mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Maisha ya sasa ni maisha yanayobadilika kwa kasi sana.Pesa imekua suluisho na kipaumbele kikubwa katika maisha yetu ya kila siku.
Ukija kwenye mapenzi ndio kabisaa hakuna Binti anaweza kukuelewa kwa lolote bila kuwa na Pesa mfukoni.
Naelewa ukiwa kama Mwanaume umeshapitia mazingira fulani ya kudhalilishwa na mwanamke wake kisa pesa ,either kukataliwa,kusalitiwa au kukanwa mbele ya watu kabisa,inaweza ikawa si mapenzi tu ila kwa namna moja pesa inaweza ikawa imeshawahi kukuletea aibu fulani katika mazingira fulani.
Share nasi ni kwa namna gani fedha imewahi kukuletea fedhea .
Vile vile kwa Wanawake mnaweze kushare nasi namna mvilivyowakana na kuwasaliti watu wenu wasio na pesa au walioshiwa gafla , au ni kwa namna gani fedha ilikufanya utoe utu wako kwa ajili ya kupata kitu kama kazi ,nafasi kazini,cheo na mambo kadha wa kadha.
Experience make a person better.
#share .
Ukija kwenye mapenzi ndio kabisaa hakuna Binti anaweza kukuelewa kwa lolote bila kuwa na Pesa mfukoni.
Naelewa ukiwa kama Mwanaume umeshapitia mazingira fulani ya kudhalilishwa na mwanamke wake kisa pesa ,either kukataliwa,kusalitiwa au kukanwa mbele ya watu kabisa,inaweza ikawa si mapenzi tu ila kwa namna moja pesa inaweza ikawa imeshawahi kukuletea aibu fulani katika mazingira fulani.
Share nasi ni kwa namna gani fedha imewahi kukuletea fedhea .
Vile vile kwa Wanawake mnaweze kushare nasi namna mvilivyowakana na kuwasaliti watu wenu wasio na pesa au walioshiwa gafla , au ni kwa namna gani fedha ilikufanya utoe utu wako kwa ajili ya kupata kitu kama kazi ,nafasi kazini,cheo na mambo kadha wa kadha.
Experience make a person better.
#share .