Je, ukistaajabu ya Spika Ndugai na Utanganyika utayaona ya Rais Samia na Uzanzibar?

Naam,ni mama mwenzenu! Na atatuonesha rangi yake halisi.

Mi najaribu kufikiria ni jinsi gani SMZ wamepewa 200bn za corona, nakumbuka kabla ya JPM, bajeti ya mwaka ya SMZ ilikuwa inacheza kwenye 400bn to 500bn, sasa kwenye 1.3trillion, unatoa 230bn kwa SMZ? Nusu ya bajeti yao ya mwaka!

17.69% Vigezo na uwiano ukoje hapa?
Ni jambo jema kwao
 
vp kashfa ya maaskofu kulawit????tena Vatican kabsa na Papa kuomba msamaha au ulikuwa mtt??
Nimesema wahanga wengi wako madrasa,Vatican sio peponi,walioko kule ni binadamu kama walio kokote duniani!Hivyo hawana uspecial wowote!
 
Hakuna kauli ya bahati mbaya au jambo la bahati mbaya, Haya yote humtoka mtu moyoni kwani ndio moyo wake umeyajaa yamtokayo

Refer:Uzi wa Pascal Mayalla Unaoongelea Powers of karma na Nguvu za uvutano( Newton's laws of Motion)

Kauli ya Spika Job Ndugai kuwa pesa za korona za msaada wa IMF zigawanywe kwa kufuata idadi ya watu na sio majimbo ilikuwa inailenga Zanzibar na kutaka kuisaidia Tanganyika wengi wanaiita Tanzania bara

Zanzibar ina idadi ndogo sana ya watu hawafiki hata laki sita lakini wana majimbo zaidi ya 20,Ukigawa pesa za korona kwa kufuata majimbo Zanzibar watapata pesa nyingi sana kuliko majimbo ya bara yenye idadi kubwa ya watu

Takribani nusu ya watu wa Zanzibar yaani zaidi ya watu laki tano wanaishi Tanzania bara(Tanganyika) wakijishughulisha na shughuli mbalimbali za Kilimo na biashara , Hivyo wakazi waliopo Zanzibar kama Zanzibar hawazidi laki sita

Je Ndugai sasa somo la katiba mpya linaanza kumuingia kwani kwa miaka mingi Bungeni pesa ziligawanywa kwa kufuata majimbo na Yeye alishiriki kama Spika kupitisha

Kauli ya Rais Samia kuwa Yeye ni mzanzibar ilikuwa ni kutuma ujumbe kwa wale wanaoona sasa anaipendelea Zanzibar kwa kulazimisha kila kitu kinachofanyika bara kifanyike Zanzibar huku watu wa Tanganyika wakitambua Zanzibar ina idadi ndogo ya watu sana


Jimbo la kawe Dar es Salaam lina watu zaidi ya Zanzibar

Jimbo la Mbeya mjini ambalo Spika Ndugai alilitolea mfano lina watu zaidi ya Zanzibar, Jimbo la Mbeya mjini lina watu zaidi ya Milioni moja huku Zanzibar watu hawafiki laki sita

Pesa za msaada wa korona za IMF zikigawanywa kwa kufuata majimbo basi zitasaidia Zanzibar zaidi kuliko Tanganyika,

Pesa za msaada wa korona za IMF zikigawanywa kwa kufuata idadi ya watu wa eneo husika basi zitasaidia zaidi hata kwenye Jimbo la Kongwa la Ndugai

Mtifuano huu wa kauli kuna siku kila mtu atadai nchi yake, Tayari watu walishaanza kuona hali ya upendeleo inaanza kutamalaki kati ya Zanzibar na Tanganyika

Rais Samia amethibitisha kwa kauli yake kuwa Katika teuzi wanaotumbuliwa wanalalamika kuwa ukabila unatumika huku suala la udini Rais Samia akilificha na kutotaka kuliongelea ambayo ndio msingi mkuu wa malalamiko ya watu kwa sasa

Muda ni wakati na Muda ni mwalimu, kuna siku suala la katiba mpya na la kupunguza mamlaka ya Rais litaanzishwa na wana ccm wenyewe Bungeni akiwepo Spika Job Ndugai

=====

View attachment 1971577
Tanganyika ilipo ungana na Zanzibar , katika mgawo wapes ilipangwa 4.5% ya msaada au ya faida yende Zanzibar.
Hiyo haijapata kutekelezwa mpaka leo.

Hizo zote ni chuki ya Mzanzibari.
Katiba ilipangwa na Tanu na CCM waka weka dole. Sasa nini ?

Zanzibar 80% hawaitaki CCM na Watu Tanzania Bara wakiulizwa wanaita Muungano .

Kwanza jiwekeni wenyewe sawa halafu muje Zanzibar.
 
Naam,ni mama mwenzenu! Na atatuonesha rangi yake halisi.

