiandae kunywa panadolMimi napitia hali hiyo mnayosimulia kwa sasa lakin ukiniona niko na furaha sana, majaribu nimeyachukulia positive. Mungu ananiandaa kwa ajil ya mambo makubwa....... Simu nikipiga hazipokelewi hata kwa ndugu wa karibu saa nyingine, wanahis nitakuwa naomba misaada tu
muheshimu sana mkeo "... kuna watu huwa mnabahati ya kupata wanawake aisee"Yule naye si marehemu tu!atanipa nini mimi?
Haya maneno nikiyakumbuka roho inaniuma sana,but my wife ndio mwanamke pekee ambaye alinipenda tangu nakula msosi wa kengere hadi leo nina maisha yangu ambayo sifikirii ntakula nini.Lakini ndiyo mitihani ya maisha kwakuwa ni binadamu
Halafu mbaya zaidi kwa vile wanafunzi wengi hawakuwa na pesa ya kiingilio na ni wachache sana waliweza kulipa ikamlazimu profesa wa mazingaombwe ahairishe onyesho lake kwa kudai kwamba haitamlipa. Yaani hiyo ndiyo iliyoniumiza zaidi kuona kwamba "aliyefaidi" mazingaombwe ya siku hiyo ni mimi pekee yangu kwa kuzabwa lile kofi adimu.hahaaaa daaaahh " huyo teacher " anastahiki " kutunukiwa nishani ya roho mbaya aisee
Nasikia wee jamaa ni HB sana .Bado Sijapata.. ila Ninacho experience ni kwamba Hakuna Mwanamke anayening'ang'ania.. Pesa si sinaa bwana..
Mkuu we might be sailing on the same boat.Bado Sijapata.. ila Ninacho experience ni kwamba Hakuna Mwanamke anayening'ang'ania.. Pesa si sinaa bwana..
Kaka yaani natamani sana kuoa mke wa pili au kuwa na mchepuko lakini nikikumbuka nilivyoanza na mke wangu uhusiano mpaka leo nakuwa mpole,ndio maana kigezo changu cha mke wa pili lazima awe na kazi,biashara na mwenye uwezo wa kujitegemea kwa asilimia 70 lakini sio eti yeye anifanye mimi kazi kwakutegemea papuchi yake tu.Mimi na mke wangu tuna miaka kumi ya uhusiano yaani sita ya uchumba na minne ya ndoa na katika miaka sita ya uchumba gharama yangu kubwa ilikuwa kununua vocha na kumpigia lakini zile story sijui simu yangu imeingia kwenye maji wala sikukutana nayomuheshimu sana mkeo "... kuna watu huwa mnabahati ya kupata wanawake aisee
Hahaha sasa Mazingaumbwe ukose ww ...mwalimu akupige ..ila shule za msingi zilikua na uonevu sanaSiwezi kusahau siku niliyozabwa kofi la nguvu sana sikioni na mwalimu mkuu wa shule yangu ya msingi mbele ya wanafunzi wote hadi nikaanguka chini huku nikihisi sikio kuziba. Hii ilinitokea nikiwa darasa la nne baada ya kuwa nimekosa hela ya kiingilio cha kuangalia mazingaombwe na mimi nikawa nimerukia dirishani ila bahati mbaya yule mwalimu akawa ameniona. Nilikuwa mdogo lakini hilo tukio lilinifedhehesha muda wote hadi nilipohama shule hiyo nikiwa darasa la sita ndipo nikapata nafuu.