Mi najaribu kufikiria ni jinsi gani SMZ wamepewa 200bn za corona, nakumbuka kabla ya JPM, bajeti ya mwaka ya SMZ ilikuwa inacheza kwenye 400bn to 500bn, sasa kwenye 1.3trillion, unatoa 230bn kwa SMZ? Nusu ya bajeti yao ya mwaka!

17.69% Vigezo na uwiano ukoje hapa?
Ndo kupendelea kwao kwenyewe kishasema yeye ni Mzanzibar
 
Huo udini na ukabila unatoka wapi? Hizo ni nongwa za wapumbavu tuu.

Mara nyingi huwa nasema pindi akiongoza kiongozi Muislam ,wakristo huwa wanaanzisha nongwa na choko choko za kuwa provoke Waislam..

Ukweli ni kwamba Wakristo huwa hawawaamini na pengine hawataki Waislam wawe viongozi.

Ukiangalia uongozi wa mtu kama Magufuli si TU alikuwa mkabila bali mdini lakini hatukusikia Waislam wakilalamika.Kwamba wakiteuliwa Waislam 4 Kati ya 10 ni udini ila ikiwa kinyume chake sio udini .

Tumuache mama afanye Kazi na watu wasioendana nao fukuza kabisa,mimi ni mkristo lakini upumbavu was hivyo Huwa nauchukia Sana.

Sasa this time around kuna chokochoko za udini,ukabila sasa na utaifa,
Tangulini mwanamke tena mvaa kobazi akaweza kuongoza nchi?

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna kauli ya bahati mbaya au jambo la bahati mbaya, Haya yote humtoka mtu moyoni kwani ndio moyo wake umeyajaa yamtokayo

Refer:Uzi wa Pascal Mayalla Unaoongelea Powers of karma na Nguvu za uvutano( Newton's laws of Motion)

Kauli ya Spika Job Ndugai kuwa pesa za korona za msaada wa IMF zigawanywe kwa kufuata idadi ya watu na sio majimbo ilikuwa inailenga Zanzibar na kutaka kuisaidia Tanganyika wengi wanaiita Tanzania bara

Zanzibar ina idadi ndogo sana ya watu hawafiki hata laki sita lakini wana majimbo zaidi ya 20,Ukigawa pesa za korona kwa kufuata majimbo Zanzibar watapata pesa nyingi sana kuliko majimbo ya bara yenye idadi kubwa ya watu

Takribani nusu ya watu wa Zanzibar yaani zaidi ya watu laki tano wanaishi Tanzania bara(Tanganyika) wakijishughulisha na shughuli mbalimbali za Kilimo na biashara , Hivyo wakazi waliopo Zanzibar kama Zanzibar hawazidi laki sita

Je Ndugai sasa somo la katiba mpya linaanza kumuingia kwani kwa miaka mingi Bungeni pesa ziligawanywa kwa kufuata majimbo na Yeye alishiriki kama Spika kupitisha

Kauli ya Rais Samia kuwa Yeye ni mzanzibar ilikuwa ni kutuma ujumbe kwa wale wanaoona sasa anaipendelea Zanzibar kwa kulazimisha kila kitu kinachofanyika bara kifanyike Zanzibar huku watu wa Tanganyika wakitambua Zanzibar ina idadi ndogo ya watu sana


Jimbo la kawe Dar es Salaam lina watu zaidi ya Zanzibar

Jimbo la Mbeya mjini ambalo Spika Ndugai alilitolea mfano lina watu zaidi ya Zanzibar, Jimbo la Mbeya mjini lina watu zaidi ya Milioni moja huku Zanzibar watu hawafiki laki sita

Pesa za msaada wa korona za IMF zikigawanywa kwa kufuata majimbo basi zitasaidia Zanzibar zaidi kuliko Tanganyika,

Pesa za msaada wa korona za IMF zikigawanywa kwa kufuata idadi ya watu wa eneo husika basi zitasaidia zaidi hata kwenye Jimbo la Kongwa la Ndugai

Mtifuano huu wa kauli kuna siku kila mtu atadai nchi yake, Tayari watu walishaanza kuona hali ya upendeleo inaanza kutamalaki kati ya Zanzibar na Tanganyika

Rais Samia amethibitisha kwa kauli yake kuwa Katika teuzi wanaotumbuliwa wanalalamika kuwa ukabila unatumika huku suala la udini Rais Samia akilificha na kutotaka kuliongelea ambayo ndio msingi mkuu wa malalamiko ya watu kwa sasa

Muda ni wakati na Muda ni mwalimu, kuna siku suala la katiba mpya na la kupunguza mamlaka ya Rais litaanzishwa na wana ccm wenyewe Bungeni akiwepo Spika Job Ndugai

=====

View attachment 1971577
Hitaji la Katiba Mpya linazidi kujidhalilisha kila uchao.
Wenye Mamlaka nawasihi wasiendelee kuziba masikio, leo watu wameanza kujadili Mgao wa misaada kutoka nje ya nchi, siku zijazo wataanza kujadili Mgao wa bajeti ya Maendeleo ya kila Jimbo au upande wa Muungano.
"Jibu linaelekea kuiva sasa"
 
Back
Top Bottom